Tuliwaonya vijana wanunue magari yanayotumia mafuta kidogo hawakutusikia

Tuliwaonya vijana wanunue magari yanayotumia mafuta kidogo hawakutusikia

Mkuu mimi sahivi nna mwaka wa 2 situmii gari hapa mjini mara mwisho nilikuwa na suzuki escudo grand
nikaliuzilia mbali, nikiwa mjini ni mwendo wa lift, naazima gari, daladala, bodada

Kama sahivi leo nna mishe Msasani na Obay Masaki natumia bodaboda na namaliza mishe zangu zote .....
RRONDO

Ova
View attachment 2348870
Nilikuona ukipita hapo me ndo Yule jamaa kapaki pale
 
Nilikuona ukipita hapo me ndo Yule jamaa kapaki pale
Si unaona mzee nko mitaa ya tandale sasa napepea tu kama upepo

Ova
20220822_145421.jpg
20220822_145426.jpg
 
Duu, yaani laki 8 mwezi mzima, hata kwa siku 3 hiyo haitoshi kufanya fujo yeyote ya maana
 
Lakini mimi naona Wabongo tunaishi kitajiri.
Wazungu wengi wa East Europe wanatumia usafiri wa baiskeli, mwendo kasi na train. Na wamejengwa kisaikolojia kuona kuwa hicho ni kitu chema kwa vile unafanya mazoezi, unapunguza kuchafua hewa, una sevu hela na pia unapata opportunity ya ku socialize.
Ni kwa vile tu hatutalii kwenda kujifunza kwa wenzetu.
 
Mkuu mimi sahivi nna mwaka wa 2 situmii gari hapa mjini mara mwisho nilikuwa na suzuki escudo grand
nikaliuzilia mbali, nikiwa mjini ni mwendo wa lift, naazima gari, daladala, bodada

Kama sahivi leo nna mishe Msasani na Obay Masaki natumia bodaboda na namaliza mishe zangu zote .....
RRONDO

Ova
View attachment 2348870
Mkuu kwanini uliuza suzuki escudo grand?
Gari yangu naitumia naikubali sana engine yake japo kwasasa nimei park mafuta changamoto.
 
Acheni mawazo ya kimasikin WaTz... Ni heri ununue gari ya Mamillion ya pesa kwa wiki ukaitumia ×4 hizo siku 3 ukapanda daladala... Kuliko ununue IST VITZ PASSO PORTE SPACIO na hizo vidude vingine 😅 ni aibu ni ushamba na kujishusha thamani ya kujiamini mjini 😂 sometimes mnakosa fursa kwasabab ya mitazamo hasi au negativity, sometimes mnakosa connection kwasabab hamjiamini mnatokea kinyonge mbele za watu, Ladies and Gentlemen FIRST IMPRESSION MATTER popote pale duniani... Vijana msiogope kununua magari ya CC kubwa au Mamillion ya pesa kwani ukiliendesha weekend pekeake ni dhambi au litaoza..?
Mimi mwaka fulani nikiwa na maisha ya kawaida sana nikiwa early 20's nikanunua gari fulani yaan gari likionekana sehem kilamtu anasema Yes hilo ndio gari sasa na huyo ni mwanaume, ilikua full tinted nikishuka kilamtu alikua haamini kama ni langu mwanzo watu walihis nimeazima au nauzia sura tu, siku zikazid kwenda miez mwanaume nipo nalo wakaanza majungu litamshinda tu huyu dogo mafuta na service... You know what..? Nilipata ma deal mengi ya pesa kwasabab ya status ya gari langu tu, watu wanakushirikisha ktk ma deal ya pesa ndefu wanakupa connection kwasabab ya unavyo ji brand... From there nikaanza hadi kujenga na kufungua miradi ya hapa na pale...
Kwahio ktk maisha ukitaka kuanza kujenga nyumba jenga nyumba kilamtu akiiona anasema waoooh... Ukitaka kununua gari nunua gari mtu akiliona anakupisha road, traffic akiliona anakupungia mkono wa safar njema... Maisha yenyew mafupi halafu mnaanza kuogopeshana kuishi
 
Acheni mawazo ya kimasikin WaTz... Ni heri ununue gari ya Mamillion ya pesa kwa wiki ukaitumia ×4 hizo siku 3 ukapanda daladala... Kuliko ununue IST VITZ PASSO PORTE SPACIO na hizo vidude vingine [emoji28] ni aibu ni ushamba na kujishusha thamani ya kujiamini mjini [emoji23] sometimes mnakosa fursa kwasabab ya mitazamo hasi au negativity, sometimes mnakosa connection kwasabab hamjiamini mnatokea kinyonge mbele za watu, Ladies and Gentlemen FIRST IMPRESSION MATTER popote pale duniani... Vijana msiogope kununua magari ya CC kubwa au Mamillion ya pesa kwani ukiliendesha weekend pekeake ni dhambi au litaoza..?
Mimi mwaka fulani nikiwa na maisha ya kawaida sana nikiwa early 20's nikanunua gari fulani yaan gari likionekana sehem kilamtu anasema Yes hilo ndio gari sasa na huyo ni mwanaume, ilikua full tinted nikishuka kilamtu alikua haamini kama ni langu mwanzo watu walihis nimeazima au nauzia sura tu, siku zikazid kwenda miez mwanaume nipo nalo wakaanza majungu litamshinda tu huyu dogo mafuta na service... You know what..? Nilipata ma deal mengi ya pesa kwasabab ya status ya gari langu tu, watu wanakushirikisha ktk ma deal ya pesa ndefu wanakupa connection kwasabab ya unavyo ji brand... From there nikaanza hadi kujenga na kufungua miradi ya hapa na pale...
Kwahio ktk maisha ukitaka kuanza kujenga nyumba jenga nyumba kilamtu akiiona anasema waoooh... Ukitaka kununua gari nunua gari mtu akiliona anakupisha road, traffic akiliona anakupungia mkono wa safar njema... Maisha yenyew mafupi halafu mnaanza kuogopeshana kuishi
Na sasi wa apeche alolo unatushauirije
 
Lakini mimi naona Wabongo tunaishi kitajiri.
Wazungu wengi wa East Europe wanatumia usafiri wa baiskeli, mwendo kasi na train. Na wamejengwa kisaikolojia kuona kuwa hicho ni kitu chema kwa vile unafanya mazoezi, unapunguza kuchafua hewa, una sevu hela na pia unapata opportunity ya ku socialize.
Ni kwa vile tu hatutalii kwenda kujifunza kwa wenzetu.
Tungetengeneza mitandao kazi nyingi za maofisini na manunuzi vifanyike kwenye mitandao. Tutapunguza sana haja za kusafiri.
 
Acheni mawazo ya kimasikin WaTz... Ni heri ununue gari ya Mamillion ya pesa kwa wiki ukaitumia ×4 hizo siku 3 ukapanda daladala... Kuliko ununue IST VITZ PASSO PORTE SPACIO na hizo vidude vingine 😅 ni aibu ni ushamba na kujishusha thamani ya kujiamini mjini 😂 sometimes mnakosa fursa kwasabab ya mitazamo hasi au negativity, sometimes mnakosa connection kwasabab hamjiamini mnatokea kinyonge mbele za watu, Ladies and Gentlemen FIRST IMPRESSION MATTER popote pale duniani... Vijana msiogope kununua magari ya CC kubwa au Mamillion ya pesa kwani ukiliendesha weekend pekeake ni dhambi au litaoza..?
Mimi mwaka fulani nikiwa na maisha ya kawaida sana nikiwa early 20's nikanunua gari fulani yaan gari likionekana sehem kilamtu anasema Yes hilo ndio gari sasa na huyo ni mwanaume, ilikua full tinted nikishuka kilamtu alikua haamini kama ni langu mwanzo watu walihis nimeazima au nauzia sura tu, siku zikazid kwenda miez mwanaume nipo nalo wakaanza majungu litamshinda tu huyu dogo mafuta na service... You know what..? Nilipata ma deal mengi ya pesa kwasabab ya status ya gari langu tu, watu wanakushirikisha ktk ma deal ya pesa ndefu wanakupa connection kwasabab ya unavyo ji brand... From there nikaanza hadi kujenga na kufungua miradi ya hapa na pale...
Kwahio ktk maisha ukitaka kuanza kujenga nyumba jenga nyumba kilamtu akiiona anasema waoooh... Ukitaka kununua gari nunua gari mtu akiliona anakupisha road, traffic akiliona anakupungia mkono wa safar njema... Maisha yenyew mafupi halafu mnaanza kuogopeshana kuishi
Mara paaaaaaaaaaaaap umeshtuka kutoka ndotoni.
 
Lakini mimi naona Wabongo tunaishi kitajiri.
Wazungu wengi wa East Europe wanatumia usafiri wa baiskeli, mwendo kasi na train. Na wamejengwa kisaikolojia kuona kuwa hicho ni kitu chema kwa vile unafanya mazoezi, unapunguza kuchafua hewa, una sevu hela na pia unapata opportunity ya ku socialize.
Ni kwa vile tu hatutalii kwenda kujifunza kwa wenzetu.
Mkuu kama ulikua hauna taarifa ulaya au nchi zilizoendelea hakuna hela za pembeni kama unalipwa $800 dawa ni kupunguza tu matumizi tofauti na kwetu unaweza kua unalipwa 900,000 lakini siku ukaotea dili ukapiga 5m au hata 10m aisee hapo sasa ndo unaenda unakunja crown athlete 2GR...na kama kawaida unavimba...😂😂😂
 
Mkuu kwanini uliuza suzuki escudo grand?
Gari yangu naitumia naikubali sana engine yake japo kwasasa nimei park mafuta changamoto.
Service tu nlianza kuchemka
Nlijua mbeleni huko gari sitoitendea
Haki
Si unamuona huyu mwanangu Ana porsch cayan cheki linvyomtesa
Unaipeleka kwa mafundi wa chini ya muembe [emoji1] (sorry mwana)

Ova
RRONDO
20220908_145907.jpg
20220908_150134.jpg
 
Back
Top Bottom