Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hao Nec bora wakae kimya kwasababu wao ndiyo vinara wa huo ugoro unaoendelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walichofanya Ndugai, Nape, Majaliwa na Abood ni uchafu na uhuni. Tumia sera kupata ridhaa ya wananchi na siyo uhuni ili uongoze wananchi.
Hili tatizo haliwezi kuisha bila ya kupata tume huru ya uchaguzi.Hao Nec bora wakae kimya kwasababu wao ndiyo vinara wa huo ugoro unaoendelea.
Pigo kivipi bwashee?!
Kwahiyo ktk jimbo moja kuna wagombea wa vyama 15 kwahiyo wote wamekosea kujaza fomu au wamechelewa kupeleka fomu aliyewahi ni mmoja tuu