Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

Nilishawahi kukutaja kwenye uzi fulani hivi hukuja,naogopa kuchuniwa mara mbili

Mie pia ni binaadamu nina moyo ujue,nikiliwa buyu naumia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shemeji ndio nini hii unamfanyia mdogo wangu lakini?
 
mimi wewe yule wale na wao pia
 
Kwa hiyo umeamua kutumia code ili tusilalamike hatujatajwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah
 
kwa mujibu wa tafsiri ya jina lako kwetu tunaita katwe, so ni mnyambulisho wa maneno tu
btw im sorry kama imekuchefua nilimaanisha khantwe..
ulivyoniita kuna mtu ndio anapenda kuniita hvo hadi nimemiss
Ohoo, ungesema sasa
 
Napenda kutuma salamu kwa Baba yangu aliye Nchi sa Nje Mlogolo
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…