Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #361
Kakosea na kapotosha kama swali nililomuuliza katika uzi linavyojielezaKakosea kitu gani wakati hata sheria ndogo ndogo za halmashauri unayokaa huzijui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakosea na kapotosha kama swali nililomuuliza katika uzi linavyojielezaKakosea kitu gani wakati hata sheria ndogo ndogo za halmashauri unayokaa huzijui?
Kamkamate sasa kuthibitisha ujasiri wako wa kipanya unatumwa kwa malipo ya nusu rupia?Kakosea na kapotosha kama swali nililomuuliza katika uzi linavyojieleza
Mimi sina mamlaka ya kumkamata. Wajibu wangu ni kuhakikisha aendelei kufanya upotoshajiKamkamate sasa kuthibitisha ujasiri wako wa kipanya unatumwa kwa malipo ya nusu rupia?
Great minds discuss ideas, average minds discuss events, mediocre minds discuss people. - Socrates.Nimemsikia Lissu akiyasema makubaliano yetu ya Tanzania na Dubai hayaoneshi kiwango cha uwekezaji utakaofanywa na mgawanyo wa mapato, akitumia hiyo kama moja ya sababu ya kuyaponda makubaliano tuliyoingia na Dubai kuhusu masuala ya uwekezaji.
Lissu anasema haya huku nikiwa na uhakika kuwa anapotosha kwa sababu najua kwa hakika kuwa anajua IGA au BIT ikiwa imetoa nafasi ya kuwepo kwa HGA haiwezi kuzungumzia uwekezaji husika na mgawanyo wa mapato kwa kuwa HGA ndo mkataba wa uwekezaji mahsusi ambao ndiyo unaoonesha aina ya uwekezaji, kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato.
Pili najua kuwa amesoma IGA yetu na Dubai na anajua imeeleza katika Ibara ya kwanza sehemu ya pili kuwa Kutakuwa na Mikataba Mahsusi ya Uwekezaji baina ya Tanzania na Dubai ambayo inaeleza haki na wajibu wa kila upande.
View attachment 2701848
Kwa kuwa najua Tundu Lissu yupo humu na nina uhakika atasoma huu uzi. Leo nataka atuambie humu.
Kuna IGA au BIT gani iliyowahi kuingiwa Duniani (POPOTE PALE) ambayo imetoa nafasi ya kuingiwa kwa HGA ( Mkataba mahsusi wa uwekezaji) alafu still ikaonyesha kiwango cha uwekezaji, aina ya uwekezaji na mgawanyo wa mapato?
Ninaweka ahadi apa! Endapo Tundu Lissu atajibu hili swali au mtu yeyote atajibu hili swali kwa ufasaha na kama nilivyouliza basi nitakuja na Verified ID humu.
Ifike kipindi sasa aache kuwadanganya watu kwa kuwa tu hawana uelewa wa mambo!
Tundu Lissu & Co nawasubiri humu.
Angalizo. Muje na Majibu sio longolongo.
Nawasubiri!!
Kweli kabisa. Ndo mana hakuna discussion ya mtu hapa.Great minds discuss ideas, average minds discuss events, mediocre minds discuss people. - Socrates.