Tuma Salaam Kwa Watu Watatu

Salamu zangu ziende kwa 1. Mtu aliyetoa wazo la kununua bombadia 2. Mtu aliye chora wale twiga katika bombadia 3. Kwa Profesa wa uchumi anayelala ofisi ya chama buguruni....

Ujumbe: Utamu wa asali siyo uzuri wa ua bali ufundi wa nyuki....

Naachia line...
 
haah aaahaa tuma tena kwa watu watatu
 
Kwani uongo? Si ulichepuka wewe!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] namuwahi baby wangu.
Duh ! naona magamba yanavuliwa hadharani hapa yaani ni sawa na kusema fanya ujinga nilete upumbavu!
 
duhhh
 
huhuhuhuuuuuuu am back with the same smile bbyto. am happy you around making my world very small and happiest ever.
 
huhuhuhuuuuuuu am back with the same smile bbyto. am happy you around making my world very small and happiest ever.
Yaani Wewe ni Mchizi wangu, Mshkaji wangu, Best, rafiki, Mpenzi, mke, Mshauri , msaidizi, yani babe una-full package ndomana hata sitamani mwengine
 
Yaani Wewe ni Mchizi wangu, Mshkaji wangu, Best, rafiki, Mpenzi, mke, Mshauri , msaidizi, yani babe una-full package ndomana hata sitamani mwengine
i love you every second honey
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…