Tuliwambia Yemen ni moto Israel hawawezi hao

Ila kwa Israel namna inavyopambwa kuwa ina sophisticated ADS tulitarajia hilo kombora kudunguliwa.
Tena ukizingatia limetoka masafa marefu kilometa 2000+ yani ni sawa kutoka hapa hadi mpakani mwa Congo huko.
Kombora limetoka mbali sana na limepiga target kwa usahihi hapa Israel kaonyesha udhaifu, kwanza hiyo hypersonic sina hakika kama linazuilika, lakini kuhusu AD walau iron dome imejitahidi sana, kwanza ndio AD iliofanya interception kwa kiwango kikubwa kuliko AD nyingi duniani.
 
Ni kwasababu Israel inashambuliwa kila mara ndio maana inafanya interception sana.
Ila Kaskazini ilionesha kufeli hiyo iron dome.
Wacha tusubiri atajibuje Israel.
 
Ni kwasababu Israel inashambuliwa kila mara ndio maana inafanya interception sana.
Ila Kaskazini ilionesha kufeli hiyo iron dome.
Wacha tusubiri atajibuje Israel.
Hao houth au Hamas wangekuwa wanapata sapoti kama anayopewa Israel leo hii vita vingekuwa vinapiganwa ndani ya Israel, yani jamaa wanashambuliwa/kuuwawa kila siku lakini hawakati tamaa.
 
ngoja tuone maana hili jamaa likiongea hivi ujue kinachoendea kutokea sio utoto ngoja tuagize popcorn huku tukishudia sanaa za kimapigano, all in all vita visikie kwe wenzio tu either unashinda au unashindwa vita ni miyeyusho kinyama
 
Mi afrika c vilaza hapo inazani inapigania Vita na taifa teule
 
Unatumia nguvu nyingii mnooo bila faida ..chuki mpk yesu unamtumikia atakushangaa
Maana uko tofauti na mafundisho yako
 
Wewe ndio huijui and Quran imewaambia mtabakizwa Motoni kwasabau mnasahu aya za Quran siku ya kiama mtafufuliwa vipofu.
We sijui nani anaye kudangan'ya kama mtoto mdogo wapi hiyo Aya inayosema aliye sahau kumemories Qur'an atafufuliwa kipofu. Qur'an inasema hivi; Wamini Aradhi Ani Dhikri Faina Lahu Maisha Dhanka Wanahushuruuh Yaoum Al Qiyama Amah.

Na atakaye jiepusha na ujumbe wa Mungu na kwa kutomkumbuka Mungu atakuwa na maisha sio mazuri, haswa kwenye upande wa riziki na tutamfufua kipofu.

وَمَنْ أَعْرَضَ عَن ذِكْرِى فَإِنَّ لَهُۥ مَعِيشَةًۭ ضَنكًۭا وَنَحْشُرُهُۥ يَوْمَ ٱلْقِيَـٰمَةِ أَعْمَىٰ

Hapa inaongelea kiujumla kuto kusali, kusoma Qur'an au kuwa mbali na Mungu.

Tumezungumzia kuhusu Utatu na sio Mariam. Quran ipo clearlly inasema Jesus ni 3 in 1 at same time Jesus is World of Allah,Jesus is a Messenger of Allah and Jesus is Spirit of Allah inayoishi ndani ya mwili wa Yesu so jesus was just a human body form
Safi sana kwa hio unakiri Qur'an inakiri Yesu ni Messenger wa Mungu, sa nini mana ya Messenger si mtu anaye tumwa na Mungu. Anaye tumwa na Mungu vipi awe Mungu 😄

Nimekuliza nini mana ya Spirit unakwepa? Ndio mana nimekuliza Holy Spirit ni nani, hujibu unakwepa

Ukishasema Holly ni kuwa hakuna dhambi hapo and wenye sifa hizo havijaumbwa pia yaani walikuwepo.
Kwa hio Malaika hawana dhambi hapo patamu sana naona unasogea taratibu usikwepe tu. Malaika hawana dhambi sababu hawakosei. Nani mwingine, utaniambia Yesu sio 😄 Haya twende kazini kuna malaika wangapi wa Mungu? Hapo tutapata wengi =1 au sio+ tunamjumlisha na Mungu ambaye ndio kaumba vyote hivyo. Huoni kama ukristo ni uharo mtupu.

Waislam ndio wanakwama likija suala la Holl Spirit kwasabu Allah is not spirit hadi fatwa ipo.. Allah niPhysical thing Sanamu..
Mnaitumia Qur'an kuthibitisha Yesu ni Spirit ya Mungu na mnakiri Mungu kwenye Qur'an ni Spirit afu mnakuja tena mnasema Mungu sio Spirit ni Physical thing. Wapi Qur'an imesema Mungu ni sanamu? Sisi tunawambia The Holy Spirit ni Gabriel mtake msitake hakuna 1=3 hata bibilia zenu zinakiri The Holy Spirit ni Gabriel nenda ukasome bibilia utakubaliana na mimi.
Kama Nyie mnavyoamini kuwa kuna vitu siku ya kiama vitageuka na kuwa na uwezo wa kuongea laike Jiwe la Kaaba,Quran n.k Allah ana beautiful Ugoko ataushusha motoni siku ya kiama akisema yatosha yatosha
Wewe unaye bisha ulisha fika huko ukaona? Wewe ulikuwa unasema jiwe jeusi mnabudu actually sisi hatuabudi jiwe tunabudu Mungu, hilo jiwe jeusi lipo makamu Ibrahim halitudhuru wala halitusaidi lolote. Ni dalilil mana yake kujulisha watu lilitokea mbinguni lilikuwa Jeupe likabadilika kuwa Jeusi kwa ajili ya dhambi zilivyo zidi duniani. Bibilia Yenu inawambia Yakobo aliweka jiwe jeusi ndio akawa anasali au Yakobo na yeye kapotezwa na Shetani kama sisi waislamu 😄
 
Kombora limetoka mbali sana na limepiga target kwa usahihi hapa Israel kaonyesha udhaifu,
Habari umepata wapi kijana? nachukia uongo na uongo ni cheo cha Shetani
kwanza hiyo hypersonic sina hakika kama linazuilika, lakini kuhusu AD walau iron dome imejitahidi sana, kwanza ndio AD iliofanya interception kwa kiwango kikubwa kuliko AD nyingi duniani.
Mnatakiwa muoneshe madhara ya kombora kama yanafana na midomo yenu mnayoaminisha watu..
 
Unatumia nguvu nyingii mnooo bila faida ..chuki mpk yesu unamtumikia atakushangaa
Maana uko tofauti na mafundisho yako
Sina chuki hata kidogo ila mafundisho ya kishetani ya Mohamad ni ya kupingwa na Shetani sisi tumefundishwa tumpige na kumtoa nishai Allah ndie Shetani na mafundisho yake hayana faida zaidi ya hasara. Yesu alimtoa nishai Shetani.

Mafundisho ya Allah Soma Quran utapata comlete picha kuwa Allah ndie Mohamad na ndie Iblis.. Mafundisho yao ni uhuni mtupu sex tena ya group. ukiua waiso waislam malipo yake unalipwa wanawake zaidi ya 70 na ukiua zaidi unaongezewa Promise hizo kwa akili hata ndogo hizo ahadi ni Iblis jibu.

Quran 2:191
Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.
— Ali Muhsin Al-Barwani

Quran imejaa aya hizi za chuki and waislam wa jf na masheikh wao wanaonesha chuki wazi wazi kila siku yaani ibada zao bila kutaja ukristo na kuunanga haiwi ibada hiyo.. waambieni waache kujibu kwetu ni tumewachoka.. Same na Israel alivyowachoka waislam yaani kila siku ni kujilinda tu.

And according to Quran Allah ndie anayepandikiza chuki so sisi hatuna makosa Soma Aya Quran 5:14

And from those who say, "We are Christians" We took their covenant; but they forgot a portion of that of which they were reminded.1 So We caused among them2 animosity and hatred until the Day of Resurrection. And Allāh is going to inform them about what they used to do.
— Saheeh International

And with those who say: "Lo! we are Christians," We made a covenant, but they forgot a part of that whereof they were admonished. Therefor We have stirred up enmity and hatred among them till the Day of Resurrection, when Allah will inform them of their handiwork.
— M. Pickthall

Na kutoka kwa wale walio sema: Sisi ni Manasara, tulichukua ahadi yao, lakini wakasahau sehemu ya waliyo kumbushwa. Kwa hivyo tukaweka kati yao uadui na chuki mpaka Siku ya Kiyama. Na hapo Mwenyezi Mungu atawaambia waliyo kuwa wakiyafanya.
— Ali Muhsin Al-Barwani
 
Mungu ilinde na uibariki Israel. Kisasi ni chako mwenyewe.
 
Mkuu tuwekee chanzo cha habari, itapendeza zaidi na kapicha jinsi kombora likifanya uharibifu. Mwone kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…