Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Bwana mdogo mbona mwaka jana hukwenda kuwasaidia wascotchi walivyokuwa wanapiga kura ya kujitenga UK...na Australia wanaandaa kura baada ya kushindwa kujitenga UK 1999...usipige kelele jenga hoja...sasahivi mnataka kuwachagulia waganda raisi,Mkapa aliwapa jina lililowafaa "malofa na wapumbavu"...kwa uzuzu mkayaandika kwenye fulana zenu ngoja mbowe awazamishe mto mara mliwe na mamba ndio mtapata akili..nyumbu!We kweli hamnazo..... unamleta malkin kwenye utawala huu? Kwa UK ulitakiwa umwongelee waziri mkuu ndo maana elimu elimu elimu ndo majibu ya mtu kama nyie.......
Daaaa mkuuu umenikumbusha ya 2011 hiyo"You want another Rap ? " yes ssebho ! - Hakika madaraka ni matamu mno , Museveni kaingia studio bila kupenda !
Nyumbu ni wewe na ukoo wenu wa panya wa lumumba, kima weweBwana mdogo mbona mwaka jana hukwenda kuwasaidia wascotchi walivyokuwa wanapiga kura ya kujitenga UK...na Australia wanaandaa kura baada ya kushindwa kujitenga UK 1999...usipige kelele jenga hoja...sasahivi mnataka kuwachagulia waganda raisi,Mkapa aliwapa jina lililowafaa "malofa na wapumbavu"...kwa uzuzu mkayaandika kwenye fulana zenu ngoja mbowe awazamishe mto mara mliwe na mamba ndio mtapata akili..nyumbu!
Hizi mbinu za chadema kumuiga gwajima jinsi ya kubrain wash misukule..itasaidia chadema kwa muda mfupi ila ni bomu baya sana,siku mmoja mtakula nyama viongozi wenu....ngoja mzamishwe mto mara mliwe na mamba nyumbu nyie!Siyo kama hamnazo bali ni hana akili tu
Pamoja na matusi yako wagombea wa chadema wanatokea Lumumba!..Kingunge kawazungusha mikono hadi mmepata vilema na miaka ijayo atawazungusha viuno hadi mkome!..mabalalikoooo...zungusha*1000...korogaaa*1000!Nyumbu ni wewe na ukoo wenu wa panya wa lumumba, kima wewe
safi sana shemeji zetu waganda kwa kutumia haki yenu ya kidemokrasia kumng'oa dikteta Museven.Kufuatia uchaguzi uliofanyika jana nchini Uganda, mawaziri 17 wa serikali ya Rais Museveni tayari wameshabwagwa huku matokeo yakiwa bado yanaendelea kutolewa, pamoja na mizengwe yoote anayofanyiwa mpinzani mkubwa Kizza Besigye kukamatwa na kuwekwa ndani mara kwa mara katika kipindi hiki cha uchaguzi, hongera sana wananchi wa Uganda kwa kufanya maamuzi.
Pamoja na matusi yako wagombea wa chadema wanatokea Lumumba!..Kingunge kawazungusha mikono hadi mmepata vilema na miaka ijayo atawazungusha viuno hadi mkome!..mabalalikoooo...zungusha*1000...korogaaa*1000!
Kwa mujibu wa wataalamu wa afya ya akili , mtu anayedhani ana akili kushinda wengine wote ni kichaa ....watu wazima mnatia huruma kwa kushindwa kuelewa kitu kidogo, kuna dogo hapa ana miaka 12 nqimemtest kwa kumuonyesha hizi komments na nini barafuyamoto amemaanisha, KAELEWA na katoa maelezo!
Wale waliowaita nyumbu hawakukosea, UPSTAIRS ni vacuum.
Mkuu huyu ni kichaa kabisa kabisaKwa mujibu wa wataalamu wa afya ya akili , mtu anayedhani ana akili kushinda wengine wote ni kichaa .
Kashinda kama manvi au;-)Ukweli ni kuwa Kiza kashinda uchaguzi.Ila demokrasia ya kijeshi ndio inaendelea kumkumbatia mseveni.
Natamani kuiona Uganda mpya
Hao ndio viongozi tulio nao ktk bara letu la Afrika, na ndio hao wanapendekeza nchi za afrika kujiondoa kutoka icc
Mmarekani hawezi saidia matatizo yetu kuyatatua, ona alikopita hali ilivyo.Kilicho baki hapa ni kumuombea Trump awe rais wa Marekani
Pamoja na matusi yako wagombea wa chadema wanatokea Lumumba!..Kingunge kawazungusha mikono hadi mmepata vilema na miaka ijayo atawazungusha viuno hadi mkome!..mabalalikoooo...zungusha*1000...korogaaa*1000!
Pamoja na matusi yako wagombea wa chadema wanatokea Lumumba!..Kingunge kawazungusha mikono hadi mmepata vilema na miaka ijayo atawazungusha viuno hadi mkome!..mabalalikoooo...zungusha*1000...korogaaa*1000!
Ndilo ulilobakiza lofa katika ubora wakoKumbe wee mkvndv kweli, tena wa kuku...mmaaaninaaa..!!!