Tume ya Uchaguzi ni huru, hatuhitaji kufanya mabadiliko

Tume ya Uchaguzi ni huru, hatuhitaji kufanya mabadiliko

Mimi naona Kwa mawazo yako uko sahihi kabisa ila ukiacha kutumia valium chooni ufahamu wako utakuwa Bora zaidi
 
Kwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.

Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
Angalia Kuku mwingine asiye na kichwa!
 
Tume hii hii ya... Wananchi hawataki braaa braaa?
Kwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.

Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
 
Kwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.

Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
Ama kwa kuwa uusehemu ya tume yenyewe lazima uisemee kama ni huru,ila ukweli ni kuwa,hata Jecha na Mafweza wa na kujua ukweli huu wa kukosa uhuru😂
 
Kwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.

Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
Tume ipo huru siku zote tatizo linakuja pale mgombea fulani unayempenda hajashinda ndio unaanza na vihoja kuwa Tume haipo huru lakini ni Tume hii hii ndio iliyowapeleka hao wapinzani bungeni miaka yote sasa kwa sababu hawajashinda ndio wanasema sio huru
 
Kwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.

Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
WEWE kama nani? Acha kujipa mamlaka yasiyo yako ni UKICHAA
 
Kwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.

Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.

Time ipi Ni huru?. Unaelewa maana ya Time huru?. Kwa Sasa Tume ipo Dodoma Ila inafanya kazi na mawakala ambao ndio wakurugenzi wa halmashauri wanaoteuliwa na Mwenyekiti wa CCM .
 
Uliwahi kulazwa ktk wodi za wagonjwa wa akili?
Ulitoroka au uliruhusiwa?
halafu linaonekana ni tatizo la kurithi!
 
Kwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.

Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
wewe kunguni wewe unafikiria kwa kutumia nini sijui!
 
Kwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.

Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
Poor thread from a poor mind.
 
Tume ipo huru siku zote tatizo linakuja pale mgombea fulani unayempenda hajashinda ndio unaanza na vihoja kuwa Tume haipo huru lakini ni Tume hii hii ndio iliyowapeleka hao wapinzani bungeni miaka yote sasa kwa sababu hawajashinda ndio wanasema sio huru

Unaelewa maana ya Tume Huru au huwa unasikia tu? Ebu andika angalao kwa mistari michache maana ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Sidhani kama kiwango chako cha akili kimefikia uwezo wa kuleta mada. Jitahidi kusoma zaidi, na kujifunza kutoka kwa wenye uelewa, unaweza kufaudika.
 
Back
Top Bottom