Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

Vp kuhusa Tanzania bara waliopia marais na bara utafutwa uchaguzi naomba kuelewa walio mchagua magufuli au Lowassa itakuaje mwenye uelewa anieleweshe Ahsanten
 
kujitangazia ushindi kunaathiri vipi matokeo ?
hii kali !
maagizo ya DODOMA hayo !

kujitangazia ushindi kunasababisha kura zilizokwishapigwa zifutike. kwani hujui hilo mkuu? CCM oyeeeeee!!
 
Kivipi wakati walipiga pia kura za rais wa bara? Wafute zote. Kwani bara ulikuwa sawa?
 
Wakuu.
Hapa kilichofanyika ni kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar na sii wa muungano.
Hii ni kwa majibu wa mmoja wa wanasheria niliyempigia simu na kumuuliza.
So uchaguzi wa Zanzibar (serikali) ya mapinduzi hauhathiri matokeo ya kura za muungano.


Mwanasheria wa CCM sio? Unajarajia nini hapo?
 
Zilizofutwa ni Matokeo Ya Urais na Sio Ya Wabunge, madiwani wala Wawakilishi. Kwa hiyo Kura za Ubunge ziko pale pale

Haya tumekusikia mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar.
 
...... .....
.

hhahaha kilaza kwahiyo huyu raisi wa wa bara atakuwa wa Tanganyika peke yake
Mkuu matokeo ysliyofutwa ni ya serikali ya mapinduzi na sii ya muungano.
Tambua kwamba wazanzibar wamechagua rais wa Zanzibar na rais wa muungano.
Na kasoro zipo kwenye uchaguzi wa rais wa Zanzibar na sii rais wa muungano.
 
Je ni kweli!

Leo nimebishana na watu hapa kuwa CUF hawapewi nchi ya Zanzibar na watu wakanipinga. Mimi mwenyewe ni CUF lakini najua siasa ya ZNZ, kwasababu ninaishi ZNZ maisha yangu yote haya. Nyinyi ndugu zetu wa Bara hamuijui Zanzibar. CUF haiwezi kushinda ZNZ hata kwa dakika moja. Aminini maneno yangu na baadae mtuachie wenyewe siasa yetu ya Zanzibar, kwani nyinyi hamtoifahamu milele!
 
Sheria ya kufuta uchaguzi na muda was kurudia katiba inasemaje?

Je waangalizi wa kimataifa kwakua wao ndio watoaji wa pesa zote zinazofanyia uchaguzi sheria zao zikoje?

Sheria ya Tume MTU akijitangaza haisemi kuwa uchaguzi urudiwe Bali kuna adhabu zake ambazo zimeainishwa.

Zimefutwa Kura Za Urais tu na Sio mengine
 
Huyo mwanasheria atakuwa ni kanjanja aliyekubuhu.
mkuu Tundu Lissu na kibatala peter njoo mkamate
huyu kibaka anayevamia fani yenu na kuinajisi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom