Tuliyokuwa hatuyajui kuhusu LUKAKU na Kujiunga Man United

Tuliyokuwa hatuyajui kuhusu LUKAKU na Kujiunga Man United

Usimfananishe simba na mwanadamu wewe......
Ibrah kacheza Netherlands, Italy twice, Spain, France na England....kote huko with success...
Unamfananisha na huyo kinda....[emoji1] [emoji1] [emoji1] ....

Wenger alimtaka Ibra kwa majaribio...unajua alijibiwa nini..."Zlatan don't do auditions"......[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkumbushe huyo dogo kamjulia cadabra uzeeni....ahahahaaa. wacha wajipe moyo na lacanyeti wao watqmkimbia kama walivyomkimbia sanogo na welbeck....huyo jamaa angekuwa mzuri asingeanzia bench giroud analianzisha national team.
 
Si kweli,

Chelsea walkuwa wanamtaka pia,that depicts his abilities. Lakini pia kama unataka top striker na sokon wanaopatikana ni morata, lukaku, harry kane (kwa kuvizia) lewandosk (not 4 sale)...utakuwa Wa ajabu kutokujaribu kumsajl lukaku. I believe the lad wil produce.
Wao wanajua striker ni lacanyeti...ahahaaaha. watulie ndio wajuwe mnyama lukaku ni nani hasa....
 
Nanyi mlitukebehi mno, mkatuambia wa mchangani, [emoji16] [emoji16] [emoji16] , nanyi mpo huko heheheh.

[HASHTAG]#utd[/HASHTAG]
Hivi unakaaje kwenye tv kuangalia mechi ijumaa? Muda wa kukaa club unafurahia unaanza kufuatilia timu inacheza ijumaa...daah. hivi vitimu vidogodogo hivi...kero tupu.
 
Back
Top Bottom