Tuliwambia Yemen ni moto Israel hawawezi hao

Tuliwambia Yemen ni moto Israel hawawezi hao

Hayo mliosema Yemen hata jibu mko wapi, huko Israel kunawaka moto. Missiles za Al Houth zimeisha fika Central Israel na bado watajuta, wanafatwa kwa miguu safari hii.


View: https://youtu.be/dIWXyXTnj3k?si=YrLy3AD2WsCCrH67

Tela Aviv watasema zime land kwenye empty spaces kama kawaida yao 😄

Imefika 6km karibu ya Air port ya Ben Gurion Air port hakuna hata Rada ya Israel imeiona imetembea 2000km kwa dakika 15 tu kutoka Yemen.


View: https://youtu.be/rq0FwQRyf78?si=cMwLbRQcUUUJ12vp

Mpaka wafe wangapi ndo vita isitishwe?
 
Vipi ngoma ikienda uso kwa uso hakuna mtu kukimbilia nyuma ya migongo ya wanawake na watoto. Hapo vipi jamaa
Hiyo ndio ngumu kabisa IDF hawataweza tunaenda mwaka sasa pale Gaza wanasumbuliwa na wanamgambo wa Hamas. Mateka wayahudi zaidi ya 100 wapo Gaza IDF imejikatia tamaa wamebaki kulipua majengo hovyo na kuuwa raia wasio na hatia.
 
Mazayuni nae atajibu tu. Ila ndio anavutwa kwenye tope ambalo lita mgharim maana atataka kushindana na hivi vikundi ambavyo havina cha kupoteza. Ata waweka raia wake kwenye hofu siku zote, Yemen waga wapo kama hawapo vile mmarekani anawapiga kila siku ila wao wanamwambia tu red Sea marufuku
 
Waafrika waliopelekwa kupigana Gaza kwa ahadi ya kupewa uraia wametelekezwa. Wakina Joshua ndugu zetu tamaa zimewaponza
Screenshot_20240915-105126.png
 
Hayo mliosema Yemen hata jibu mko wapi, huko Israel kunawaka moto. Missiles za Al Houth zimeisha fika Central Israel na bado watajuta, wanafatwa kwa miguu safari hii.


View: https://youtu.be/dIWXyXTnj3k?si=YrLy3AD2WsCCrH67

Tela Aviv watasema zime land kwenye empty spaces kama kawaida yao 😄

Imefika 6km karibu ya Air port ya Ben Gurion Air port hakuna hata Rada ya Israel imeiona imetembea 2000km kwa dakika 15 tu kutoka Yemen.


View: https://youtu.be/rq0FwQRyf78?si=cMwLbRQcUUUJ12vp

Za abunuwasi
 
BREAKING 🔥🚨 Israel to deport all Africans migrants who serving in IDF AGAINST Hezbollah and Hamas.

🚨 Israel making 'Greater Israel' by Using mercenary from africa, Asia and Europe to save Israel and deport them all.

Why African trust Israel?
Hii nimeisoma nikasikitika sana na kumkumbuka ndugu yetu Joshua.
 

View: https://youtu.be/p7sb1x_CZbY?si=I5_V1v2iQV908zYc

Wa Israel wanajiuliza vipi
Kumbukeni mara ya mwisho drone moja ilisababisha bandari kulipuliwa.
Leo mmetuma BM lazima muwashiwe moto, Israel haachi kipoe
Hahaha Yemen alikuwa na test hio Long range missile yake aone vipi hio Arrow ambayo wanajisifia ni system eti designed to intercept long range missiles itazuia kweli hio missile. Wameona hamna lolote sa wasubiri mvua.
 
Sasa mbona hamas anakimbilia nyuma ya migongo ya wanawake na watoto na kwenye kambi za wakimbizi, hospitali na mashuleni. Nafikiri hamas angepigana hadharani na sio kwenye migongo ya civilians hii vita ingekuwa imeisha muda sana na mshindi angeshajulikana na mshindwa asingeomba vita tena.


Mbinu hii ameitumia baba yangu alikuwa akikuta watoto wawili wanapigana anawapa uwanja mtwangane hadi mshindi anapatikana kweupeeeee baada ya hapo yule mshindwa anamwambia usimchokoze tena huyo aliyekupiga ama sivyo angekuuwa. Mbinu hii imefanya sisi watoto wake jumla tupo 22 nao wafahamu tunaheshimiana na hatuchokozani maana kila mmoja anaujua mziki wa mwenzake.
Na wasiwasi mzee wako wako alikuwa ni mara gwanda za jeshi
 
Hayo mliosema Yemen hata jibu mko wapi, huko Israel kunawaka moto. Missiles za Al Houth zimeisha fika Central Israel na bado watajuta, wanafatwa kwa miguu safari hii.


View: https://youtu.be/dIWXyXTnj3k?si=YrLy3AD2WsCCrH67

Tela Aviv watasema zime land kwenye empty spaces kama kawaida yao 😄

Sasa kama yametua kwenye empty place ulitaka wasemeje? Mbona wewe umeishia kuonyesha yakiwa hewani?
Ngoja nikupe link yenye taarifa zaidi na kwa taarifa yako tu hayajajeruhi hata mtu mmoja
Imefika 6km karibu ya Air port ya Ben Gurion Air port hakuna hata Rada ya Israel imeiona imetembea 2000km kwa dakika 15 tu kutoka Yemen.
Acha uongo basi, kufika central Israel huwa haimaanishi kwamba mfumo wa ulinzi haujaona. Makombora mengi hulengwa kupiga central, kinachotokea yale yanayoelekea kupiga maeneo yenye watu yanapanguliwa na yale yanayielekea kutoa maeneo yasiyo na madhara huachwa yatue.
 
Vipi ngoma ikienda uso kwa uso hakuna mtu kukimbilia nyuma ya migongo ya wanawake na watoto. Hapo vipi jamaa
Thubutuu ISRAEL HAINA UWEZO WA KU BATTLE CROSS FIRE NA HOUTHI.
Uliza Saudi Arabia na USA.
Waliwafadhili hadi Al Qaeda wawaue Houthi pale Yemeni.
Kilichowakuta Yesu mwenyewe hapendi.
Kwa vita za ardhini ISRAEL HAMUWEZI MUARABU.
Israel kinachomlinda ni Air force supremacy yake tu
.
 
Sasa kama yametua kwenye empty place ulitaka wasemeje? Mbona wewe umeishia kuonyesha yakiwa hewani?
Ngoja nikupe link yenye taarifa zaidi na kwa taarifa yako tu hayajajeruhi hata mtu mmoja

Acha uongo basi, kufika central Israel huwa haimaanishi kwamba mfumo wa ulinzi haujaona. Makombora mengi hulengwa kupiga central, kinachotokea yale yanayoelekea kupiga maeneo yenye watu yanapanguliwa na yale yanayielekea kutoa maeneo yasiyo na madhara huachwa yatue.
Central Tela Waviv
 
Back
Top Bottom