Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.

Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.

Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
Screenshot_20230729-072148_PDF Reader.jpg


Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.

Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!

Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.

Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.


Nawasubiri!!
 
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.

Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.

Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848

Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgowanyo wa mapato?

Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.

Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.

Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.


Nawasubiri!!
Tatizo la Watanzania ni ujinga, hawatopata kitu kama hicho na wataendelea kuwajaza watu ujinga na watu waJF wataendelea kukubishia vitu "irrelevant" kabisa na wataishia matusi na kutukana kila aina waijuwayo.

Niliandika hivi:

 
Tatizo la Watanzania ni ujinga, hawatopata kitu kama hicho na wataendelea kuwajaza watu ujinga na watu waJF wataendelea kukubishia vitu "irrelevant" kabisa na wataishia matusi na kutukana kila aina waijuwayo.

Niliandika hivi:

Nawasubiri hapa. Leo nataka tukate mzizi wa fitna maana hii nchi watu wanapenda sana kuwapotosha watu kwa kuwa hawana tu uelewa wa mambo!
 
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.

Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.

Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848

Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgowanyo wa mapato?

Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.

Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!

Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.

Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.


Nawasubiri!!
Kabla haujaenda huko kooote na uanasheria wako upepo. Hakuna IGA inayoweza kuingiwa kati ya Dubai na Tanzania, so acha kupotezea watu muda wa kutaka ufafanuzi wa vitu ambavyo existence yake kisheria ni haramu.
 
Hatutaki DP World, bandari tutaendesha wenyewe, kama wao wanaweza kupata faida na sisi tunaweza mara mbili, hakuna kugawana na mwarabu pesa yote lazima ibaki TZ, jiamini acha kuwa soft, Lisu anajua na ana nia nzuri, kwa sasa nasikia bandari inaingiza trillion nane tena kwa uendeshaji wa kizembe na wala rushwa wa CCM, dawani kuwekeza za kutosha na kuajiri wataalam waliobobea, waambie bandari haiuzwi wala mwekezaji hahitajiki
 
Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.

Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.

Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848

Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.

Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgowanyo wa mapato?

Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.

Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!

Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.

Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.


Nawasubiri!!
TFF wamempa kocha.....mkataba wa miaka mi 4 kuifundisha Taifa stars kwa makubaliano ya kufuzu fainali za CAF mwaka.....na kuwa mashart mengine ni kuifundisha timu ya vijana na kwamba mkataba utavunjwa endapo timu haita fuzu na vivyo hivyo ataongezewa mkataba timu ikifuzu.

Hapo ni TFF tu,lkn huyu dipiiiwelidi sijui ana upekee gani mpaka awe wa milele.
Labda tuanzie hapa kwanza kabla Lissu hajaja kukujibu ingawa najua kuwa majibu unayo.
 
Hatutaki DP World, bandari tutaendesha wenyewe, kama wao wanaweza kupata faida na sisi tunaweza mara mbili, hakuna kugawana na mwarabu pesa yote lazima ibaki TZ, jiamini acha kuwa soft, Lisu anajua na ana nia nzuri, kwa sasa nasikia bandari inaingiza trillion nane tena kwa uendeshaji wa kizembe na wala rushwa wa CCM, dawani kuwekeza za kutosha na kuajiri wataalam waliobobea, waambie bandari haiuzwi wala mwekezaji hahitajiki
Rejea angalizo- Sitaki longolongo
 
TFF wamempa kocha.....mkataba wa miaka mi 4 kuifundisha Taifa stars kwa makubaliano ya kufuzu fainali za CAF mwaka.....na kuwa mashart mengine ni kuifundisha timu ya vijana na kwamba mkataba utavunjwa endapo timu haita fuzu na vivyo hivyo ataongezewa mkataba timu ikifuzu.

Hapo ni TFF tu,lkn huyu dipiiiwelidi sijui ana upekee gani mpaka awe wa milele.
Labda tuanzie hapa kwanza kabla Lissu hajaja kukujibu ingawa najua kuwa majibu unayo.
Rejea angalizo - Sitaki longolongo.

Swali langu na mambo ya TFF wapi na wapi?
 
Tatizo la Watanzania ni ujinga, hawatopata kitu kama hicho na wataendelea kuwajaza watu ujinga na watu waJF wataendelea kukubishia vitu "irrelevant" kabisa na wataishia matusi na kutukana kila aina waijuwayo.

Niliandika hivi:

Akawape bandari za ZANZIBAR.
 
Kabla haujaenda huko kooote na uanasheria wako upepo. Hakuna IGA inayoweza kuingiwa katinya Dubai na Tanzania, so acha kupotezea watu muda wa kutaka ufafanuzi wa vitu ambavyo existence yake kisheria na haramu.
Wana sheria wenu uchwara kule Mbeya walibwagwa mahakamani kwenye hilo mapema tu, wakaufyata.

Hujasoma updates za @@Mdude_Nyagali na Erythrocyte?
 
Back
Top Bottom