Sa Na Ta I Za
Member
- May 3, 2020
- 15
- 10
Tume, igeni mfano kwa CCM. TBC ya Ayubu Rioba, tunaomba matangazo LIVE ya uhesabuji kura majimboni. Hapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawahurumia Chadema pesa zote za ruzuku wamezitafuna kampeni za miezi miwili mizima wataendeshaje?kampeni kuanza Agosti 26 hadi Oktoba 27 na Uchaguzi NI Oktoba 28, 2020.
Huu ushauri wako hauna akili .MAJIMBO YA UCHAGUZI YAKO 393 unawekaje live yote kura zikihesabiwa?Tume, igeni mfano kwa CCM. TBC ya Ayubu Rioba, tunaomba matangazo LIVE ya uhesabuji kura majimboni. Hapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.
Kura hazihesabiwi kwa wakati mmoja, hata hivyo hujui fani ya utangazazi, kuna wawakilishi kila wilaya wanaoweza kuripoti kwa wakati wao muafaka, na sio kila tukio lazima liripotiwe kuna matukio muhimu yanayohitaji kuripotiwa.Huu ushauri wako hauna akili .MAJIMBO YA UCHAGUZI YAKO 393 unawekaje live yote kura zikihesabiwa?
Hutumii hata akili ndogo tu?
So jumatano hamna ibada kwa mpiga kura yeyoteKumekuwa na malalamiko muda mrefu kwamba Jumapili ni siku ya ibada kwa wapiga kura baadhi, hivyo kuathiri kimoja kati ya hivyo (kura au ibada).
It is addressed now.
So jumatano hamna ibada kwa mpiga kura yeyote
Waislam sio wapiga kura?Ndiyo, na itakuwa siku ya mapumziko kitaifa.
Nimesikia itakuwa tarehe 28.oktoba....siku ya jumatano....Sina uhakikaItakuwa siku gani?
hahahahaaaaaCHADEMA ndio mwisho 28/10
Waislam sio wapiga kura ??
Au jumatano mungu hayupo ??
Madhara ya Konyagi ni pamoja na kupoteza kumbukumbuBro unatumia kinywaji gani?
Jumatano ni siku ya waislam kuabudu?
Wanaabudu kila sikuBro unatumia kinywaji gani?
Jumatano ni siku ya waislam kuabudu?
Wanaabudu kila siku
Sawa. Tutashiriki