Tumchangie Lissu 30 Million za Mkutano Mkuu wa CHADEMA

Tumchangie Lissu 30 Million za Mkutano Mkuu wa CHADEMA

Chama hakina vipaumbele vyake muhimu?

Kama wanapata ruzuku walishindwa vipi kuweka akiba ya kufanyia uchaguzi ?

Wajumbe wa mkutano mkuu wanahitaji nauli , wanahitaji kula , n.k

Na uchaguzi huwa unafanyika kila baada ya miaka 05.

Mbowe inatosha sasa

Kuna kila sababu ya kufikiria hili jambo pia .

Watu wakisikia shilingi ya kitanzania 1 bilioni zao mauzo ya kadi za kidijitali za chama wanadhani ni nyingi sana zinaweza kuendesha chama kikubwa kama CHADEMA, labda 1 billion in Kenya shillings lakini siyo pesa yetu ya shillingi ya kiTanzania.

Ruzuku ya chama cha siasa CHADEMA shilingi 107 milioni ndiyo pesa ndogo sana.


Sasa kununua gari la Tundu Lissu pamoja na michango bado imeshindikana kufikia 130 milioni apate gari ya kazi za chama, pamoja ya kwamba Tundu Lissu ni popular na amepitia mengi lakini watanzania pamoja na wanachama wa CHADEMA tumeshindwa kukusanya kiasi hicho kidogo.

Kuendesha chama cha siasa siyo mchezo ni mikakati na mbinu za ziada zinahitajika.
 
Hahah anaweza tumia mbinu ovu
Hilo lipo kabisa,ila akitumia mbinu ovyo ni vyema Lissu,Heche na wengine watafute platform nyingine kuwasemea watanzania hii nchi Bado ina space yakuanzisha chama pinzani chenye nguvu kuliko Chadema unahitaji Great thinkers kujua ni kipi kitawaunganisha watanzania Kwa wingi wao I mean bond ,iwe ni labor au youth group uka set agenda vizuri na principles mchana kweupe mnasonga
 
Heshima sana wanajamvi.

CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Mbona hiyo deficit ameshaijaza Abdul kwa zile 250m alizolipa Sultan Mbowe ambazo baadae Sultan Mbowe atakidai tena chama . Tuliza kalio
 
Ebu fikiria bunge la 11 Lissu hajawahi kutoa hata ndururu kama mchango kwa chama chake.

Kuongezea michango ya wabunge ipo ndani ya katiba ya chama.
Wacha uongo,michango ya wabunge ilikuwa inakatwa moja kwa moja kwenye mishahara yao,nyumbu wa Sultan mumekuwa waongo kama bwana wenu.
 
Wacha uongo,michango ya wabunge ilikuwa inakatwa moja kwa moja kwenye mishahara yao,nyumbu wa Sultan mumekuwa waongo kama bwana wenu.
Unaweza kunijibu katika lugha ya kistaharabu na tukaelewana.

Ni kweli michango ilikuwa ikikatwa moja kwa moja kutoka mishahara ya wabunge,lakini hali ilibadilika baada ya ujio wa Magufuli ambaye alitaka wabunge wachangie wenyewe.
 
Unaweza kunijibu katika lugha ya kistaharabu na tukaelewana.

Ni kweli michango ilikuwa ikikatwa moja kwa moja kutoka mishahara ya wabunge,lakini hali ilibadilika baada ya ujio wa Magufuli ambaye alitaka wabunge wachangie wenyewe.
Wamachame safari hii mumeyatimba.
 
Wamachame safari hii mumeyatimba.
Huna hoja.Umeuliza swali umejiwa umekimbilia maneno ya mitaani ambayo hata wauza kashata wanauweza wa kuyatamka.

Hoja Magufuli alikuja na mfumo ambao wabunge walikuwa na hiyari ya kuchanga au kutokuchanga Lissu aliamua kikitekeleza chama chake.

Magufuli alifanya hivyo mahususi akijua watakuwemo baadhi ya wabunge ambao wangesusa kuchanga na kupunguza uwezo wa chama kifedha.

Kama uwezo wako wa mnakasha ni hafifu usipende kuuliza maswali ambayo huna uwezo wa kutetea.
 
Huna hoja.Umeuliza swali umejiwa umekimbilia maneno ya mitaani ambayo hata wauza kashata wanauweza wa kuyatamka.

Hoja Magufuli alikuja na mfumo ambao wabunge walikuwa na hiyari ya kuchanga au kutokuchanga Lissu aliamua kikitekeleza chama chake.

Magufuli alifanya hivyo mahususi akijua watakuwemo baadhi ya wabunge ambao wangesusa kuchanga na kupunguza uwezo wa chama kifedha.

Kama uwezo wako wa mnakasha ni hafifu usipende kuuliza maswali ambayo huna uwezo wa kutetea.
Malizeni maneno na masimango yote lakini Lissu ndiye mwenyekiti ajaye.
 
"Kama kukusanya mchango milioni 130 kununua gari imechukua zaidi ya miezi 8 ,wakati mbowe ametoa milioni 250 on the spot .je huyo mtu anaweza kufanya operations zitakazohitaji fedha za chap chap?" - NTOBI Mdahalo Star TV.
 
Hilo lipo kabisa,ila akitumia mbinu ovyo ni vyema Lissu,Heche na wengine watafute platform nyingine kuwasemea watanzania hii nchi Bado ina space yakuanzisha chama pinzani chenye nguvu kuliko Chadema unahitaji Great thinkers kujua ni kipi kitawaunganisha watanzania Kwa wingi wao I mean bond ,iwe ni labor au youth group uka set agenda vizuri na principles mchana kweupe mnasonga
Uhakika mkuu. Upo sahihi
 
Hela ya kwenda kula bata na mama wa kizungu Ubelgiji anayo lakini hizi anataka achangiwe. Hebu acheni upumbavu
 
sijaelewa mantiki ya kusema wajumbe wachange, badala ya kusema raia wachange. mbowe kaweka mtego ili ionekane lisu hana hela kama alivyomtangaza.
 
Watu wakisikia shilingi ya kitanzania 1 bilioni za kadi za chama wanadhani ni nyingi sana zinaweza kuendesha chama kikubwa kama CHADEMA, labda 1 billion in Kenya shillings lakini siyo pesa yetu ya shillingi ya kiTanzania.

Ruzuku ya chama cha siasa CHADEMA shilingi 107 milioni ndiyo pesa ndogo sana.


Sasa kununua gari la Tundu Lissu pamoja na michango bado ikeshindikana kufikia 130 milioni apate gari ya kazi za chama.

Kuendesha chama cha siasa siyo mchezo ni mikakati na mbinu za ziada zinahitajika.
Taja matumizi ya pesa CDM
Hela ya kwenda kula bata na mama wa kizungu Ubelgiji anayo lakini hizi anataka achangiwe. Hebu acheni upumbavu
Wewe ni msukule tu, you should pull your Head from your ass hole uweze kuwaza vizuri.
 
Back
Top Bottom