Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Uchaguzi, (NEC), Lawamani Kuwaengua Wagombea Kwa Hoja Nyepesi Nyepesi, Je ni Ukiukwaji wa Haki za Binaadamu? Jicho Letu

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Uchaguzi, (NEC), Lawamani Kuwaengua Wagombea Kwa Hoja Nyepesi Nyepesi, Je ni Ukiukwaji wa Haki za Binaadamu? Jicho Letu

Wanabodi,
Naafuatilia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa live na Star TV kila Jumamosi asubuhi, kwenye kipindi cha leo, kutoka Mwanza, kinaongozwa na mkongwe, Doto Bulendu, na wageni wake waandishi wakongwe, Moses Mathew na Odero, na Dar es Salaam yuko Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena.

Mjadala unahusu Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Uchaguzi, (NEC), imeingizwa lawamani kwa kitendo chake cha kuwaengua wagombea mbalimbali kwa makosa madogo madogo ya ujazaji wa fomu, au kwa hoja nyepesi nyepesi, ambazo hazina mashiko ya kisheria kumfanya mgombea akose sifa na uhalali wa kugombea, mwanajopo mmoja akasema, kinachofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, ni ukiukwaji wa haki za binaadamu!.

Mwana jopo huyo, amesema, kanuni za uchaguzi zimeeleza wazi kuwa kabla fumu haijapokelewa, huwa inahakikiwa. Lengo la uhakiki ni kurekebisha dosari ndogo ndogo za ujazaji fomu hiyo, na kutolea mfano, kuna mgombea ameenguliwa kwa dosari ndogo tuu ya kutumia initio ya jina lake.

Kugombea ni moja kati ya haki za msingi za binaadamu ziliziainishwa kwenye Katiba ya JMT, hivyo kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwaengua baadhi ya wagombea kwa dosari ndogo ndogo ni ukiukwaji wa haki za wagombea.

Mwendeshaji kipindi, Mkongwe Doto Bulendu, amelipongeza Jukwaa la Wahariri, kuwapatanisha TBC na Chadema, baada ya Chadema kuwafukuza TBC kwenye kampeni zao. Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena, amezipokea shukrani hizo kwa shingo upande kwa kutumia msemo wa lugha ya Kilatini, kuwa "hupaswi kushukuriwa kwa kutimiza wajibu wako".

Meena amekiri waandishi wa habari na vyombo vya habari, havikutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kunyamazia unfairness iliyofanywa na NEC kuwaengua wagombea na kukubali pingamizi zenye hoja nyepesi nyepesi. Kama media zingeliangazia suala hili kikamilifu, lingeisaidia NEC kutenda haki.

Pia NEC, imeingizwa lawamani, kwa kuelezwa kuwa uamuzi wa NEC kuengua wagombea ni uamuzi wa mwisho, final and conclusive, huu ni udikiteta. Katiba ya JMT, inaeleza wazi mahakama ndio mamlaka ya mwisho ya utoaji haki, sasa NEC isipotenda haki, kwa kumuengua mgombea kwa maonevu, mgombea kama huyu aende wapi?.

Jopo pia limeilaumu sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayafanya uwanja wa mapambano usiwe sawa, kwa mgombea mmoja kugombea huku akiwa ni rais wa JMT, anagombea na urais mkononi, halafu anashindana wagombea wengine with nothing!. Usawa uko wapi? Japo limenote kuna wakati mgombea mmoja anatoa ahadi za kampeni ambazo ni firm akiwa kama ni rais wa JMT na sio kama mgombea wa CCM.

Paskali
Kuenguliwa kwa wagombea ni mkakati wa dola kuhakikisha CCM inapata mteremko. Mambo haya yalianza mwaka jana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Hata hivyo vyama vya upinzani vina sehemu kubwa ya lawama kwa hili, kushiriki uchaguzi pasipo tume huru ya uchaguzi. NEC na ZEC ni mawakala wa CCM katika chaguzi hizi.
 
Wanabodi,

My Take
Lawama hizi kwa NEC, zisiposhughulikiwa in time, zitatuharibia matokeo ya uchaguzi wetu kwa kusababisha bitterness ndani ya mioyo ya watu kuwa uchaguzi Mkuu ujao sio huru na haki.

Paskali
Nilipenda sana makala na hoja zake zikigusa maeneo mengi. Leo ni upande mmoja tu kusifia.
Nikiona makala yake huwa nasoma tu kichwa naishia.
Mkuu Mzamifu, karibu katika makala hii, uangalie jinsi ninavyosifu Tume ya Uchaguzi NEC kwa kuwaengua wapinzani!.

P
 
Paskali, Paskali, Paskali.
Umepatwa na nini?
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu ambaye anasema kuwa tarehe 28 Oktoba 2020 kulikuwa na Uchaguzi Mkuu?
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu ambaye anakubaliana na "matumizi ya bilioni 350 kwa kile kilichofanyika Oktoba 28'?
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu ambaye anakubaliana na alichokifanya Ndugai na Halima Mdee 'et al'?
Nimeona AG akinukuliwa na Gazeti la Uhuru juu ya haki za Halima Mdee na wenzake!
Mwanasheria Mkuu ambaye aliukunja mkia wake mithili ya mbwa mwoga wakati Tume ya Uchaguzi ikiinajisi Katiba ya Nchi kwa kuhakikisha kuwa Mawakala wa Vyama vya Watu hawaingii kwenye Vituo vya Kupigia Kura.
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu, mwenye uzalendo na nchi yake, mwenye uchungu na masikini wa Nchi hii ambaye anaweza kuunga mkono matumizi ya shs. bilioni 13.68 za mishahara ya Wabunge hao19 kuhalalisha ubatili wa tarehe 28 Oktoba 2020?
Nakumbuka 'novel' ya " Cry, the beloved Country".
Napata faraja nikijifunza kutoka kwenye Historia kuwa "daima, dhuluma itashindwa".
Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu fundimchundo , nimeguswa na bandiko lako hili, mimi ni realist, ma realists wote, hata kama hau support kilichofanyika, lakini when kumetokea kitu kilichotokea, and there is nothing anyone can do to change the situation, ma realists wote tunakubali matokeo, katika muktadha wa appreciating the situation and suggest the best way forward out of the situation.

Vyama vya siasa sio mali ya watu, viongozi, ni mali ya umma, hivyo maamuzi yoyote yatafanywa kwa kutanguliza maslahi ya umma.
Kwenye hili, maslahi ya umma ni kwa wapinzani hao wachache waliopata fursa ya kuingia Bungeni, waingie waka salvage what is left of opposition in Tanzania.

Nimekuleta hapa ili kukujulisha, kuwa tulishauri pia the best way forward, ukitoa ushauri mzuri, hata kama haukufuatwa, wewe unakuwa umetimiza wajibu wako.

Mimi nimetimiza wajibu wangu.
Kama kosa langu ni kuukubali ukweli jinsi ile ulivyo, nalikubali kosa hili.

P
 
Wanabodi,
Naafuatilia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa live na Star TV kila Jumamosi asubuhi, kwenye kipindi cha leo, kutoka Mwanza, kinaongozwa na mkongwe, Doto Bulendu, na wageni wake waandishi wakongwe, Moses Mathew na Odero, na Dar es Salaam yuko Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena.

Mjadala unahusu Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Uchaguzi, (NEC), imeingizwa lawamani kwa kitendo chake cha kuwaengua wagombea mbalimbali kwa makosa madogo madogo ya ujazaji wa fomu, au kwa hoja nyepesi nyepesi, ambazo hazina mashiko ya kisheria kumfanya mgombea akose sifa na uhalali wa kugombea, mwanajopo mmoja akasema, kinachofanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, ni ukiukwaji wa haki za binaadamu!.

Mwana jopo huyo, amesema, kanuni za uchaguzi zimeeleza wazi kuwa kabla fumu haijapokelewa, huwa inahakikiwa. Lengo la uhakiki ni kurekebisha dosari ndogo ndogo za ujazaji fomu hiyo, na kutolea mfano, kuna mgombea ameenguliwa kwa dosari ndogo tuu ya kutumia initio ya jina lake.

Kugombea ni moja kati ya haki za msingi za binaadamu ziliziainishwa kwenye Katiba ya JMT, hivyo kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwaengua baadhi ya wagombea kwa dosari ndogo ndogo ni ukiukwaji wa haki za wagombea.

Mwendeshaji kipindi, Mkongwe Doto Bulendu, amelipongeza Jukwaa la Wahariri, kuwapatanisha TBC na Chadema, baada ya Chadema kuwafukuza TBC kwenye kampeni zao. Katibu Mkuu wa Jukwaa la Wahariri, Neville Meena, amezipokea shukrani hizo kwa shingo upande kwa kutumia msemo wa lugha ya Kilatini, kuwa "hupaswi kushukuriwa kwa kutimiza wajibu wako".

Meena amekiri waandishi wa habari na vyombo vya habari, havikutimiza wajibu wake kikamilifu kwa kunyamazia unfairness iliyofanywa na NEC kuwaengua wagombea na kukubali pingamizi zenye hoja nyepesi nyepesi. Kama media zingeliangazia suala hili kikamilifu, lingeisaidia NEC kutenda haki.

Pia NEC, imeingizwa lawamani, kwa kuelezwa kuwa uamuzi wa NEC kuengua wagombea ni uamuzi wa mwisho, final and conclusive, huu ni udikiteta. Katiba ya JMT, inaeleza wazi mahakama ndio mamlaka ya mwisho ya utoaji haki, sasa NEC isipotenda haki, kwa kumuengua mgombea kwa maonevu, mgombea kama huyu aende wapi?.

Jopo pia limeilaumu sheria yetu ya uchaguzi, ina mapungufu makubwa yanayafanya uwanja wa mapambano usiwe sawa, kwa mgombea mmoja kugombea huku akiwa ni rais wa JMT, anagombea na urais mkononi, halafu anashindana wagombea wengine with nothing!. Usawa uko wapi? Japo limenote kuna wakati mgombea mmoja anatoa ahadi za kampeni ambazo ni firm akiwa kama ni rais wa JMT na sio kama mgombea wa CCM.

My Take
Lawama hizi kwa NEC, zisiposhughulikiwa in time, zitatuharibia matokeo ya uchaguzi wetu kwa kusababisha bitterness ndani ya mioyo ya watu kuwa uchaguzi Mkuu ujao sio huru na haki.

Kwavile JPM na CCM watashinda kwa kishindo kikubwa anyway na anyhow, naiomba Tume ya Taifa Uchaguzi, iache milango wazi kwa wagombea wote wa vyama vyote hata wenye mapungufu, waruhusiwe tuu, ili watakaposhindwa kwenye sanduku la kura, wasipate sababu na visingizio.

Paskali
Kuna upungufu wa Sheria za Uchaguzi kwenye Local Government. Vigezo vinavyotumika kuwaweka watu Pingamizi na kuwaondoa, ni vigezo vya Kitoto.

Ni vigezo ambavyo havina Msingi. Yaani mtu kakosea akaandika CDM badala ya CHADEMA unamuondoa. Kwa akili ya kawaida ungesema hili lisingetumika kumuondoa lakini limetumika.

Hili nalikosoa wazi wazi hata kama lilisaidia chama changu kupata Wenyeviti wengi na likafanya wenzetu wakazila, lakini nasema halikuwa sahihi.
View attachment 1762554
Nape ni mwana CCM, haya anayoyasema leo, alipaswa kuyasema wakati ule ule wa uchaguzi ili kuzuia hayo mapingamizi. Kitendo cha kusema ukweli huu leo, ambapo, hausaidii kitu, ni kama unafiki fulani!.

Mimi pia ni mwana CCM, haya anayoyasema Nape leo, mimi niliyasema kabla wakati ule ule wa uchaguzi.


P
 
Back
Top Bottom