Tuliwaonya hawakusikia walipendwa wakadeka wanaaibika mwisho wa ubaya ni aibu! poleni Chadema hii ndio maana ya kufariki kwa chadema

Chadema ni wa kupuuzwa wanawakejeli tu wananchi.

Kuhudhuria mitukano yao ni wastage of time.
 
 
nyie mnaksanyag watu sehem mbali mbali
 
Eti kuna bango limeandikwa "Bila katiba mpya hakuna uchaguzi 2025"
Utafikiri wanamaanisha.Debe tupu.
 
Wewe mbwakoko nani anahitaji uwepo wako kwenye mikutano yetu? Mfuate dhalim huko jehanam mkateseke pamoja
Hao matapeli hakuna mwenye mda wa kwenda kuwasikiliza.

Mtaijaza mitukano yenu nyie na koo zenu tu maana mnafanana akili.
 
Kaka yake na Mbowe alikufa kwa corona, na mbowe ndiyo alitangaza kifo huku akitoa machozi

Ila Cha muhimu yule shetani kaondoka. Leo wana Mwanza wameona nuru mpya. Leo ni furahisha baada ya miaka Saba CHADEMA wamerudi, wema umeushinda ubaya.
 
Eti kuna bango limeandikwa "Bila katiba mpya hakuna uchaguzi 2025"
Utafikiri wanamaanisha.Debe tupu.

Walitaka mikutano imekuwa, mengine wakitaka yatakuwa.
 
Walitaka mikutano imekuwa, mengine wakitaka yatakuwa.
Umeelewa hata nilichoandika. Yaani wana uwezo wa kuzuia Uchaguzi?Kususia kama kawaida yao ndio lakini kuzuia!Hawana huo ubavu.
 
Umeelewa hata nilichoandika. Yaani wana uwezo wa kuzuia Uchaguzi?Kususia kama kawaida yao ndio lakini kuzuia!Hawana huo ubavu.

Wanao uwezo, Kama wameweza kupambana mpaka mikutano imeruhusiwa sembuse Uchaguzi. Nani atatamani kupigia kura bunge lililojaa CCM?.
 
Hahahaaa naona unaweweseka tu, subiri kishindo cha cdm leo hii, chawa wote lazima mjifiche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…