BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Na mahakamaccm
Tumeccm NECCCM ni Tumeccm ya hovyo kupata kutokea Duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeccm NECCCM ni Tumeccm ya hovyo kupata kutokea Duniani
Majibu Chadema walishapewaHii maana yake nin? Wanabandikaje wakati bado hawajamaliza kuhakiki fomu za wagombea wa vyama vyote?
Tafuta panado kiongozi utazoea tu. Yaani mliamini kabisa loketo awe Raisi?Anayejitoa ufahamu nani MPUUZI wewe!
Usitutishe na wewe, we have the right to do whatever as long hatuvunji sheriaHizi lugha ndo zinawaponza siku zote hamjifunzi
Shetani hana rafikiTafuta panado kiongozi utazoea tu. Yaani mliamini kabisa loketo awe Raisi?
Tafuta panado kiongozi utazoea tu. Yaani mliamini kabisa loketo awe Raisi?
Ni maneno tu hamna kitu,ila mbaya zaidi ni pale mtu anapojichanganya halafu akajikuta kachanganywa huko huko alikojichanganyia.Hizi lugha ndo zinawaponza siku zote hamjifunzi
Sasa ungetulia usome Hilo bango ulete habari kamili.Wakuu, kuna kazi hapa Dodoma imeanza rasmi saa 12 kamili jioni hii. Majina yanabandikwa kama mnavyooa
View attachment 1547809
Siyo hujuma, nec wanasema chadema hawakupitisha fomu zao kwa wasimamizi wa uchaguzi kule walikoenda kutafuta wadhamini. Walifanya Mambo kihuni.Hujuma kwa chadema
Msitutishe...mwageni hata mkojo tu muone kaziWaache wakitafute wanachokitaka.