kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,204
- 8,315
Ndio nakuambia kulikuwepo na makundi ya kiarakati ya kiyahud na kiarabu wanaviziana kupigana ndio maana uingereza baada ya kuona hawez tena kuyacontrol alipeleka kesi un iamuliwe huko maana alishindwa amkabidhi nan nchiSoma mkuu utaelewa.
Anzia 1917 kuja hadi 1948.