Kenya 2022 Tume ya Uchaguzi ya Kenya (IEBC) inajitengenezea bomu kupitia kile wanadhani ni Uhuru wa Vyombo vya Habari

Kenya 2022 Tume ya Uchaguzi ya Kenya (IEBC) inajitengenezea bomu kupitia kile wanadhani ni Uhuru wa Vyombo vya Habari

Kenya 2022 General Election
Watz wameshapagawa na neno UWAZI na akili imegotea hapo.😁.

Kawaida werevu huwa na hofu itokanayo na udadisi huku wajinga wakijiamini kupitiliza bila hata kuhoji.
 
Habari wakuu!

Najua kwa siku mbili tatu baadhii yetu tumekuwa tukifuatilia kile kinachoendelea katika uchaguzi wa Majirani zetu Kenya. Kwa tathmini fupi utabaini kwamba watu wengi nchini kenya na Tanzania wamepongeza kile ambacho IEBC imefanya kwa kuruhusu vyombo vya habari kujumlisha na kutangaza matokeo ya ugombea wa Urais.

Kwa kifupi mchezo uliofanywa na IEBC unaonekana kupongezwa ila ni wa hatari kiusalama kuliko inavyodhaniwa kwani kitendo cha kila chombo cha habari kujumlisha kisha kutangaza matokeo kimesababisha matokeo kupishana na kingine jambo ambalo litaacha mtafaruku mkubwa iwapo Tume itakapotoa matokeo tofauti na mwelekeo wa vyombo hivyo.

Ni kweli Uhuru wa habari ni mzuri lakini lazima uwe na mipaka, hili jambo sio la kuliombea nchini kikubwa ni kuwaombea Mungu matokeo ya Tume yasiwe tofauti sana na matokeo yanayowasilishwa kinyume na hapo majirani watachapana soon.

ANGALIA CHINI TOFAUTI YA TAKWIMU BAINA YA VYOMBO VYA HABARI.

NB: HADI MATOKEO YANAYOENDELEA HAYAHUSISHI KURA ZA MAGEREZANI NA BALOZI MBALIMBALI.

View attachment 2320745View attachment 2320746View attachment 2320747
Unadhani kuna chama cha m***ya kule
 
Hizi ndio akili halisi za Mtanzania, umeshindwa hata kupata muda husikiliza, wameliongealea sana na Wakenya wameelewa vizur.
Tatizo lako umejawa na ile hulka ya wizi wa kura wa Tanzania na kutojitambua, mmezoea kuzimiwa mpaka mitandao na ndio mnachoona ni sahihi
 
Ambacho huelewi ni kwamba,kila chombo cha habari kina maripota wake kwenye maeneo yote, kwahiyo taarifa za matokeo ya awali haziwezi kulingana. Ila matokeo ya jumla yatalingana,shida unaonekana umemzoea mfumo mfu wa CCM kufanya uhesabuji wa kura kuwa siri.

Kama kweli Tanzania inapenda democracy,ijifunze kutoka Kenya,no janja janjaa.
Yeye ametoa angalizo kwamba Kuna weza kutokea matatizo Kama kutakuwepo na tofauti ya kile kilichoripotiwa na vyombo vya habari na kile kilichoripotiwa na tume ya uchaguzi.

Kwani nani anao uhakika kwamba hivyo vyombo vya habari haviwezi kununuliwa na baadhi ya wagombea?. Ikumbukwe kwamba Kenya ni nchi inayonuka rushwa hapa Afrika, Kama watumishi wa tume ambao hulipwa mishahara minono lakini hamuwaamini, vipi hao waandishi wa habari mnawapa Imani ya kutopindisha ukweli?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nadhani ni kwa muda tofauti kura zina tofautiana kuna wakati Ruto anaongoza kuna kipindi Raila anaongoza sasa wewe ulileta screenshot ya KTN wakati Raila alipoongoza ni KBC ukaona Ruto anaongoza kumbe ni wakati na katika majimbo jofauti.

Wakenya wana akili hawawezi kuchanganywa na hilo labda kwa nchi ya wajinga Tanzania
Wakenya akili wazitoe wapi?, Utakumbuka 2007 walivyochomana moto makanisani, hizo ndizo akili unataka tuwaige?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kitu kimoja watu wasichojua ni kwamba wote wanachukua data kutoka chanzo kimoja IEBC website. Wanacho tofautiana kati ya chombo kimoja na kingine ni kupost more data za strong hold ya chama fulani ambapo kitamfanya mgombea wake kuonekana anaongoza.

Lakini ukweli ni kwamba hawatafofautiani na mwisho wote watafikia same outcome.

Pili, huu unaweza kuwa mkakati wa National security organs kila upande uwe na winning hopes kusiwe na vurugu ili kwenye last outcome ambapo tume ndio itatangaza pasi kuegemea upande.
Hii ndio point bora kuliko zote. Kila kituo kinarusha kutokana na alichopakua kutoka IEBC ambao ndio source ya kila kitu na sio kwamba vituo vya Broadcasting vina mawakala kwenye polling stations
 
Hii ndio point bora kuliko zote. Kila kituo kinarusha kutokana na alichopakua kutoka IEBC ambao ndio source ya kila kitu na sio kwamba vituo vya Broadcasting vina mawakala kwenye polling stations
Kila kituo kinakua na watu wao huko vituoni, ambao hukusanya matokeo yalitongazwa pale kituoni na kutangaza Moja kwa Moja. Wawakilishi na wasimamizi wa tume ya uchaguzi, wao ndio hutuma Moja kwa Moja Nairobi kwa ofisi za tume.

Wasiwasi ni pale ambapo baadhi ya vyombo vya habari vyenye Nia mbaya, wanaweza kutengeneza matokeo Yao na kutangaza kwa Nia ya kumsaidia mgombea wao wanaye muunga mkono pale inapo onekana kwamba anaelekea kushindwa. Kumbuka Kenya ni nchi ya kikabila, hata vyombo vingi vya habari Kenya vimegawanyika kwa misingi ya ukabila.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu!

Najua kwa siku mbili tatu baadhii yetu tumekuwa tukifuatilia kile kinachoendelea katika uchaguzi wa Majirani zetu Kenya. Kwa tathmini fupi utabaini kwamba watu wengi nchini kenya na Tanzania wamepongeza kile ambacho IEBC imefanya kwa kuruhusu vyombo vya habari kujumlisha na kutangaza matokeo ya ugombea wa Urais.

Kwa kifupi mchezo uliofanywa na IEBC unaonekana kupongezwa ila ni wa hatari kiusalama kuliko inavyodhaniwa kwani kitendo cha kila chombo cha habari kujumlisha kisha kutangaza matokeo kimesababisha matokeo kupishana na kingine jambo ambalo litaacha mtafaruku mkubwa iwapo Tume itakapotoa matokeo tofauti na mwelekeo wa vyombo hivyo.

Ni kweli Uhuru wa habari ni mzuri lakini lazima uwe na mipaka, hili jambo sio la kuliombea nchini kikubwa ni kuwaombea Mungu matokeo ya Tume yasiwe tofauti sana na matokeo yanayowasilishwa kinyume na hapo majirani watachapana soon.

ANGALIA CHINI TOFAUTI YA TAKWIMU BAINA YA VYOMBO VYA HABARI.

NB: HADI MATOKEO YANAYOENDELEA HAYAHUSISHI KURA ZA MAGEREZANI NA BALOZI MBALIMBALI.

View attachment 2320745View attachment 2320746View attachment 2320747
Kwani chanzo chao cha matokeo hayo si kimoja - IEBC. Je, huo utofauti sio kutokana na muda wa kutangaza matokeo hayo?
Wanachokifanya IEBC ni kuepusha machafuko, na si vinginevyo.
Hili ni jambo la ajabu kwa wale wenye chama kinachowekaga kituo cha tallying na kukataza vyama vingine kufanya hivyo kwenye nchi ile ya Danganyika!
 
Source si moja? Labda hivyo vyombo vya habari viwe na vilaza wa hesabu, wasiojua hesabu za kujumlisha na kutoa.
 
Kwanini matokeo yapishane? Wewe unawaza kiwiziwizi kama kinachotangazwa ndo chenyewe kura haziwezi tofautiana.
 
Mpaka sasa kuna mijitu haiamini kama CCM waliiba kura na yanaona nisawa tu kuwa na wabunge hewa amnao hatukuwachagua yapo bungeni yanajaza matumbo uku mfumko wa bei unatishia usalama wa Raia
 
Habari wakuu!

Najua kwa siku mbili tatu baadhii yetu tumekuwa tukifuatilia kile kinachoendelea katika uchaguzi wa Majirani zetu Kenya. Kwa tathmini fupi utabaini kwamba watu wengi nchini kenya na Tanzania wamepongeza kile ambacho IEBC imefanya kwa kuruhusu vyombo vya habari kujumlisha na kutangaza matokeo ya ugombea wa Urais.

Kwa kifupi mchezo uliofanywa na IEBC unaonekana kupongezwa ila ni wa hatari kiusalama kuliko inavyodhaniwa kwani kitendo cha kila chombo cha habari kujumlisha kisha kutangaza matokeo kimesababisha matokeo kupishana na kingine jambo ambalo litaacha mtafaruku mkubwa iwapo Tume itakapotoa matokeo tofauti na mwelekeo wa vyombo hivyo.

Ni kweli Uhuru wa habari ni mzuri lakini lazima uwe na mipaka, hili jambo sio la kuliombea nchini kikubwa ni kuwaombea Mungu matokeo ya Tume yasiwe tofauti sana na matokeo yanayowasilishwa kinyume na hapo majirani watachapana soon.

ANGALIA CHINI TOFAUTI YA TAKWIMU BAINA YA VYOMBO VYA HABARI.

NB: HADI MATOKEO YANAYOENDELEA HAYAHUSISHI KURA ZA MAGEREZANI NA BALOZI MBALIMBALI.

View attachment 2320745View attachment 2320746View attachment 2320747
Ila CCM ni janga la kidunia kumbe? Mimi nilijua mnaleta shida Tanzania pekee kumbe na Afrika nzima nyie ni virusi?
 
Hayo matokeo yanatoka IEBC,unachoona hapo ni kwamba kuna utofauti wa speed ya wanaojumlisha huko kwenye vyombo vya habari,lakini mwisho wa siku,matokeo yatakua na convergence ileile.Hakuna mjinga ambaye anaweza akareact kwa kuona dosari ya chombo kimoja kukosea,halafu tambua kuna teknolojia,kukosea ni ngumu kwa vyombo vyote.Utofauti unaoendelea,usikutishe,kila chombo kina uwezo wa kuamua waanzie kuingiza za sehemu gani,wamalizie za sehemu gani,mwisho wa siku uniformity inatokea kwenye majibu ya mwisho.
 
Pale wanaCCM wanapokua na wasiwasi na transparency inayoendelea Kenya.

Vyombo vya habari vimefafanua zaidi ya mara kibao on kwanini wanatofautiana. Kama huelewi then hilo ni tatizo lako binafsi.

Tabia zenu za kiCCM za kujifungia na kuhesabu kura, kujitangaza washindi kilisababisha baada ya matokeo 2020 mkapoa kama maji as if mmefiwa, hatukuona shangwe wala nderemo, nyuso zenu zilijaa aibu sana.
 
Back
Top Bottom