Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Inawezekana hujui maana ya weledi katika kutekeleza usimamizi wa sheria; kwako wewe weledi ni kukubaliwa matakwa yako tu.Aise dah.kama hayo yanayofanyika kwako ndo unaita weledi basi hii nchi ina safari ndefu sana yakujikwamua toka kwenye lindi la ujinga.Weledi unaozungumzia ni upi,kwasababu ili kuwe na weledi ni lazima haki itendeke kwa usawa.Je nikweli kuna haki sawa kwa wote?.