Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu


kazi kweli kweli na huku mamvi nae akijitangazia ushindi itakuaje watafuta???
 

Mkuu ebu muulize huyo mwanasheria wako, kama kura zote zilipigwa kwenye chumba kimoja kwa wakati mmoja haoni kuwa sababu zilizobatilisha matokeo ya ZEC zinabatilisha pia matokeo ya NEC. Mazingira ni hayo hayo, chumba cha kura ni hicho hicho muda ni huo huo!
 


Nakuona wewe ni bush lawyer. Watu walewale, jimbo lilelile, wasimamizi wa chumba kile kile. Msimamizi harafu unasema yaha menigine ni safi ya jamhuri, ila ya zenji ni batili? Tafakali!
 
Ujinga tu nanuhafidhina. Maalim alikuwa sahihi kutajantakwimu. Mbona Makamba kafingua vituo vya kutangazia matokeo na anatumia tweeter kwa hash tag #tanzaniadecides. Ana kituo kingine Kenya.
 
basi na tanzania bara wafute uchaguzi maana january alishatangaza kabla ya nec na nec ilisema ni tume peke yake ndio ina mamlaka ya kutangaza.

yani ccm ni majanga kwa kweli

ni majanga kabisa sheria iwaguse wapinzani tu, wao wako juu ya sharia, ving'ang'anizi hawakubali kushindwa, nilikuwa ccm lakini uchagu ukirudiwa znz naichagua cuf, kumbe ccm ndio waroho wa madaraka
 
Mwenyeketi NEC jaji Lubuva hatambui kufutwa kwa matokeo ya Zanzibar na ZEC CCM imekula kwao.
 

hizo meza mbili zilikuwa ndani ya chumba kimoja au vyumba viwili tofauti. kama chumba kimoja ni batili hayo matokeo ya muungano
 
Ndo maana tutaka serekali tatu

SERIKALI TATU isaidie nini? unajua serikali inahitaji mambo makuu matatu, REVENUE, EXECUTIVE na DEFENCE. sasa hiyo serikali yako ya tatu unayotaka wewe itakuwa na EXECUTIVE asiye na nguvu yoyote (mana haitakuwa na wananchi), REVENUE ya kuomba omba (kutoka visiwani na bara) na DEFENCE itakuwa wanajeshi wa kukodi (maana haina wananchi)? ..hiyo itakuwa serikali au vioja ???
 
Mkuu ilitakiwa na Lowassa alalamike kwamba kura zake za Zanzibar zimechakachuliwa then time ndio ingefuta matokeo ya muungano Zanzibar.
 

ZEC haina mamlaka kwa NEC na NEC hawana mamlaka kwa ZEC, hivyo uchaguzi uliyoahirishwa/ kufutwa ni wa Zanzibar tu , ila matokeo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yapo salama
 
hizo meza mbili zilikuwa ndani ya chumba kimoja au vyumba viwili tofauti. kama chumba kimoja ni batili hayo matokeo ya muungano
Sasa umeniekewa, kwahiyo sasa ili na ya muungano yafutwe ni Lowassa anayetakiwa kulalamika na awe na ushahidi mkuu.
 
kura za urais wa jamhuri ya muungano zinasimamiwa na NEC si ZEC

Mkuu sijaelewa bado kwani hili bandiko hapa chini lina maana gani? Je kulikuwa na wasimamizi wa ZEC na NEC huko vituoni?

 
Last edited by a moderator:
BREAKING NEWZ

Mwenyekiti wa NEC hatambui kufutwa uchaguzi Zanzibar. Kwa kufutwa uchaguzi Zanzibar, Tanganyika nako hakuna uchaguzi kwa kuwa uchaguzi wa NEC Zanzibar unasimamiwa na ZEC
 
Mkuu ilitakiwa na Lowassa alalamike kwamba kura zake za Zanzibar zimechakachuliwa then time ndio ingefuta matokeo ya muungano Zanzibar.

Lowassa hajachelewa so far, hata hivyo kwani ccm wali lodge official complain kuwa wameibiwa pemba? au zec wamefuta kutokana na kuona kasoro walizoziainisha kwenye barua yao?
 
ZEC haina mamlaka kwa NEC na NEC hawana mamlaka kwa ZEC, hivyo uchaguzi uliyoahirishwa/ kufutwa ni wa Zanzibar tu , ila matokeo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yapo salama

Soma tamko uchaguzi wote umefutwa ZEC ni mawakala wa NEC Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…