S.M.P2503
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 2,421
- 4,344
mbona kule kwenye kesi ya mbeya swali hilo lilijibiwa au hukuwepo mahakamani? au labda unge-seek ujumuishwe ue interested party? swali hili lilijibiwa. Rejea mawasilisho ya kule mbeya kwenye hiyo kesi wakati mahakimu wako mchakatoni kutoa maamuzi.Leo tukate mzizi wa fitna Bwashee. Tujue humu nani wapotoshaji nani wanasema ukweli.
Tujue pia nani wakweli na nani wamehongwa kweli?