Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yaanza kutoa matokeo ya rufaa za Udiwani na Ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

Inawezekana hujui maana ya weledi katika kutekeleza usimamizi wa sheria; kwako wewe weledi ni kukubaliwa matakwa yako tu.
 
Wapuuzi sana ninyi, mnajifanya ni Tume huru wakati kila mtu anaona namna mnavyotekeleza majukumu yenu kwa kumfurahisha Magufuli. Nchi hii ikiingia kwenye machafuko lawama na laana zote zitakua juu yenu MILELE.
Nchi ipo kwenye mikono salama ya Jemedari Magufuli nikutoe wasiwasi machafuko hayawezi kutokea.
 
Mleta uzi ungetufanyia update ya ordodha mpya au bado tume iko na majina.Tuwekee kadiri yanavyotoka.Tunataka tuangalia other legal options kwa wale ambao wamezuiliwa so tunahitaji full list
 
Hata nami nime fanya kazi na huyu Mahela, kwanza ni kada mwaminifu wa Ccm, pili ni mwoga hana maamuzi akikoromewa na mamlaka iliyoko juu yake. Refer Jerry Muro alivyo mfokea mbele ya media.
Kumbe huyu ndo yule Dr aliyefokewa na Muro? Ohoo hakuna kitu hapo.
 
Amani yetu ipo mikononi mwetu wenyewe. Sie ndo tunaamua kuliamsha au la. Tutakao umia au kutokuumia na maamuzi yetu pia ni sisi wenyewe. Tusitake kukwepa majukumu kwa kubebesha mzigo NEC.
Kabisa mkuu....
 
Naona orodha ya Terehe nyingine haiwekwi ili tujue nani kapita na nani kakwama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…