Tume ya Katiba Iondoke Sasa Isiongezewe Muda ni Kupoteza Kodi za Wananchi Bure!!

Tume ya Katiba Iondoke Sasa Isiongezewe Muda ni Kupoteza Kodi za Wananchi Bure!!

- Nitakapofikisha miaka 55 nitakwambia maana hata MWenyekiti wako wa Chadema ambaye ni mkubwa kwa umri kuliko mimi hajafikia miaka 55, so relax bro halafu usiniambie kwamba Slaa mwenye miaka 75 hafai kabisa maana kwa hii hoja yako ina maana mwenye miaka 75 anatakiwa kufa kabisa au? ha1 ha!

Le Mutuz

Hata Nape alitukana wazee kuwa wanasubiri kufa, kwa hiyo wewe kurudia kauli hiyo hiyo inaonyesha aina ya malezi vijana wa CCM mmepitia. Mi nimeishaona record zako za shule ya sekondari huku zikionyesha mwaka wako wa kuzaliwa, una umri wa miaka 55 na miezi 7,,,, huna pa kujificha wala kukwepa umri wako. Fani ya siasa wewe huiwezi, rudi kapige kazi ya Ubaharia, ongea vizuri na katibu mkuu wako Kinana ana meli za kusafirisha pembe za ndovu na silaha za al shabaab, ingia huko utatengeneza hela nzuri tu. Wakati sisi vijana wa miaka 20 chini yako tuko JOB saizi tunaingiza siku na kujenga taifa maana kuna watanzania wengine wanapata mishahara kutokana na ubunifu wetu, wewe uko kwenye makochi ya mama Kilango unacheza na Social Media. Ha haa ahaaaa kula kulala at 55
 
Kila tume ina hadidu rejea zake, labda tuanzie hapo, na sijui kama unajua Tume hii hadidu rejea zake ni zipi pasi kuizuia kwenda kwenye media. Kukuchambua nafsi yako sio utoto bali kuwaelimisha wasiokujua waelewe wewe ni mtu wa ain gani.....still a hopeless person to me!.....ila una mguu bomba sana!

william+john+094.JPG


Naona kapiga shati over-size.Kwa kama mtu asiyejua hata nguo inayomfaa yeye mwenyewe akapendeza sidhani kama ataweza kujua Watanzania tunataka katiba ya namna gani?
 
Yaani huu Uzi kabla sijafungua"moyoni"nilisema mmh atakua Wiliam ndo ameandika,nafungua nimekuta kweli,hivi Lemutuz anauwezo gani kupingana Warioba!nilichogundua kutoka kwa Lemutuz ni kwamba anatafuta Hoja isiowekana kupinga,alafu anapinga hili akikaa na wasiojielewa ajisifu Uzi wake umechangiwa na watu wengi,kuanzia sasa nitapita kwa kasi tu katika Uzi wa Le mutuz
#Ex Tanzania Simper aliquid novi#

- ha! ha! ha! ha! umenivunja mbavu mamen! ha1 ha! ha!

Le Mutuz
 
Naona kapiga shati over-size.Kwa kama mtu asiyejua hata nguo inayomfaa yeye mwenyewe akapendeza sidhani kama ataweza kujua Watanzania tunataka katiba ya namna gani?

- ha! ha! hizo ni nguo za summer na kwenye swimming pool maana hapo pool side u know! kama hujui si uulize kwanza, ha1 ha! ha!

Le Mutuz
 
Hata Nape alitukana wazee kuwa wanasubiri kufa, kwa hiyo wewe kurudia kauli hiyo hiyo inaonyesha aina ya malezi vijana wa CCM mmepitia. Mi nimeishaona record zako za shule ya sekondari huku zikionyesha mwaka wako wa kuzaliwa, una umri wa miaka 55 na miezi 7,,,, huna pa kujificha wala kukwepa umri wako. Fani ya siasa wewe huiwezi, rudi kapige kazi ya Ubaharia, ongea vizuri na katibu mkuu wako Kinana ana meli za kusafirisha pembe za ndovu na silaha za al shabaab, ingia huko utatengeneza hela nzuri tu. Wakati sisi vijana wa miaka 20 chini yako tuko JOB saizi tunaingiza siku na kujenga taifa maana kuna watanzania wengine wanapata mishahara kutokana na ubunifu wetu, wewe uko kwenye makochi ya mama Kilango unacheza na Social Media. Ha haa ahaaaa kula kulala at 55

- Kwanza sina umri wa miaka 55 maana Mwenyekiti wako Chadema ananizidi umri na hana miaka 55, pole sana lets say una point sasa inakuwaje mwenye miaka 75? ha1 ha! ha!

- Nipo ofisini kwangu hapa Tancot house 2nd FL sipo kwenye makochi ya mama yako kama ulivyosema, ha1 ha!

Le Mutuz
 
Apa ni bora kujadili sorce and not conclusion
Embu tuiangalie hii familia ya Mzee Malicela kuwanzia baba mpaka watoto.
Ebu tuanze na mkee wake ambae wengi tunamfahamu kuwa ni kilaza anaetumia kelele kuwasilisha hoja zake na kujifanya ni mkorofi kiasi kwamba ata mume wake akimchezea anamfunza adabu.
Pili tuje kwa hili kubwa jinga linalotumia umaarufu wa baba yake na kujiona eti ananguvu kisiasa wakati ukweli ni kilaza aliepitiliza.
Kisha niwaache nikisema
Ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi, Yani limwili lote lile kumbe ubongo wa mende?
 
Die hard fanatisim is a form of mental disorder dude!! WJ Malecela seek psychiatric help.
 
- Nimetoa sababu za kunifanya niseme kwamba tume haina mshiko ni bora ikafutiliwa mbali now, hizo quations zako sijaona Tume inaporuhusiwa kulazimisha wananchi kuwa na Serikali tatu, pole sana una mapovu mengi lakini huna hoja masikini wa mungu!!

Le Mutuz

Tatizo ni kwamba unaangalia utendaji wa Tume ya Warioba kwa kutumia miwani ya CCM,Hapo huwezi kuuona ukweli ndugu yangu.Tume ya Warioba ya inafanya mambo yake kwa kufuata sheria.CCM walitaka kuteka nyara mchakato wa Katiba kupitia Mabaraza ya Katiba ambapo walijaza watu wao lakini Tume ikawashtukia sasa mnalia nini?
 
Siwezi kuacha watu kama wewe walete upotoshaji kisa nionekane mweupe! Nitapambana na wewe kila utakapo jaribu kupotosha wengine. Wewe ni nani ututolee amri kuwa tume iondoke kwa kuwa inakula kodi zetu. Wewe unalipa kodi?

Mkuu acha kujibizana na Darasa la VII unampa kichwa. Ana hoja hani zaidi kuduplicate anachosema Bulembo? Rasimu yenyewe kaisoma huyu? Leave this old bogus alone. Do some serious work.
 
- Big nah! hawa tume ya Katiba wamegeuka kuwa opposition Institution ndani ya Serikali, wasiongezewe muda ni muhimu sana wakaondolewa hata leo kwa sababu tayari walishaamua mapema sana matokeo kabla hata ya kukusanya maoni kama walivyotakiwa na Sheria iliyowaunda. Nimeshuhudia kwa macho na masikio yangu nikiwa Moshi kwenye mkutano wa Tume hii na wananchi, Mjumbe wa Tume hii Butiku akiwakaripia wananchi kwamba Serikali tatu haina mjadala tena imeshapita, wananchi walipomjia juu akasema kwamba hana muda wa kusikiliza tena maana hiyo hoja tayari imeshapita, hivi hii tume ni kweli iliundwa kulazimisha wananchi hoja au maoni yao?

- Tume imejitwika madaraka makubwa mno ya kutengeneza maoni ya wananchi badala ya kusikiliza maoni ya wananchi, kama tume ina tatizo na maoni ya wananchi kuwa sio yao basi ingeandika kwenye majumuisho kwamba ina wasi wasi maoni mengi ya wananchi hayakuwa yao yalikuwa ni ya vyama vya siasa kwa sababu vyama vyote vya siasa nchini vinahusika na kuwapiga msasa wananchama wake kuhusu interest za vyama vyao kwenye katiba mpya wala sio siri. I mean kwa wajumbe wa Tume kuwakaripia wananchi wakitoa maoni yao kama nilivyoona Moshi na Singida, ni very clear kwamba Tume ilishapoteza uhalali wake kisheria siku nyingi sana.

- sijawahi kuona Tume ya kukusanya maoni tu, ipo kwenye media kila siku wajumbe wa tume wanaongea na media almost kila wakati WHY? Kazi yao ni kukusanya maoni tu sasa kwenye media wanatafuta nini? Wajumbe wa Tume wameingia mpaka kwenye malumbano na wanasiasa WHY? Kazi yao si ilikuwa kukusanya maoni tu ya wananchi, mbone tume zingine zilizopita hatukuwasikia kwenye media mpaka walipofikia kutoa ripoti tu, hii tume ya Katiba imepata wapi haya mamlaka mazito ya mpaka kukemea wananchi kuhusu maoni yao binafsi kwenye mikutano yake?

- The more wanavyozidi kuwepo ni more wanavyozidi kutuchanganya na kutugawa wananchi kwa sababu wanapenda sana media, nilijua muda hautawatosha maana kila wakati wapo kwenye malumbano na wanasiasa kwenye media sasa muda wa kuchambua maoni watautoa wapi? Nasema hivi Ikulu isiwape muda zaidi maana hii tume ni useless na ni waste, I mean katika kutembelea Dunia nzima as I have done except nchi 10 tu sijawahi kusikia tume inayokusanya maoni ya wananchi inalumbana na na walioituma kabla ya kuwasilisha ripoti yake, kwa kawaida huwa kunakuwa na malumbano baada ya kuwasilisha sio in the process ya kukusanya maoni, ndio ninasema hii ni tume iondolewe now inapotesa muda bure na mapesa ya wananchi, haifai kwa sababu ina wajumbe waliokwisha amua mapema sana maamuzi yao yawe ya wananchi na huku wakijua wazi kwamba ni against the law!

- HII TUME WANATUVURUGA VICHWA BURE WANANCHI IONDOLEWE NOW NA ISIONGEZEWE MUDA KABISA KWA SABABU TAYARI MWANANCHI KAMA MIMI NAJUA MATOKEO YA UCHAMBUZI WAO UTAKUWA NI NINI KUTOKANA NA MANENO YAO MENGI SANA KWENYE MEDIA NA MIKUTANO YAO, SO WAPO COMPROMISE HAWAFAI! NA NASHAURI IN THE FUTURE TUME KAMA HIZI WAPIGWE MARUFUKU KUONGEA NA MEDIA AU KUWEKA MAONI YAO KWA WANANCHI!!

- KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


Le Big Shoow - The King Of All Bongo Network Social Media@ Blogu ya Wananchi.

Yaani hili jamaa ni jinga sijawahi kuona, lilaaniwe yeye na vizazi vyake!!!!! this man deserve not to live in this Nyerere Land, our Tanganyika!! yaani hapa Ndugu yangu Nape ndo CCM inapotukanwa aisee!!!!! HUYU ---- ANATUHARIBIA CHAMA NASEMA KILA SIKU LKN HAMSIKII, HILI LIPUMBAVU LINAUA CHAMA AISEE!!!
 
Hivi we kibonge huwa zinakutosha au umezidiwa na mwili?
Mbona unamzalilisha mzee wako kutwa kushinda kwenye mtandao huna kazi?

Akina Masongange wanamsaidia kusambaza mzigo. Kulijibu jitu lisilojitambua kama hili at his old age ni kupoteza muda mkuu
 
- Sawa sawa mkuu ila sijaona Sheria yako inaposema Tume itawaamulia wananchi wakubali kwa nguvu Serikali tatu, na sijaona inaposema tume itakuwa kwenye media kulumbana na walioichagua, sijaona hayo naomba nonyeshe mkuu wangu!!

- Angalau wewe umejitahidi kujadili kwa hoja ingawa ni nje ya mstari anyways, lakini angalau!!

Le Mutuz
Mkuu unafahamu matatizo ya Tume ya Katiba yanatokana na sheria mbovu zinazoisimamia. Sheria zimeacha mipaka wazi katika utendaji wa Tume na pale tume inapoanza kutumia mwanya huu watu wale wale waliotunga na kuzipitisha wanaanza kulalamika.

Layman example. Kama ninafanya kazi kwenye hotel yako na ukaniambia kama nikipata njaa nile chakula na kweli nilipopata njaa nikaamua kula kile chakula cha bei aghali na pale ulipogundua kuwa nimekula kile chakula cha bei aghali unaanza kulalamika kuwa hicho ni chakula cha wateja pekee wakati hukuwahi ku-specify wakati unanipa ruhusu kula chakula.

Hebu nifafanulie, hii sentesi ya kipengele cha 2(1) ina maana gani kisheria,
" Tume inaweza kushughulikia jambo lolote kama itakavyoona inafaa katika kutekeleza majukumu yake."
 
Mkuu unafahamu matatizo ya Tume ya Katiba yanatokana na sheria mbovu zinazoisimamia. Sheria zimeacha mipaka wazi katika utendaji wa Tume na pale tume inapoanza kutumia mwanya huu watu wale wale waliotunga na kuzipitisha wanaanza kulalamika.

Layman example. Kama ninafanya kazi kwenye hotel yako na ukaniambia kama nikipata njaa nile chakula na kweli nilipopata njaa nikaamua kula kile chakula cha bei aghali na pale ulipogundua kuwa nimekula kile chakula cha bei aghali unaanza kulalamika kuwa hicho ni chakula cha wateja pekee wakati hukuwahi ku-specify wakati unanipa ruhusu kula chakula.

Hebu nifafanulie, hii sentesi ya kipengele cha 2(1) ina maana gani kisheria,
" Tume inaweza kushughulikia jambo lolote kama itakavyoona inafaa katika kutekeleza majukumu yake."

- HAtimaye umeongea hoja nzito, sawa sawa mkuu wangu kwa hili naweza kukubali.

Le Mutuz
 
- Nah! sina sababu ya kumshoot down aliyeunda tume kwa sababu ametumia katiba, na so far hajakosea ninataka katiba mpya lakini inayofuata Sheria ya kuibadilisha ambayo ipo wazi sana ndio ninasema Wapinzani ombeni kuahirishwa kwa hili zoezi la katiba mpya maana time is not on your side now hata ianguke mvua ya mawe ni CCM yenye Wabunge wengi bungeni ndio itakayokuwa na haki kisheria kuamua katiba iwe vipi,

- NI USHAURI WA BURE TU SUBIRINI MPAKA MUWE NA WABUNGE WENGI BUNGENI SASA HAMNA NAMBA ZA KUTOSHA KUBADILISKA KATIBA AS U WANT!!

LE Mutuz
Kama CCM inawabunge wengi so why worry,

Nikwambie tu kwamba lije jua ije mvua katiba itaandikwa kama tume ilivyopendekeza huwezi kuzuia chochote, wewe endelea kujisumbua kwa kumdhalilisha rais.
 
Sasa wewe mtoto wa mama umeibukia huku baada ya zeUtamu yako kufungwa ati. Daah ila mna bahati mbaya nyie. Urais ..., Ubunge... Mmebaki kujiita Matingatinga. Nenda kale ugali wa Anne wewe.
Uliapa kurudisha kadi yako ya chama chako kama rais atawasikiliza wapinzani, mbona hujafanya ivo?


- HA! HA! ha! bad communication, mimi naongelea tume ya katiba wewe unaongelea mengine kabisa fungua thread yake kama vipi! ha1 ha!

Le Mutuz
 
Yaani hili jamaa ni jinga sijawahi kuona, lilaaniwe yeye na vizazi vyake!!!!! this man deserve not to live in this Nyerere Land, our Tanganyika!! yaani hapa Ndugu yangu Nape ndo CCM inapotukanwa aisee!!!!! HUYU ---- ANATUHARIBIA CHAMA NASEMA KILA SIKU LKN HAMSIKII, HILI LIPUMBAVU LINAUA CHAMA AISEE!!!
mkuu wavumilieni hawa ndiyo vijana wenu wa CCM waliopewa mamlaka na wazee wa chama ili kukilinda na kukitetea.
 
Wewe mzee le mutu kumbe uko huku!!Ngoja nimshitue Kiranga aje faster.
 
Kwani zile ziara zako za kipuuzi unazofanya na Bulembo unajua ni nani anazilipia ?
 
Kwani zile ziara zako za kipuuzi unazofanya na Bulembo unajua ni nani anazilipia ? Mbona hakuna aliyeandamana kuzipinga japo hazina tija !
 
Back
Top Bottom