Maelezo yako yamejikita kisheria au umeongea kwa mihemko tu? Naomba maelezo ya kisheria au kikatiba..pls!!
Kama huelewi taratibu nyamaza! ZEC zanzibar ndio inayogawa majimbo yote ya uchaguzi. Hata majina hayo ya wapikupiga kura yaliratibiwa na hao hao ZEC kwa maneno ya Lubuva. Simply ni kwamba CCM kashindwa vibaya Zanzibar. Hao ZEC walipotangaza hawakujipanga na sasa impact yake ni nchi nzima. UCHAGUZI WA TANZANIA NAO UFUTWE!
Zilizofutwa ni Matokeo Ya Urais na Sio Ya Wabunge, madiwani wala Wawakilishi. Kwa hiyo Kura za Ubunge ziko pale pale
Katika hali ya kushtua Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC) imetangaza kuyafuta Matokeo ya urais wa Zanzibar.
Yadaiwa Uchaguzi uligubikwa na kasoro nyingi.
Imeahidi kutangaza tarehe rasmi ya kurudiwa uchaguzi.
====
Statement:
VIDEO:
Chanzo: ZBC TV
mkuu matokeo ysliyofutwa ni ya serikali ya mapinduzi na sii ya muungano.
Tambua kwamba wazanzibar wamechagua rais wa zanzibar na rais wa muungano.
na kasoro zipo kwenye uchaguzi wa rais wa zanzibar na sii rais wa muungano.
Zilizofutwa ni Matokeo Ya Urais na Sio Ya Wabunge, madiwani wala Wawakilishi. Kwa hiyo Kura za Ubunge ziko pale pale
kuna sababu tisa zimetajwa hapo juu....Ina maana hizo haziifanyi Uchaguzi wa Rais wa Muungano upande wa Zanzibar kutokuwa batili??Kuwa mkweli usiegemee upande...
....Mkuu matokeo ysliyofutwa ni ya serikali ya mapinduzi na sii ya muungano.
Tambua kwamba wazanzibar wamechagua rais wa Zanzibar na rais wa muungano.
Na kasoro zipo kwenye uchaguzi wa rais wa Zanzibar na sii rais wa muungano.