Pre GE2025 Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yamkuta na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka Paul Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tafadhali naomba kufahamushwa hii tume ya haki za binadamu ni chombo huru kinachojitegemea?kipo chini ya wizara gani?mwenyekiti wake huteuliwa na nani?

Wajumbe wake hupatikani vipi? Taarifa za utendaji wa tume huwasilishwa wapi kwa ajili ya utekelezaji wa mapendekezo ya tume?

Kiongozi aitwapo na tume hii na kugoma kwenda kutoa utetezi wake tume inanguvu gani za kumtaka mwajiri wake amuwajibishe?
 
Huyo Makonda, hata nchi maarufu duniani ya Marekani, imempiga marufuku kukanyaga nchi yao, Kwa kile walichokiita kuwa Makonda ananyima haki ya kuishi ya wananchi wa TZ
Nategemea na tanzania itawapa ban wamarekani walio mtundu lissu Trump.........tunaanza na raisi wao kenge wengine wanafata au itakuwa vice versa
 
Acha ujinga wewe, huyu jamaa yako ana tuhuma mpaka CIA!
 
Pia ametajwa kukaidi kutoa ushirikiano kwa Tume hiyo alipohitajika kuhojiwa.

Mytake: Mamlaka ya uteuzi ya Tanzania inadharau hata Tume yake yenyewe, Sasa mtu kama huyu anayemteua huwa anatoa picha gani kwa Wananchi?

Rais unapomteua Mharifu kama huyu ambaye tume yako mwenyewe imembaini na ameidharau, hivi sisi Raia unatuana ni mabwege kiasi gani? na kwamba unatuchukuliaje? kwamba wewe hukuyajua haya?

 

 
Kwa kuwaweka ndani watu bila kuwapeleka mahakamani masaa 96? Angewekwa dada yako au mama yako ndani ungesema hivyo?
Tusipende kulaumu sana! Kwanza jukumu la kupeleka Mahakamani sio la Mkuu wa Mkoa! Polisi ndo wanahusika! Tume inatumika na watu kumchafua Makonda!
 
Pia hivi? Nyie makonda tu ndiye mnaona anakiuka hizo sheria? Je polisi waliomshikilia mtu huyo kinyume na PGO yao sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai na kanuni zake na sheria ya dhamana pia? Na wakiwa km watumishi wa uma na wao mliwaita mbele ya tume? Kwani makonda anawafundisha kazi?

Kingine yule mwananchi aliyeshikiliwa handen tanga kihuni km katekwa hata ndg hawapaswi kumuona RPC mmemfungulia mashtaka? Hebu mtuache huko mnalenu mlilotumwa dhidi ya makonda nchi hii wachapa kazi hasa walio upande wa wanyonge huwa hamtaki waishi tena wakiwa wanakubalika kwa wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…