The Spit
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 473
- 246
This is a joke and this guy is a total joke. Huko kupigana kwa makamishna wa tume kuna uhusiano gani na matokeo?Yeye kushindwa kufanya kufanya kazi yake kucommand nidhamu ndani ya tume kunahusika vipi na suala la uchaguzi kuwa au kutokuwa huru na wa haki? Kwa nini wasiyashughulikie hayo matatizo yaliyojitokeza specifically? Na kwa nini nani ameshinda? This is insane. Maalim usikubali katu katu uchaguzi kurudiwa ikibidi usifanyike kabisa au wafanye na ADC na dunia itambue hivyo.