Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Uchaguzi, (NEC), Lawamani Kuwaengua Wagombea Kwa Hoja Nyepesi Nyepesi, Je ni Ukiukwaji wa Haki za Binaadamu? Jicho Letu

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Uchaguzi, (NEC), Lawamani Kuwaengua Wagombea Kwa Hoja Nyepesi Nyepesi, Je ni Ukiukwaji wa Haki za Binaadamu? Jicho Letu

Bora hata ingekua ukiukwaji wa haki!! Wanachokifanya Tume ya Uchaguzi wakishilikiana na Wakurugenzi wa Halmashauri (Makada wa CCM walioshindwa kwenye mchakato wa kura za maoni wa mwaka 2015) ni kitendo cha kitoto kinachofanywa na watu wazima.

Mbaya zaidi huu utoto ulianza rasmi mara tu baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 kupita. Ipo siku majibu ya hivi vitendo yatakuja kuonekana. Na kwa nini wanao enguliwa wawe ni wagombea wa vyama vya upinzani tu!!!

Yaani wagombea wa CCM tu ndiyo wenye sifa ya kujaza vizuri! Na iweje kama mtu amekosea kujaza asiitwe aje arekebishe kasoro zake?

Kwa nini mapingamizi yasiwe ni yale ya msingi tu? mfano kama mgombea ni mhamiaji haramu na ushahidi wa wazi upo, mgombea ana matatizo ya akili, nk. Hii kitu inakera sana! Na inakera zaidi pale unapoona inafanywa na watu "waliosoma" Eti Madokta wenye PhD!!
Acha kulalamika kama mtu asiyefahamu ukweli wa mambo. Mchakato wa kura za maoni ndani ya Ccm ilikuwa ni ushahidi tosha kuwa mwaka huu upinzani haikupata wagombea wenye elimu na sifa za kutosha.
Kama nafasi moja iligombewa na watu 50 au zaidi ni wazi kuwa Ccm walipata wagombea bora na hii ni sababu kila mtu mwenye elimu nzuri na sifa bora alitaka agombee kupitia Ccm.
Upinzani ulibaki kujichotea hovyohovyo hata wasiokuwa na umakini kujaza fomu na kusoma ili mradi waonekane wamesimamisha wagombea.
 
P , naona leo umeamua kuusema ukweli kiaina sio . Tume inatekeleza maagizo kutoka juu kwa mhutu ndio chanzo cha yote . Tume haina mamlaka ya kumtoa mgombea yoyote yule ,kazi Yao ni kusimamia zoezi la uchaguzi , wenye haki ya kumchagua mgombea au kumkata Ni wananchi sio tume .CCM please rudisheni nchi yetu toka mikononi mwa mhutu .
IMG_20200910_181028_8.jpg
 
Ni kweli, NEC inanajisi katiba katika vipengele vifuatavyo

1. Katiba inasema mamlaka yote yatatoka kwa wananchi

2. Kila Mtanzania mwenye vigezo vinavyojulikana ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa.

Kitendo chochote cha kuweka vizingiti ili kuthibiti vipengele hivyo viwili ni kuonyesha kuwa NEC haijitambui in the first place. NEC ilianzishwa ili kimsingi kutetea principle hizo mbili.

NEC ilipaswa kuzilinda hizo principles kwa wivu mkubwa sana. Lakini bahati mbaya inaongozwa na watu shortsighted ambao akili zao zinawatuma kulipa fadhila kwa waliowateua badala ya katiba ya nchi
Tunaomba wanasheria atusaidie kushtaki hii tume ili hivyo vipengele virekebishwe
 
Kwa CCM neno haki haliko kwenye kamusi zao. Kwa tume isiyokuwa huru hakuna maajabu kwa hayo yanayo tokea. Ukisoma na michango humu utashangaa great thinkers wanavyo jigeuza "great sinkers" na kuhalalisha ushenzi unaofanyika na tume. Ni fahari yetu kuona mtu amepita bila kupingwa wakati tunajua ushenzi uliotendeka kuwa na matokeo hayo. Shenzi kabisa.
 
Kule zanzibar wakati wakutupilia mbali pingamizi dhidi ya maalim hoja ilikuwa wazi kuwa, makosa pekee yanayoweza kumuengua mgombea ni yale ambayo kama yataruhusiwa kubaki kama yalivyo yanaweza kumnufaisha mgombea dhidi ya mpinzani wake na kwa hivyo taarifa hizo ziwe zililenga kupotosha ili kujinufaisha, otherwise dosari za kimaandishi zisizokuwa na lengo la kunufaika dhidi ya mpinzani wako hazina msingi kisheria wa kumuengua mgombea.
 
Wanabodi,
Naafuatilia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa live na Star TV kila Jumamosi asubuhi, kwenye kipindi cha leo, kutoka Mwanza, kinaongozwa na mkongwe, Doto Bulendu, na wageni wake waandishi wakongwe, Moses Mathew na Odero, na Dar es Salaam yuko Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena.

Mjadala unahusu Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Uchaguzi, (NEC), imeingizwa lawamani kwa kitendo chake cha kuwaengua wagombea mbalimbali kwa makosa madogo madogo ya ujazaji wa fomu, au kwa hoja nyepesi nyepesi, ambazo hazina mashiko ya kisheria kumfanya mgombea akose sifa na uhalali wa kugombea, mwanajopo mmoja akasema, kinachofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, ni ukiukwaji wa haki za binaadamu!.

Mwana jopo huyo, amesema, kanuni za uchaguzi zimeeleza wazi kuwa kabla fumu haijapokelewa, huwa inahakikiwa. Lengo la uhakiki ni kurekebisha dosari ndogo ndogo za ujazaji fomu hiyo, na kutolea mfano, kuna mgombea ameenguliwa kwa dosari ndogo tuu ya kutumia initio ya jina lake.

Kugombea ni moja kati ya haki za msingi za binaadamu ziliziainishwa kwenye Katiba ya JMT, hivyo kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwaengua baadhi ya wagombea kwa dosari ndogo ndogo ni ukiukwaji wa haki za wagombea.

Mwendeshaji kipindi, Mkongwe Doto Bulendu, amelipongeza Jukwaa la Wahariri, kuwapatanisha TBC na Chadema, baada ya Chadema kuwafukuza TBC kwenye kampeni zao. Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena, amezipokea shukrani hizo kwa shingo upande kwa kutumia msemo wa lugha ya Kilatini, kuwa "hupaswi kushukuriwa kwa kutimiza wajibu wako".

Meena amekiri waandishi wa habari na vyombo vya habari, havikutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kunyamazia unfairness iliyofanywa na NEC kuwaengua wagombea na kukubali pingamizi zenye hoja nyepesi nyepesi. Kama media zingeliangazia suala hili kikamilifu, lingeisaidia NEC kutenda haki.

Pia NEC, imeingizwa lawamani, kwa kuelezwa kuwa uamuzi wa NEC kuengua wagombea ni uamuzi wa mwisho, final and conclusive, huu ni udikiteta. Katiba ya JMT, inaeleza wazi mahakama ndio mamlaka ya mwisho ya utoaji haki, sasa NEC isipotenda haki, kwa kumuengua mgombea kwa maonevu, mgombea kama huyu aende wapi?.

Jopo pia limeilaumu sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayafanya uwanja wa mapambano usiwe sawa, kwa mgombea mmoja kugombea huku akiwa ni rais wa JMT, anagombea na urais mkononi, halafu anashindana wagombea wengine with nothing!. Usawa uko wapi? Japo limenote kuna wakati mgombea mmoja anatoa ahadi za kampeni ambazo ni firm akiwa kama ni rais wa JMT na sio kama mgombea wa CCM.

Paskali
Tume imeshapoteza uhalali wa kuitwa tume ya uchaguzi.

Ni heri wafungashe virago waondoke kwenye ofisi zetu badala ya kuzitia najisi ofisi za umma.

Yanayofanywa na tume ya uchaguzi ni kielelezo halisi cha matumizi mabaya ya kodi za watanzania.

Tume inatumia kodi za watanzania kuvunja haki za watanzania huu ushenzi haukubaliki.
 
Msitake kuilaumu NEC pekee kwa lengo la kumnusuru Muhusika Mkuu wa mambo haya ambayo awamu zilizopita hatakuyashuhudia kwa kiwango hiki.

NEC kwa kushirikisha na Wasimamizi wa Uchaguzi , wanafanya haya kumfurahisha Bwana fulani aliejiapiza kuua upinzani by 2020.
Tume inapaswa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria siyo matakwa binafsi ya mteuzi wao.

Kama wao wameamua kupindisha sheria ili kulipa fadhila unataka tumlaumu mpewa fadhila?

Walipaswa kutenda haki kama wakifutwa kazi tungejua wakumlaumu lakini kwa sasa wa kuwanyooshea mkono ni wao.
 
Leo umevaa uana habari mbobezi.

Kesho utakuwa kwaya ya praise team Ukiongoza mapambio na nguo za kijani.

Chagua moja kuwa baridi ama moto na si vuguvugu.

UTATAPIKWA.
 
Wanabodi,
Naafuatilia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa live na Star TV kila Jumamosi asubuhi, kwenye kipindi cha leo, kutoka Mwanza, kinaongozwa na mkongwe, Doto Bulendu, na wageni wake waandishi wakongwe, Moses Mathew na Odero, na Dar es Salaam yuko Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena.

Mjadala unahusu Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Uchaguzi, (NEC), imeingizwa lawamani kwa kitendo chake cha kuwaengua wagombea mbalimbali kwa makosa madogo madogo ya ujazaji wa fomu, au kwa hoja nyepesi nyepesi, ambazo hazina mashiko ya kisheria kumfanya mgombea akose sifa na uhalali wa kugombea, mwanajopo mmoja akasema, kinachofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, ni ukiukwaji wa haki za binaadamu!.

Mwana jopo huyo, amesema, kanuni za uchaguzi zimeeleza wazi kuwa kabla fumu haijapokelewa, huwa inahakikiwa. Lengo la uhakiki ni kurekebisha dosari ndogo ndogo za ujazaji fomu hiyo, na kutolea mfano, kuna mgombea ameenguliwa kwa dosari ndogo tuu ya kutumia initio ya jina lake.

Kugombea ni moja kati ya haki za msingi za binaadamu ziliziainishwa kwenye Katiba ya JMT, hivyo kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwaengua baadhi ya wagombea kwa dosari ndogo ndogo ni ukiukwaji wa haki za wagombea.

Mwendeshaji kipindi, Mkongwe Doto Bulendu, amelipongeza Jukwaa la Wahariri, kuwapatanisha TBC na Chadema, baada ya Chadema kuwafukuza TBC kwenye kampeni zao. Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena, amezipokea shukrani hizo kwa shingo upande kwa kutumia msemo wa lugha ya Kilatini, kuwa "hupaswi kushukuriwa kwa kutimiza wajibu wako".

Meena amekiri waandishi wa habari na vyombo vya habari, havikutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kunyamazia unfairness iliyofanywa na NEC kuwaengua wagombea na kukubali pingamizi zenye hoja nyepesi nyepesi. Kama media zingeliangazia suala hili kikamilifu, lingeisaidia NEC kutenda haki.

Pia NEC, imeingizwa lawamani, kwa kuelezwa kuwa uamuzi wa NEC kuengua wagombea ni uamuzi wa mwisho, final and conclusive, huu ni udikiteta. Katiba ya JMT, inaeleza wazi mahakama ndio mamlaka ya mwisho ya utoaji haki, sasa NEC isipotenda haki, kwa kumuengua mgombea kwa maonevu, mgombea kama huyu aende wapi?.

Jopo pia limeilaumu sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayafanya uwanja wa mapambano usiwe sawa, kwa mgombea mmoja kugombea huku akiwa ni rais wa JMT, anagombea na urais mkononi, halafu anashindana wagombea wengine with nothing!. Usawa uko wapi? Japo limenote kuna wakati mgombea mmoja anatoa ahadi za kampeni ambazo ni firm akiwa kama ni rais wa JMT na sio kama mgombea wa CCM.

Paskali
[/QUOTE
Leo akili zimekurudia
 
Wanabodi,
Naafuatilia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa live na Star TV kila Jumamosi asubuhi, kwenye kipindi cha leo, kutoka Mwanza, kinaongozwa na mkongwe, Doto Bulendu, na wageni wake waandishi wakongwe, Moses Mathew na Odero, na Dar es Salaam yuko Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena.

Mjadala unahusu Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Uchaguzi, (NEC), imeingizwa lawamani kwa kitendo chake cha kuwaengua wagombea mbalimbali kwa makosa madogo madogo ya ujazaji wa fomu, au kwa hoja nyepesi nyepesi, ambazo hazina mashiko ya kisheria kumfanya mgombea akose sifa na uhalali wa kugombea, mwanajopo mmoja akasema, kinachofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, ni ukiukwaji wa haki za binaadamu!.

Mwana jopo huyo, amesema, kanuni za uchaguzi zimeeleza wazi kuwa kabla fumu haijapokelewa, huwa inahakikiwa. Lengo la uhakiki ni kurekebisha dosari ndogo ndogo za ujazaji fomu hiyo, na kutolea mfano, kuna mgombea ameenguliwa kwa dosari ndogo tuu ya kutumia initio ya jina lake.

Kugombea ni moja kati ya haki za msingi za binaadamu ziliziainishwa kwenye Katiba ya JMT, hivyo kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwaengua baadhi ya wagombea kwa dosari ndogo ndogo ni ukiukwaji wa haki za wagombea.

Mwendeshaji kipindi, Mkongwe Doto Bulendu, amelipongeza Jukwaa la Wahariri, kuwapatanisha TBC na Chadema, baada ya Chadema kuwafukuza TBC kwenye kampeni zao. Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena, amezipokea shukrani hizo kwa shingo upande kwa kutumia msemo wa lugha ya Kilatini, kuwa "hupaswi kushukuriwa kwa kutimiza wajibu wako".

Meena amekiri waandishi wa habari na vyombo vya habari, havikutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kunyamazia unfairness iliyofanywa na NEC kuwaengua wagombea na kukubali pingamizi zenye hoja nyepesi nyepesi. Kama media zingeliangazia suala hili kikamilifu, lingeisaidia NEC kutenda haki.

Pia NEC, imeingizwa lawamani, kwa kuelezwa kuwa uamuzi wa NEC kuengua wagombea ni uamuzi wa mwisho, final and conclusive, huu ni udikiteta. Katiba ya JMT, inaeleza wazi mahakama ndio mamlaka ya mwisho ya utoaji haki, sasa NEC isipotenda haki, kwa kumuengua mgombea kwa maonevu, mgombea kama huyu aende wapi?.

Jopo pia limeilaumu sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayafanya uwanja wa mapambano usiwe sawa, kwa mgombea mmoja kugombea huku akiwa ni rais wa JMT, anagombea na urais mkononi, halafu anashindana wagombea wengine swith nothing!. Usawa uko wapi? Japo limenote kuna wakati mgombea mmoja anatoa ahadi za kampeni ambazo ni firm akiwa kama ni rais wa JMT na sio kama mgombea wa CCM.

Paskali
Bila shaka kama ungeshiriki ungepinga nao wote na kutetea tume ya chama chenu na mfalme j
 
Msitake kuilaumu NEC pekee kwa lengo la kumnusuru Muhusika Mkuu wa mambo haya ambayo awamu zilizopita hatakuyashuhudia kwa kiwango hiki.

NEC kwa kushirikisha na Wasimamizi wa Uchaguzi , wanafanya haya kumfurahisha Bwana fulani aliejiapiza kuua upinzani by 2020.
Ewe Mwenyezi Mungu mlaani muasisi wa uharamia huu wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom