Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Watu wamekalilishwa tu kua kila Dr, CPA, Eng basi ni za kununua au za mchongo wakati watu wamezisotea miaka kibao darasani.Marekani Gani unayozungumzia Dunia Nzima CPA..Lazma watambulishwe Kwa Initial Aidha kwa kuandikwa mwanzo mwa Jina au Mwisho wa Jina..
Marekani wanatumia Mfumo wa Kuandika mwisho wa Jina kama Daktari anavyoandikwa..
Freddie matuja,CPA
Freddie matuja, MD
Ila sio mwanzo kama Uandishi wa Bristish
Dr Freddie Matuja
CPA freddie Matuja.
Tanzania Inafuata Mfumo wa British..
Kwenye uzi huu nimeligundua hilo, ndio maana ufisadi hauwezi kuisha.Watu wana hasira sana na wenzao wanaopiga hatua. Nilishawahi kusema kuwa watanzania wengi sio kwamba wanachukia ufisadi ila wanachochukia ni wao kutohusishwa kwenye huo ufisadi.
Hebu fanya utafiti kwanza, na ka hujui uliza...ila usibishe vitu usivyovijua. Aliekwambia Kenya CPA haitumiki nani?Kitu chakutambulika nchi moja hata kenya hapo tu haijui
Jitungie na wewe yako mkuu, huyo anaejitambulisha CPA wengine tunamtambua na tunaelewa nini anamaanisha.Nimesoma ndio maana nimekujibu hivyo. Acheni kutunga title zenu. Kama wewe siyo Dr. au Prof title yako ni Mr, Mrs au Ms period. Ukienda nchi nyingine na kujitambulisha CPA sijui Makalla hakuna atakayekuelewa sana sana watafikiri ni initials zako tu.
Sawa sijakataa kuwa hamumuelewi. Ndiyo maana nimesema somewhere kuwa Tanzania wataekewa. Ila wakitoka nje ya nchi hakuna atakayekuelewa tofauti na title nyingine. Made in Tanzania.Jitungie na wewe yako mkuu, huyo anaejitambulisha CPA wengine tunamtambua na tunaelewa nini anamaanisha.
Wala sio case mkuu.
Nipe Makala au jarida lolote linalomtambulisha mtaalam wa uhasibu iwe USA au UK (kwenye ACCA) ambapo utambulisho wa mhusika unakuwa sawia na maelezo yako.
Cc financial servicesKila kukicha TANZANIA haikosi vituko.
Tume ya madini tuambieni mtumishi jina kuanza na neno CPA, ni nini maana yake na kirefu chake ni nini.
Mfano ni huu hapaπ
1. CPA. William E. Mtinya
Director, Corporate Services Department.
2. CPA. Elikana P. Buremo
Director, Internal Audit Unit.
3. CPA. Mwagule D. Ikunga
Manager, Finance and Accounts Section.
Hii imetupa taharuki, na mambo yakienda hivi , Kuna siku utumishi wa umma ,utakuwa ni kijiamulia kuchagua cheo cha kujiita.
Ni upuuzi, ushamba na ujima wa akili kutumia initial ya CPA, inamana na waliosomea taaluma za procument, utawala na wao waweke miinitial ya kihafidhina na ufashisti kama hiyo CPA. Kwanza hata hainogi ni aibu.
Kwa uelewa wangu mwenye CPA huitaja, ila ni baada ya jina, ila kwa Tz naona ni kinyume. Na wahasibu hawaitwi mhasibu Juma, ila Daktari Juma ipo! WaTz ni limbukeni, faraja ya kuonesha wamesoma ila utendaji na ufanisi hakuna!CPA - Certified Public Accountant. Au nimekosea soulimeti? Ni title tu sawa na Mhandisi, Dr, Prof....
View attachment 2964357
Ok. Ila ukiwa Phd unapewa title ya Dr.Mr. Ms, Dr au Professor ni title. Qualifications ni kama vile PhD, MD, Engineer au may be hiyo CPA yao wanaotaka kuifanya title.
ππππ Tuanze na Kenya tu hapo ππMkuu, mfano wa kutunga...!?
Leta mfano halisi. Wapi zaidi ya Tanzania wanatumika CPA....!!?
Tukianzia tu EA, hakuna, SADC pia, hakuna, West Africa nina uhakika na Ghana na Nigeria hakuna huo upuuzi.
Huwezi kuwa na title ambayo inatambuliwa nchi moja tu.
Kma kila mtu akitumiwa Buku 5 tano..Watu wana hasira sana na wenzao wanaopiga hatua. Nilishawahi kusema kuwa watanzania wengi sio kwamba wanachukia ufisadi ila wanachochukia ni wao kutohusishwa kwenye huo ufisadi.
Bahati nzuri/mbaya haiko pale kwa ajili ya kunogesha.Ukitaka ya kunogesha jiite hata Pedeshee,inanoga zaidi.Ni upuuzi, ushamba na ujima wa akili kutumia initial ya CPA, inamana na waliosomea taaluma za procument, utawala na wao waweke miinitial ya kihafidhina na ufashisti kama hiyo CPA. Kwanza hata hainogi ni aibu.
Mkuu Mbona unapiga kwenye Utosi..ππππ Tuanze na Kenya tu hapo ππ
Call Us: +254 (020)4923000 Email Us:info@kasneb.or.ke
Board Members
The board provides oversight over the management of kasneb.
Board Members
Senior Management
Dr. Nancy N. Muriuki
Chairman Of The Board Of Directors.
.
FCPA Prof. Nicholas K. Lettingβ PhD, EBS, HSC.
Secretary/Chief Executive Officer
.
Dr. Joseph Maina Kanyi
(Representing the Ministry of Education)
.
FCPA George Mokua
Representing Institute of Certified Public Accountants of Kenya (ICPAK)
.
Eng. Stephen Ogenga
Representing Federation of Kenya Employers (FKE)
.
Prof. CPA Elizabeth M. Kalunda
Representing Institute of Certified Public Accountants of Kenya (ICPAK)
.
Dr Percy Opio
Representing kasneb Board
.
CPA Jane W. Njogu-Macharia
(Representing the National Treasury)
.
Mr. Yussuf M. Ibrahim
Representing Ministry of Public Service, Performance and Delivery Management
.
Ms. Lilian Abishai
Representing Ministry of Public Service, Performance and Delivery Management
GET IN TOUCH
kasneb Towers, Off Hospital Road
P.O. Box 41362 00100
Nairobi, Kenya
Tel: 020 4923000, 020 2712640, 020 2712828
ISDN: 020 4923000
Email: info@kasneb.or.ke
Terms and conditions. Another one from Ideas Factory
Nimeona na wale wa Procurement nao wamekuja na ujuha waoNenda Marekani au UK, haya mavyeo mbele ya majina ni kwa watu kama medical doctors, Dentists na Veterinary Doctors.
Tanzania kuna mambo ya ajabu sana, kama Adv., Arch. Eng. CPA, Dr (za mchongo kama za wabonge baadhi)
Elimu ya vyeti ingeanzia huku, kila taaluma ingekuwa unatoa vyeti na watu wote wangeamua kuweka titles za walichosomea.
πππ Namsubiri akiinua kichwa tu,ninae ππMkuu Mbona unapiga kwenye Utosi..
Akiinuka Malizia na shingo
Mkuu naona Unashambulia kwenye kidonda kabisa..Bahati nzuri/mbaya haiko pale kwa ajili ya kunogesha.Ukitaka ya kunogesha jiite hata Pedeshee,inanoga zaidi.
ππ Sasa hapo Dr. hio kazi ntakuachia weweMkuu naona Unashambulia kwenye kidonda kabisa..
Kuna Mmoja Kisu kimeingia Kwenye Mfupa utakitoaje π€£π€£
Kikandamize hicho kita kwenye Uroto π€£π€£ππ Sasa hapo Dr. hio kazi ntakuachia wewe