Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yabandika majina ya walioteuliwa kuwania Urais na Makamu wa Rais

Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yabandika majina ya walioteuliwa kuwania Urais na Makamu wa Rais

Nimesoma mitandaoni kuwa siku ya kurudisha form za kuwania ubunge na udiwani ni moja nchi nzima.

Kama ni kweli sababu ni nini?...
kuna aliyewahi kupatikana na hatia kwa kosa la kujiteka? jiulize kwanini..
 
Jaji kaijage katumia busara kwa kumpitisha lissu...Wamuache Lissu akapambane na JIWE kwenye sanduku.
Wakati katibu wa NEC alipokuwa anapitia na kumsomea mafaili, muda wote vidole vya Jaji, havikuweza kutulia, vilikuwa vinagonga gonga meza. Ni dalili kuwa alikuwa na TENSION kali sana.
Yaonekana alikuwa anapitia kipindi kigumu cha majaribu, atende haki au amfurahishe Jiwe.
 
Wakati katibu wa NEC alipokuwa anapitia na kumsomea mafaili, muda wote vidole vya Jaji, havikuweza kutulia, vilikuwa vinagonga gonga meza. Ni dalili kuwa alikuwa na TENSION kali sana.
Yaonekana alikuwa anapitia kipindi kigumu cha majaribu, atende haki au amfurahishe Jiwe.

Anayemuweza JIWE ni Lissu tu wengine hakuna ,na tayari Lissu kashamuwekea Pingamizi yaani NG'ADU kwa NG'ADU lazima atemeshwe MICHEMSHO aliyokula CHAMWINO,alizoea udikteta kwenye chama chake ila kakutana na MWAMBA asiyeogopa chochote!! Chadema wamlinde lissu kwa gharama zozote MGODI unaotembea huo ,kwa siasa za MECCO ni lissu ndio anayemuweza.
 
Back
Top Bottom