BLACK MARXIST JF-Expert Member Joined Nov 1, 2013 Posts 2,458 Reaction score 5,352 Jul 22, 2020 #81 Wametangaza siku hiyo ambayo itakuwa ni Jumatano itakuwa ni Public holiday. Wameona ni vyema kuondoa usumbufu kwa waumini wanaofanya ibada zao siku ya Jumapili.
Wametangaza siku hiyo ambayo itakuwa ni Jumatano itakuwa ni Public holiday. Wameona ni vyema kuondoa usumbufu kwa waumini wanaofanya ibada zao siku ya Jumapili.