Mungu hayupo ,dini ni utapeli ,ila kula skukuu mkuu , au nikutumie pesa ya ata soda mkuu.Anayeabudiwa tarehe 25 December ni Tamuzi, muungu wa Babeli aliyeingizwa afanane na YESU Ili aabudiwe Kwa Siri na wakristo. Hiyo ni KAZI ya waroma.
Mnaabudu miungu Kwa kujua au kutojua.
Soma (Yeremia 7:17-18), (Ezekiel 8:1-20), (Mwanzo 1:8) Nimrod ndiye baba wa Tamuzi wa mchongo.
Mwisho wa mwaka tu, wazungu wameamua kuchagua siku 2 za kufurahi, kula vizuri, kutembeleana na kupeana zawadi. Maana watu huwa washafanya kazi mwaka mzima hawajapumzika wala kutembelana.Jamani mwenye maelezo mazuri hii krismas ilitokana na nini maana kuna mkakanganyiko sana hapa kuhusu hii siku
π€£Mnanizuia kwa sababu sijui zizi lilikuwa na ng'ombe wangapi wallah Subirini IddiView attachment 2852548
Hizi dini tumeletwa bhana, hebu ongeza huyo kuku π€£π€£π€£Ukiona kuna mkanganyiko, basi tambua fika hiyo sikukuu haikuhusu! Na hivyo waachie wenye sikukuu yao wafurahie, na wewe endelea na shughuli zako za kila siku.
π€£π€£ dah!Merry Christmas dearπ²
Asante sana ndugu yangu.Heri ya X-mass kwa kaka Shimba ya Buyenze na mkuu Max
Miss you mdogo anguOK OK OK
Natuma salamu kwa ndugu Baba Anna na Dada Evelyn Salt
Hahaha Siki na Sifongoπ€£
Halafu huwezi aminiπ€£
bado haujasema utasema yaani mpaka usemeeMama Mwana unaniuaaaaaa π€£π€£π€£
Swahiba hata wewe wa kushindwa kuniwish? ππMwisho wa mwaka tu, wazungu wameamua kuchagua siku 2 za kufurahi, kula vizuri, kutembeleana na kupeana zawadi. Maana watu huwa washafanya kazi mwaka mzima hawajapumzika wala kutembelana.
Just kidding π
Unamwongelea mwanamke yupi?Shida ya dini kuchanganya Biblia,Ndoto za mwanamke kalala kaota malaika watatu na mafundisho ya kipagani na kujenga doctorine ya kanisa la sabato.Kama ulivyoandika hapo ni mchanganyiko wa hayo matatu
Ukristo unajengwa kwenye kitu kimoja tu Biblia pekee sio hayo matatu
Lazima watajwe, maana wanapeleka wengi kuzimu Kwa kutojua.Hivi kwanini usi-concentrate na ya huko unakokuona kuzuri?? Hivi imani yako haikamiliki bila kuwataja waroma??
Rabbon ni mkristo Si msabato.Wewe msabato na itikadi yenu ya SDA umeshawehuka.