Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iwafutie usajili wanafunzi wanaorekodi na kusambaza video chafu mitandaoni

Safi sana mkuu. Hili ni wazo jema sana kwa mwaka huu. Congrats.
 
Acha roho mbaya na umbea wa kufatilia maisha ya watu ... FANYA KAZI
 
Dah! Jukwaa pendwa halipo! Sasa hapa Connection ndio zimezidi kuwa ngumu!!
 
Tume inadeal na usajiri wa VYUO na sio WANAFUNZI
 
Wewe Malaya

Hayo ya wazungu waachie wao maana wapo dunia nyingine fata cultural yako usipende kujilinganisha kwa kila kitu..




Tunakemea hivo vitendo na hatuvitaki.
Acha unafiki, vitendo unavipenda ndio maana kila video unaichangamkia kuitazama.Wasiovipenda hivyo vitendo hawajui kama kuna video zimerushwa na hawana habari mnaojifanya hamvipendi mna data zote.Wabongo wznafiki sana.Hivi usipoenda kupekua mitandaoni hixo video unazikuta wapi, mbona hao warushaji wataacha wenye, wanaendelea kwa sababu nyinyi wateja wao mpo, mnapakua data wanapiga hela.
 
Kwahy kama ni mtoto wako umeona video zake zinasambaa mtandaoni akiwa anakunjwa tena tigo, utachekelea?
Mtoyo wangu hawezi kufanya hivyo kama unazuia kwasababu ya motto wako basi una shida.Vitendo huzuiwa kwa sababu
Wewe Malaya

Hayo ya wazungu waachie wao maana wapo dunia nyingine fata cultural yako usipende kujilinganisha kwa kila kitu..




Tunakemea hivo vitendo na hatuvitaki.
Kwa hip hao wanaojirekodi in watoto? Kwani hao wanaojirekodi hawana wazazi ? Unakemea halafu unapakua xporn unacheki AF hapa unatoa povu. Unakemea halafu nyumbani watoto wako wanaangalia tamthilua za mapenzi,movie nk. wala huoni shida.Ukikrmea uache kutumia mifumo ya uharibifu hats hspa JF usiingie maana urakutana na habari za uharibifu.Nimekwambia hakuna anaeweza kuzuia impact ya Globalization.Matelevisheni kutwa kupiga nyimbi za mapenzi af hspa unajifanya hupendi.Chukia,zuia mifimo sio matokeo wewe.
 
Acha roho mbaya na umbea wa kufatilia maisha ya watu ... FANYA KAZI
Wewe ni kiazi kweli!
Tabia chafu lazima zikemewe, haiwezekan kila kukicha ni mavideo machafu tena ya wanachuo..

Bado wa primary tu na sekondari sasa..

Lazima tukemee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…