Mkuu rombo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,556
- 422
Hatimaye ZEC wamefitilia mbali uchaguzi wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa tangazo la ZEC wameainisha mambo mawili ambayo yamepelekea kufutwa kwa uchaguzi huo ambayo ni mgombea mmoja kujitangaza mshindi kinyume cha taratibu na jambo lingine wamedai kuwa uchaguzi huo haukuwa wa huru na haki.
kazi kweli kweli na huku mamvi nae akijitangazia ushindi itakuaje watafuta???