Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yabandika majina ya walioteuliwa kuwania Urais na Makamu wa Rais

Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yabandika majina ya walioteuliwa kuwania Urais na Makamu wa Rais

Acha ujinga wewe! Lugha zipi hizo? Kuna mtu mwenye lugha chafu Nchi hii kama huyo anayejiita KICHAA!?

Yawezekana uko sahihi sana chief! Ila katika ulingo wa mapambano adui yako anapokuzidi kwa maneno wewe mzidi kwa vitendo!
 
Labda wasimpe nafasi Ila Kama watampa wanazidi kumpa Kiki.

Na Kama watamnyima kweli nadhani Sasa hata baadhi yao wataamua kuweka ubinadamu na utaifa mbele na siyo itikadi za kisiasa Tena.

Lakini pia itaashiria mabaya mbele ya safari na mwisho wake utakuwa mbaya Sana.

Let's tune on " THE TRUE JUDGE IS TIME"
 
Kitendo Cha Tume ya uchaguzi kuwachelewesha wagombea wa Chadema Ni ushahidi tosha kuwa tume ya uchaguzi wana nia ovu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hapana ,nimeshangaa majina yanabandikwa kabla ya Mgombea wa Chadema hajatangazwa.

Nimeona makaratasi mengi labda lake litawekwa jioni hii!
Ila pia nimeona Mzee Lissu yuko active Twitter kwanini hasiseme kinachoendelea kiuhalisia mida hii?
 
Bora Ubwabwa wa Rungwe Kuliko Lissu; Mpinga Maendeleo...
Wewe huenda utakuwa ulipigwa miti sana na mtu anaitwa Lisu kisha ukaachwa hewani bila kulipwa. Hivyo una hasira dhidi ya Lisu
Yaani unatengeneza story za kijinga na uongo kila wakati za kumkashifu Lissu.

Badilika sasa.
 
Nimeona makaratasi mengi labda lake litawekwa jioni hii!
Ila pia nimeona Mzee Lissu yuko active Twitter kwanini hasiseme kinachoendelea kiuhalisia mida hii?

Basi tuungane tuwapongeze wagombea woote walopitishwa na NEC kupambana na raisi wa sasa John Magufuli October 28th 2020.

Hongera zake sana Tundu Lissu kwa jitihada zake.

Hongera pia kwa viongozi na wafuasi wa CDM wakiongozwa na John Mnyika kwa utulivu na usikivu wao wakiwa ndani ya Dodoma.
 
Back
Top Bottom