Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Acha kulalamika kwenye vita Kuna kupiga na kujibu mapigo kwahiyo siyo ajabu IDF nao kujibu au ulitaka wakae kimya?Yaan nyie watu bhana Israel akijibu mnalaum umoja wa mataifa wameshindwa kumaliza vita
Mpaka wafe wangapi ndo vita isitishwe?Hayo mliosema Yemen hata jibu mko wapi, huko Israel kunawaka moto. Missiles za Al Houth zimeisha fika Central Israel na bado watajuta, wanafatwa kwa miguu safari hii.
View: https://youtu.be/dIWXyXTnj3k?si=YrLy3AD2WsCCrH67
Tela Aviv watasema zime land kwenye empty spaces kama kawaida yao 😄
Imefika 6km karibu ya Air port ya Ben Gurion Air port hakuna hata Rada ya Israel imeiona imetembea 2000km kwa dakika 15 tu kutoka Yemen.
View: https://youtu.be/rq0FwQRyf78?si=cMwLbRQcUUUJ12vp
Wasubili kilio.Kumbukeni mara ya mwisho drone moja ilisababisha bandari kulipuliwa.
Leo mmetuma BM lazima muwashiwe moto, Israel haachi kipoe
Hiyo ndio ngumu kabisa IDF hawataweza tunaenda mwaka sasa pale Gaza wanasumbuliwa na wanamgambo wa Hamas. Mateka wayahudi zaidi ya 100 wapo Gaza IDF imejikatia tamaa wamebaki kulipua majengo hovyo na kuuwa raia wasio na hatia.Vipi ngoma ikienda uso kwa uso hakuna mtu kukimbilia nyuma ya migongo ya wanawake na watoto. Hapo vipi jamaa
Wakijibu na wao wasubiri majibu. Inaitwa bampa to bampa atakaeshindwa atampisha mwenzie.Wasubili kilio.
Huwezi kujibu kwa kuua watoto na wanawake watu wasikulaumu wakati kambi za jeshi zinajulikana zilipo..si uende ikapige hukoYaan nyie watu bhana Israel akijibu mnalaum umoja wa mataifa wameshindwa kumaliza vita
Za abunuwasiHayo mliosema Yemen hata jibu mko wapi, huko Israel kunawaka moto. Missiles za Al Houth zimeisha fika Central Israel na bado watajuta, wanafatwa kwa miguu safari hii.
View: https://youtu.be/dIWXyXTnj3k?si=YrLy3AD2WsCCrH67
Tela Aviv watasema zime land kwenye empty spaces kama kawaida yao 😄
Imefika 6km karibu ya Air port ya Ben Gurion Air port hakuna hata Rada ya Israel imeiona imetembea 2000km kwa dakika 15 tu kutoka Yemen.
View: https://youtu.be/rq0FwQRyf78?si=cMwLbRQcUUUJ12vp
BREAKING 🔥🚨 Israel to deport all Africans migrants who serving in IDF AGAINST Hezbollah and Hamas.Za abunuwasi
Hii nimeisoma nikasikitika sana na kumkumbuka ndugu yetu Joshua.BREAKING 🔥🚨 Israel to deport all Africans migrants who serving in IDF AGAINST Hezbollah and Hamas.
🚨 Israel making 'Greater Israel' by Using mercenary from africa, Asia and Europe to save Israel and deport them all.
Why African trust Israel?
Hahaha Yemen alikuwa na test hio Long range missile yake aone vipi hio Arrow ambayo wanajisifia ni system eti designed to intercept long range missiles itazuia kweli hio missile. Wameona hamna lolote sa wasubiri mvua.Kumbukeni mara ya mwisho drone moja ilisababisha bandari kulipuliwa.
Leo mmetuma BM lazima muwashiwe moto, Israel haachi kipoe
Na wasiwasi mzee wako wako alikuwa ni mara gwanda za jeshiSasa mbona hamas anakimbilia nyuma ya migongo ya wanawake na watoto na kwenye kambi za wakimbizi, hospitali na mashuleni. Nafikiri hamas angepigana hadharani na sio kwenye migongo ya civilians hii vita ingekuwa imeisha muda sana na mshindi angeshajulikana na mshindwa asingeomba vita tena.
Mbinu hii ameitumia baba yangu alikuwa akikuta watoto wawili wanapigana anawapa uwanja mtwangane hadi mshindi anapatikana kweupeeeee baada ya hapo yule mshindwa anamwambia usimchokoze tena huyo aliyekupiga ama sivyo angekuuwa. Mbinu hii imefanya sisi watoto wake jumla tupo 22 nao wafahamu tunaheshimiana na hatuchokozani maana kila mmoja anaujua mziki wa mwenzake.
Sasa kama yametua kwenye empty place ulitaka wasemeje? Mbona wewe umeishia kuonyesha yakiwa hewani?Hayo mliosema Yemen hata jibu mko wapi, huko Israel kunawaka moto. Missiles za Al Houth zimeisha fika Central Israel na bado watajuta, wanafatwa kwa miguu safari hii.
View: https://youtu.be/dIWXyXTnj3k?si=YrLy3AD2WsCCrH67
Tela Aviv watasema zime land kwenye empty spaces kama kawaida yao 😄
Acha uongo basi, kufika central Israel huwa haimaanishi kwamba mfumo wa ulinzi haujaona. Makombora mengi hulengwa kupiga central, kinachotokea yale yanayoelekea kupiga maeneo yenye watu yanapanguliwa na yale yanayielekea kutoa maeneo yasiyo na madhara huachwa yatue.Imefika 6km karibu ya Air port ya Ben Gurion Air port hakuna hata Rada ya Israel imeiona imetembea 2000km kwa dakika 15 tu kutoka Yemen.
Ajiulize nini wakati limetua sehemu salama?
View: https://youtu.be/p7sb1x_CZbY?si=I5_V1v2iQV908zYc
Wa Israel wanajiuliza vipiHahaha Yemen alikuwa na test hio Long range missile yake aone vipi hio Arrow ambayo wanajisifia ni system eti designed to intercept long range missiles itazuia kweli hio missile. Wameona hamna lolote sa wasubiri mvua.
Thubutuu ISRAEL HAINA UWEZO WA KU BATTLE CROSS FIRE NA HOUTHI.Vipi ngoma ikienda uso kwa uso hakuna mtu kukimbilia nyuma ya migongo ya wanawake na watoto. Hapo vipi jamaa
Waarabu walilia kwa kelele za Palestina tu basi.Tatizo la waarabu hawana pumzi
Israel akijibu mapigo hapo utasikia waarabu na waislam wa dunia nzima wanajiliza liza wanaonewa
Hawa wajinga we uliona wapi 1=3 ila kwa vichaa tu.Waarabu walilia kwa kelele za Palestina tu basi.
Je umesikia Hizbollah wakilia kipindi wanashambuliana na Israel huko Galilaya!??
Central Tela WavivSasa kama yametua kwenye empty place ulitaka wasemeje? Mbona wewe umeishia kuonyesha yakiwa hewani?
Ngoja nikupe link yenye taarifa zaidi na kwa taarifa yako tu hayajajeruhi hata mtu mmoja
Acha uongo basi, kufika central Israel huwa haimaanishi kwamba mfumo wa ulinzi haujaona. Makombora mengi hulengwa kupiga central, kinachotokea yale yanayoelekea kupiga maeneo yenye watu yanapanguliwa na yale yanayielekea kutoa maeneo yasiyo na madhara huachwa yatue.