Tuma Salamu za Krismas kwa watu wawili Unaowapenda sana hapa JF

Mungu hayupo ,dini ni utapeli ,ila kula skukuu mkuu , au nikutumie pesa ya ata soda mkuu.
 
Jamani mwenye maelezo mazuri hii krismas ilitokana na nini maana kuna mkakanganyiko sana hapa kuhusu hii siku
Mwisho wa mwaka tu, wazungu wameamua kuchagua siku 2 za kufurahi, kula vizuri, kutembeleana na kupeana zawadi. Maana watu huwa washafanya kazi mwaka mzima hawajapumzika wala kutembelana.

Just kidding 😁
 
Ukiona kuna mkanganyiko, basi tambua fika hiyo sikukuu haikuhusu! Na hivyo waachie wenye sikukuu yao wafurahie, na wewe endelea na shughuli zako za kila siku.
Hizi dini tumeletwa bhana, hebu ongeza huyo kuku 🀣🀣🀣
 

Attachments

  • 9760bc78acb34763a4c85b6972cd0fbc.jpg
    36.7 KB · Views: 3
Dada To yeye salamu zikufike hapo ulipo ila nakukumbusha kuwa ni hapa City Pub Mwanjelwa tafadhali ukiweza jongea ila kikubwa nakupenda bure ila upendo wa Agape sio wa dyudyu.

Zingine nazituma kwa ndugu yangu DR Mambo Jambo ndugu mwaka umeisha ndugu yako nabadilika sasa naunza mwaka na mambo mapya twende tukazitetee afya za watanzania .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Unamwongelea mwanamke yupi?

Kama ni Hellen White, Mimi Si msabato, wasabato Si wakristo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…