Tuliwaonya vijana wanunue magari yanayotumia mafuta kidogo hawakutusikia

Hela ya pembeni huku kwenu ndio mnaita deal ni wizi. Ulaya hela ya pembeni ipo kwenye extra job or extra hours na iinalipa sana.
 
Hela ya pembeni huku kwenu ndio mnaita deal ni wizi. Ulaya hela ya pembeni ipo kwenye extra job or extra hours na iinalipa sana.
Hahaha mkuu sio moja kwa moja kuna sehemu niliwahi kuwepo extra hours ilikua 900,000 pure legit nje ya mshahara..pia hela ya pembeni inaweza ikawa commission au hata msaada kwa mtu i.e kihalali mtu anatakiwa alipie 40m yeye mwenyewe anakwambia anakupa 20m ingine potezea unafanyaje...?umlazimishe alipe yote nkt kasema hana...?
 
Well said
 
Mara nyingi wanaoponda IST huwa hawajawahi miliki hata starlet namba A..wivu tu au hawana kabisa lkn wanalalamikia mafuta
Kuna mambo lazima uwe na misimamo nayo, mfano kununua vitz mwanaume...hapana tembea kwa miguu ukiendelea kujikusanya ununue gari ya kiume...au hata usinunue kabisa[emoji23][emoji23]
 
waliopanga sinza [emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…