Tume ya Haki Jinai kuanza kuzichunguza TAKUKURU, DCEA, Polisi, Magereza na Mahakama kesho

tunaishauri hii Tume ianze kuvichunguza kwanza hivi vyombo vya haki jinai, kwani wakati mwengine ndani ya vyombo hivi vinafanyiania uonevu mkubwa sana wao kwao wao ndani na matokeo yake huathiri utendaji kwa ujumla.
 
tunaishauri hii Tume ianze kuvichunguza kwanza hivi vyombo vya haki jinai, kwani wakati mwengine ndani ya vyombo hivi vinafanyiania uonevu mkubwa sana wao kwao wao ndani na matokeo yake huathiri utendaji kwa ujumla.
Sahihi
 
Takukuru Tanzania inabidi ifutwe wafukuzwe wote na waanze upya kwani ndio wanaoendeleza rushwa nchi nzima wanitafute niwape mifano hai haswa temeke ile ofisi imejaa wala rushwa na sio wanaopambana na rushwa
 
Hakuna ujinga ni rushwa ilifanyika
 
Wengine hawakuwahi kukemea, tumpongeze
Kina nani wengine? JPM si aliweka watu ndani bila kuangalia sura? Hebu niambie wapi maneno matupu yamerekebisha kitu?
Mazee mkono mtupu haulambwi! Actions, ili tusonge mbele. Taifa letu lazima liwe na uwezo wa kujitibu, ili siku moja tuwe Taifa lililoendelea
 
Kuna Tume ngapia zilizoshawahi kutungwa na hakuna kitu. Siku moja atakuja Rais , ataunda Tume kuchunguza Tume zilizowahi kupita. Ndio siasa ilivyo.
Ukiona tume imeundwa ujuewanataka kuhalalisha maovu ili waseme hatatume imechunguza nahawajaona tatizo kila siku tatizo ni mabeberu je kwanini kama mabeberu ni waovu hamachani nao makaenda kwa warusi au wachina??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…