Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Kwenye red umeongeza maneno kwenye Quran ya Allah kama punda wenzako mnaodanganya watoto wao Madrassa. Napokuambia wewe ni fake Muslim wanaokusoma wanaelewa. kwanza Tafsiri unaokota Teheran aya ipo wazi 20:124 Hata Google inakutoa Nishai.We sijui nani anaye kudangan'ya kama mtoto mdogo wapi hiyo Aya inayosema aliye sahau kumemories Qur'an atafufuliwa kipofu. Qur'an inasema hivi; Wamini Aradhi Ani Dhikri Faina Lahu Maisha Dhanka Wanahushuruuh Yaoum Al Qiyama Amah.
Na atakaye jiepusha na ujumbe wa Mungu na kwa kutomkumbuka Mungu atakuwa na maisha sio mazuri, haswa kwenye upande wa riziki na tutamfufua kipofu.
وَمَنْ أَعْرَضَ عَن ذِكْرِى فَإِنَّ لَهُۥ مَعِيشَةًۭ ضَنكًۭا وَنَحْشُرُهُۥ يَوْمَ ٱلْقِيَـٰمَةِ أَعْمَىٰ
وَمَنْ أَعْرَضَ عَن ذِكْرِى فَإِنَّ لَهُۥ مَعِيشَةًۭ ضَنكًۭا وَنَحْشُرُهُۥ يَوْمَ ٱلْقِيَـٰمَةِ أَعْمَىٰ
Na atakaye jiepusha na mawaidha yangu, atapata riziki yenye dhiki, na tutamkusanyia kipofu Siku ya Kiyama.
Wa man a’rada ‘an Zikree fa inna lahoo ma’eeshatan dankanw wa nahshuruhoo Yawmal Qiyaamati a’maa
And whoever turns away from My remembrance – indeed, he will have a depressed life, and We will gather him on the Day of Resurrection blind.”
Sahih International
I know Muslims are not debater always playing game, so unakwepesha Aya niliyokupa ambayo inasema usipomemorize Quran utafufuliwa kipofu rudi kwenye Aya na uichambue umrekebishe Allah maana wewe unajua kabisa Allah keshakunywa glass nyingi za wine kutoka kwenye alcohol river za Peponi Quran 47:15 kalewa.
Quran ipo wazi kuwa usipo memorize utafufuliwa Kipofu sikushangai wewe kwa uongo ila mnadanganywa sana madrassa na misikitini mnafichwa ili mpotee Iblis anapambana muwe nae bega kwa bega soma Quran maandishi ya Kiarabu uwe unajaribu kutafsiri mwenyewe wanazuoni wenu wa sasa ni wajukuu wa iblisi wanapotosha mno tafsiri.. Quran imesema msipokariri Aya za Quran mnafufuliwa vipofu nyie. Vizuri umesema kabisa Mawaidha ya ALLAH ni yepi zaidi ya Quran
وَمَنْ أَعْرَضَ عَن ذِكْرِى فَإِنَّ لَهُۥ مَعِيشَةًۭ ضَنكًۭا وَنَحْشُرُهُۥ يَوْمَ ٱلْقِيَـٰمَةِ أَعْمَىٰHapa inaongelea kiujumla kuto kusali, kusoma Qur'an au kuwa mungu
Uzuri hapa sio Madrassa Mnapomrekebisha Allah alichomaanisha.. Aya inasema Mawaidha yake na sio yeye yeye unamjua?
Yes Yesu alitumwa as i told you before tunaamini Isaya alitabiri kuwa Massiah mkombozi atazaliwa na Mwanamke na ataitwa Emmanuel yaani Mungu pamoja nasi. And Malaika pia alikuja na ujumbe kwa Mariam too, akamuambia Utazaa Mtoto Mtakatifu, so Aliamua kuja kwetu in Human form but kila kitu aongeacho anavyoishi ni God so The word of God turn to human form. Nikuulize wewe ni Bin Adam? mtoto wa Kondoo ni Mbuzi? simple logic tambua hilo.Safi sana kwa hio unakiri Qur'an inakiri Yesu ni Messenger wa Mungu, sa nini mana ya Messenger si mtu anaye tumwa na Mungu. Anaye tumwa na Mungu vipi awe Mungu 😄
Spirit ni Roho wa Mungu nilikujibuNimekuliza nini mana ya Spirit unakwepa? Ndio mana nimekuliza Holy Spirit ni nani, hujibu unakwepa
Malaika si wote hawana dhambi Donkey wewe... kuna Malaika walishafanya dhambi . Sisi tunamini walifanya makosa and kuna waliojiunga na Shetani kijeshi 1third katika idadi yao. Nyie katika Uislam mnaamini Walifanya makosaKwa hio Malaika hawana dhambi hapo patamu sana naona unasogea taratibu usikwepe tu. Malaika hawana dhambi sababu hawakosei.
Jesus is Holly even your Quran imeprove.Nani mwingine, utaniambia Yesu sio 😄
Wewe ndio umeongea uharo like your Allah wenu na Mohamad aliyesema Dunia hii tunayoishi imebebwa na Nyangumi mgongoni hahahaha yaani hadi Allah anapia kabisa kwa Nun ... Uharo mtupu Nikuulize Nun ni Nyangumi au ni Wino? Mr. UHARO Tafsir y Quran 68:1Haya twende kazini kuna malaika wangapi wa Mungu? Hapo tutapata wengi =1 au sio+ tunamjumlisha na Mungu ambaye ndio kaumba vyote hivyo. Huoni kama ukristo ni uharo mtupu.
We are using Quran sababu ndio mnayoiamini ila sisi hatuiamini maana we have a book ambavyo vinaelezea vizuri na sio uendawazimu kama mtume wenu alipoambia na Allah yeye sio Mwendawazimu na raia wote wanajua alikuwa mwendawazimu ana majini Allah ndie Jini anampooza Mudy. Quran 68:2Mnaitumia Qur'an kuthibitisha Yesu ni Spirit ya Mungu
Ndio imeandikwa hivyo ila nyie waislam mnasema Allah hana Spirit na mna fatwa sisi tunakubali mpo sawa sababu Allah ni Sanamu na haliwezi kuwa na roho.na mnakiri Mungu kwenye Qur'an ni Spirit
Roho ni ya Mungu yes kidini yetuafu mnakuja tena mnasema Mungu sio Spirit
Spirit ni spirit not Physical use simple logic tu. Spirit inaweza kukuingia hata Wewe ndio Yusu alisema nitawaletea mwingine ambaye ni Roho Mtakatifu awe nanyi muda wote. hatotuacha Yatimani Physical thing.
Yohana 14:15-31
Allah سُبْحَٰنَهُۥ وَتَعَٰلَىٰ is As-Samad (in Arabic: ٱلْصَّمَدُ),Wapi Qur'an imesema Mungu ni sanamu?
As Samad ni one of the Pagan Goddes Idols
Quran 7:70 Tafsir ya Ibn Khathir Miungu ya Ma Quraish Samud ka Samad ndie Jiwe la kaaba
Islam FATWA 50774 Allah hana Spirit wala Soul jibu ni = Sanamu
Tunaamini Mbinguni ni kwa Watakatifu so waliopo kule ni watakatifu hawajafanya Dhambi na sisi tunaambiwa tuache madhambi tutubu tumfuate Yesu na mafundisho yake Massiah tutapata kwenda kwake na wewe pia be a good person not like others Muslim nakuhakikishia hutoboi hakuna fundisho la kiislam litakalokufnanya uwe mtakatifu kwamwe.Sisi tunawambia The Holy Spirit ni Gabriel mtake msitake hakuna 1=3 hata bibilia zenu zinakiri The Holy Spirit ni Gabriel nenda ukasome bibilia utakubaliana na mimi.
Quran inasema Ibrahim hajawahi kufika Mecca, We never send a Messenger or Warner before you Mudy. Surah Saba 34:44Wewe unaye bisha ulisha fika huko ukaona? Wewe ulikuwa unasema jiwe jeusi mnabudu actually sisi hatuabudi jiwe tunabudu Mungu, hilo jiwe jeusi lipo makamu Ibrahim halitudhuru wala halitusaidi lolote.
And unposema Makamu Ibrahim haipo Meccah Muslim mnaongopea watu Quran arabic inasema Bakkah
Quran 3:96 Hakika Nyumba ya kwanza walio wekewa watu kwa ibada ni ile iliyoko Bakka, iliyo barikiwa na yenye uwongofu kwa walimwengu wote.
— Ali Muhsin Al-Barwani
Sasa Makkah yenu ya wapagani ipo Makkah hahahahaha
Mtume wenu kasema ukigusa kona ya Yemeni kwenye Kaaba dhambi zako zote zinaisha jiwe linasamehe sababu wewe ni fake Muslim na hufuati mawaidha ya Allah huelewi...and Yemeni Corner story yake ndio mawe yalitotumika kujengea Temple la al macca kule Yemen Temple la Pagani Mudy akalibomoa na kuwaambia wapagani waende Bakka jina halisi la Mecca lipo Yemeni.
Makamu Ibrahim location katika Historia sio and hakuna aya inayosema Ibrahim alifikiaje hadi akamjua Allah zaidi Quran inaonesha Ibrahim alisema Nyota ni Mungu wake ila ulpopotea akaikana Nyota, kisha Mwezi ni Mungu wake ulipopotea akaukana Kisha Jua aliliita Akbar is my Lord Jua Likapotea story ikaisha Hakuwahi sikia Allah how come Allah is not Akbar aamini.. labda utupe Story how Ibrahim Met Allah. so story za Ibrahim on muslims ni Pagan worshipping only. Kama Jiwe linasamehe dhambi ni bora kuliko Allah wenu.
Hamna Jiwe pale zaidi ya vipande vimeshikizwa na Wax evn Uturuki wanacho kijiwe kimoja walikichomoa.. and how come Jiwe jeupe liwe Jeusi kisa Dhambi so halina Utakatifu hahaha ili kuwa Muislam lazima uwe mjinga aisee. hichi kisa nilikisoma zamani hizo nilicheka sana.. kuna wakati nikitaka kucheka nasoma Quran a Hadith zenu..Ni dalilil mana yake kujulisha watu lilitokea mbinguni lilikuwa Jeupe likabadilika kuwa Jeusi kwa ajili ya dhambi zilivyo zidi duniani.
i always go with ushahidi weka we know alikuwa safarini usiku ukaingia akaona jiwe akalichukua akalifanya kama pillow akalaza kichwa chake juu ya jiwe. kusali hakuhusiani na Jiwe kwani Yacob alikuwa anamuamini YHWH hadi leo wana wake pale IsraelBibilia Yenu inawambia Yakobo aliweka jiwe jeusi ndio akawa anasali au Yakobo na yeye kapotezwa na Shetani kama sisi waislamu 😄
Hujui uislam hujui Ukiristo.. Endelea kujifunza kwangu