Zanzibar 2020 Tume ya Uchaguzi Zanzibar: Kura ya mapema (Oktoba 27) haitahusisha Askari wote

Zanzibar 2020 Tume ya Uchaguzi Zanzibar: Kura ya mapema (Oktoba 27) haitahusisha Askari wote

Ukisikia usanii ndio huu.
Katika andiko hilo sijaona hoja ya msingi ya wasimamizi wa uchaguzi kupiga kura siku ya kwanza na wananchi wengine kupiga kura siku ya pili.
Mwenyekiti angetueleza katika uchaguzi wa mwaka 2015 kama kuna tatizo lilitokea labda kwa wasimamizi wa uchaguzi kushindwa kupiga kura.
Nawaza tu baada ya hizo kura zitakazopigwa siku ya kwanza, zitahifadhiwa wapi, nani watazilinda kama sio kuandaa mazingira ya hovyo
 
Uchaguzi wa marudio wa 2015 haukuweza kufanya serikali serikali ya umoja wa kitaifa.

Na kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ilibidi ufanywe uchaguzi mwengine.

Lakini kwa ubabe wa CCM waliunda serikali hivyo hivyo kihuni.

Kwa hivyo hizo sheria na hao Tume yao na mengine yote wanayoyafanya ni kinyume cha katiba na kisheria , ni BATILI.

YAANI CCM WANACHANGANYA MAVI NA MIKOJO NA KUJINYWEA TU
 
Ukisikia usanii ndio huu.
Katika andiko hilo sijaona hoja ya msingi ya wasimamizi wa uchaguzi kupiga kura siku ya kwanza na wananchi wengine kupiga kura siku ya pili.
Mwenyekiti angetueleza katika uchaguzi wa mwaka 2015 kama kuna tatizo lilitokea labda kwa wasimamizi wa uchaguzi kushindwa kupiga kura.
Nawaza tu baada ya hizo kura zitakazopigwa siku ya kwanza, zitahifadhiwa wapi, nani watazilinda kama sio kuandaa mazingira ya hovyo


Wanataka kumwaga damu tena


1602221933156.png
 
Uchaguzi wa marudio wa 2015 haukuweza kufanya serikali serikali ya umoja wa kitaifa.

Na kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ilibidi ufanywe uchaguzi mwengine.

Lakini kwa ubabe wa CCM waliunda serikali hivyo hivyo kihuni.

Kwa hivyo hizo sheria na hao Tume yao na mengine yote wanayoyafanya ni kinyume cha katiba na kisheria , ni BATILI.

YAANI CCM WANACHANGANYA MAVI NA MIKOJO NA KUJINYWEA TU
Wanajua hizo kura 7000 za wasimamizi zitakuwa za kwao zote maana watawatisha
 
Tayari kura 7000 CCM washatanguliza katika sanduku la kura.


Demokrasia ya kishenzi sana
Wewe unaona ni elfu saba ila ukweli ni elfu saba zidisha kwa kumi na mbili. Si unamsikia Maalim anasema atamshinda Dkt. Mwinyi kwa kura laki moja? Hilo pengo litazibwa hapo.
 
ACT welala wanasubiri kura za huruma toka CCM.

Hakuna sababu zozote za kuwafanya Wazanzibari kupiga kura siku Mbili.
HUWA NAWASHANGAA SANA WAISLAM POPOTE WALIPO PALE WANAPOFANYIANA DHULMA KWA SABABU YA KUENDEKEZA MASLAHI BINAFSI. YANI KWELI KABISA UNAMKUTA MTU ANASWALI KABISA SWALA TANO HALAFU AKITOKA MSIKITINI ANAFANYA NJAMA NA HILA ZA JAMBO BAYA LISILO LA HAKI NA LINALOWEZA KUSABABISHA WATU WAKAFARAKANA NA YA KUJENGA CHUKI.

MAMBO YA DHULMA YANAYOFANYWA NA CCM KULE ZANZIBARI YALIPASWA KULAANIWA NA WAUMINI WOTE WA KIISLAM DUNIANI MANA NI DHULMA ZA WAZI KWA BINADAM YEYOTE MPENDA HAKI.
DINI YA KIISLAMA INAJIPAMBANUA KAMA DINI YA HAKI .
HIVI CCM wao wangependa mambo wanayowafanyia wengine wao nao siku moja wafanyoiwe ? Au ni kiburi cha kudhani kuwa wao watakaa madaraiani milele?
TUME ilyojaa makada wa CCM inaonuonyesha wazi jinsi chama hicho kilivyokosa watu wenye hofu kwa Mwenyezi Mungu. Kila idara imejawa na hila tu bila kujali furaha ,amani na ustawi wa binadamu.
CCM inaona raha sana kuwaacha Wazanzibari kuendelea kuishi kwa chuki ,hila na mifarakano kwa kwa sababu ya kulinda neno CCM utafikiri Hicho chama ni Aya iliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu kumbe ni chaka tu kilichoundwa na watu na kitakufa kama waasisi wake nao wanavyozidi kuondoka duniani . Waanzilishi wa CCM wanavgozidikupungua kwa kutangulia mbele za haki ndivyo na chama hicho kinavyopoteza nguvu duniani. Hivyo kukifanya Chama cha mapinduzi kuwa ndicho kilichobeba roho na maisha ya watu ni kujidanganya kwani kimeanzishwa na wanadamu walioumbwa kwa udongo.
Acha kuingiza udini katika masula haya. Nini mlengo wako. Usitumie usilamu kuhalalisha upumbavu wako uliokujaa mwilini. Uislamu sio dini ya kufanya Mambo ya kijinga.
 
Eti uchaguzi Zanzibar unafanyika siku mbili??
27/10/2020 - WAFANYAKAZI
28/10/2020 - RAIA WENGINE



KAMA NI KWELI BASI KUNA MKONO WA NTU, ... SI BURE!
 
Nadhani walinzi hao wangepiga siku ya uchaguzi kwenye vituo watakavyosimamia ingekuwa nzuri - sioni sababu ya kuwafanya wachaguwe siku moja kabla

Sote tuifanye Tanzania kuwa kisiwa cha amani na utulivu
 
Atulize kitenesi..... Haiwezekani nchi yenye wapiga kura laki 5 eti wapige siku mbili halafu hao 7,000 nao watapiga kura tena tarehe 28 kwa ajili ya Rais wa Muungano na wabunge, sasa mantiki yake nini? Kwanini wote wasipige kura siku moja?

Watu watapiga ya Zanzibar tarehe 27, na tarehe 28 watapigia JMT ilimradi mwaka huu kieleweke....
 
Asisahau kuhamia Pemba na awajuilishe majirani ili wajue anapoishi ndio heshima mtaani watu wakajuana 🙂
Una maana mimi NGOSHA wa Ng'wanza nihamie Pemba? ... fafanua ueleweke, maana, kwangu mimi, Ng'wanza ni kitovu cha Universe!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Watumishi wa NEC hawatoshiriki?

Daftari la hao wapiga kura litawekwa wazi lini?

Wizi huu hata mtoto mchanga huwezi kumdanganya , Tafuteni njia nyengine hapa hata hamjachemsha mumeunguza sufuria
swali ni je kura hizo zitahesabiwa siku hiyo hiyo?
 
Una maana mimi NGOSHA wa Ng'wanza nihamie Pemba? ... fafanua ueleweke, maana, kwangu mimi, Ng'wanza ni kitovu cha Universe!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
Alisema atahamia Pemba haswa mwenyewe hakulazimishwa. Wala JPM hakumwambia afanye ivo ila ni mapenzi yake mwenyewe tu. Pemba kuzuri na ili uishi vizuri popote pale duniani ni vyema ukajitambulisha kwa majirani na kualikana 😀 Baada ya uchafuzi utahitaji msaada, na wakukusaidia watakuwa majirani, sasa hapo itategemea ulikuwa unaishi na vipi 😀 😀 😀 😀
 
Alisema atahamia Pemba haswa mwenyewe hakulazimishwa. Wala JPM hakumwambia afanye ivo ila ni mapenzi yake mwenyewe tu. Pemba kuzuri na ili uishi vizuri popote pale duniani ni vyema ukajitambulisha kwa majirani na kualikana 😀 Baada ya uchafuzi utahitaji msaada, na wakukusaidia watakuwa majirani, sasa hapo itategemea ulikuwa unaishi na vipi 😀 😀 😀 😀
Kumbe jamaa! 😅 ... ajabu kubwa ni kwamba huku bara kuna kasheshe la Lissu, na yeye kang'ang'ana na Pemba!
... ye asubiri wapemba watamfundisha misamiati mipya Kama 'KIPANDE' ... etc.
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Kumbe jamaa! 😅 ... ajabu kubwa ni kwamba huku bara kuna kasheshe la Lissu, na yeye kang'ang'ana na Pemba!
... ye asubiri wapemba watamfundisha misamiati mipya Kama 'KIPANDE' ... etc.
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
Inajulikana vyema kuwa Pemba kikinuka harufu inasambaa dunia nzima. Yaani bara na Unguja wanategemea Pemba ndio iwakomboe kutoka kwenye mikono ya CCM. Wakinyamaza Pemba nakuhakikishia hamna liwalo, TZ nzima itanyamaza. Wanalijua hilo ndio maana nguvu zao nyingi wanazielekeza huko wamejaribu kuwaengua wagombea wa upinzania majimbo yote.... In short mwaka huu mambo moto na freezer la kutengeza barafu ni bovu sasa
 
Acheni uwoga
Watumishi wa NEC hawatoshiriki?

Daftari la hao wapiga kura litawekwa wazi lini?

Wizi huu hata mtoto mchanga huwezi kumdanganya , Tafuteni njia nyengine hapa hata hamjachemsha mumeunguza sufuria
 
Back
Top Bottom