Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iwafutie usajili wanafunzi wanaorekodi na kusambaza video chafu mitandaoni

Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iwafutie usajili wanafunzi wanaorekodi na kusambaza video chafu mitandaoni

Wakuu Salaam:

Siku za karibuni kumekuwa na usambaaji wa video chafu kwenye mitandao ya kijamii na jambo hili linaendelea kukua miongoni mwa wanafunzi wa Elimu ya juu.

Na waliohusika katika video wapo pamoja na kwamba kumekuwa na matamko toka uongozi wa vyuo lakini bado hakuna fundisho.

Hawa wanafunzi wa vyuo vikuu watakapohitimu ndiyo wanaotegemewa kuwa viongozi na wazalishaji katika sekta mbalimbali ili kuinua maendeleo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.

TCU wanatakiwa kuwafuta usajili wote waliohusika kwenye hizo video na wasipewe nafasi ya kusoma chuo chochote kabisa.

Kila mtu ni kama kashazoea habari kama hizi kusikika, hakuna maadili tena. Unakaa siku 2,3 unapata habari mpya.

Wanafunzi wa elimu ya juu tatizo liko wapi hadi kufikia hatua hii?

TCU chukueni hatua.
Ni habari njema na itarudisha maadili kwa wanafunzi maana imekua kama fashion, wasomi wanawaza ujinga wa kurecord video chafu na picha mbovu mitandaoni, sijui wanapata wapi huo muda, badala waumize vichwa kufanya jambo litakalosaidia nchi au gunduzi mbalimbali, wanaweka makalio mitandaoni
 
Mtoyo wangu hawezi kufanya hivyo kama unazuia kwasababu ya motto wako basi una shida.Vitendo huzuiwa kwa sababu

Kwa hip hao wanaojirekodi in watoto? Kwani hao wanaojirekodi hawana wazazi ? Unakemea halafu unapakua xporn unacheki AF hapa unatoa povu. Unakemea halafu nyumbani watoto wako wanaangalia tamthilua za mapenzi,movie nk. wala huoni shida.Ukikrmea uache kutumia mifumo ya uharibifu hats hspa JF usiingie maana urakutana na habari za uharibifu.Nimekwambia hakuna anaeweza kuzuia impact ya Globalization.Matelevisheni kutwa kupiga nyimbi za mapenzi af hspa unajifanya hupendi.Chukia,zuia mifimo sio matokeo wewe.
Wewe ni mburula.
 
Ni habari njema na itarudisha maadili kwa wanafunzi maana imekua kama fashion, wasomi wanawaza ujinga wa kurecord video chafu na picha mbovu mitandaoni, sijui wanapata wapi huo muda, badala waumize vichwa kufanya jambo litakalosaidia nchi au gunduzi mbalimbali, wanaweka makalio mitandaoni
Kabisa Ndugu Mtende, ndiyo kizazi cha sasa kinachopikwa kwa utandawazi, kila kona uchafu tuuu...
 
Adhabu iwe kwa wote, msambazaji, aliyerokodi na aliyejirekodi/kurekodiwa...



Cc: mahondaw
 
Wakuu Salaam:

Siku za karibuni kumekuwa na usambaaji wa video chafu kwenye mitandao ya kijamii na jambo hili linaendelea kukua miongoni mwa wanafunzi wa Elimu ya juu.

Na waliohusika katika video wapo pamoja na kwamba kumekuwa na matamko toka uongozi wa vyuo lakini bado hakuna fundisho.

Hawa wanafunzi wa vyuo vikuu watakapohitimu ndiyo wanaotegemewa kuwa viongozi na wazalishaji katika sekta mbalimbali ili kuinua maendeleo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.

TCU wanatakiwa kuwafuta usajili wote waliohusika kwenye hizo video na wasipewe nafasi ya kusoma chuo chochote kabisa.

Kila mtu ni kama kashazoea habari kama hizi kusikika, hakuna maadili tena. Unakaa siku 2,3 unapata habari mpya.

Wanafunzi wa elimu ya juu tatizo liko wapi hadi kufikia hatua hii?

TCU chukueni hatua.

Nami nakusikitikia unajiita msomi hujui hata kujenga hoja, hufahamu kazi wala Mamlaka ya TCU. Kwa kifupi TCU hawawezi na wala hawana mamlaka kumfuta au kumchukulia hatua Mwanafunzi yeyote wa Chuo baada ya kudhahiliwa bali Chuo husika ndicho kinaweza kufanya hivyo baada ya kugundulika kuvunja Miiko, Sheria au Taratibu za Chuo vinginevyo utaishia kupopoma Mitandaoni tu.
 
Hao wanafunzi wanaojirekodi picha chafu wanawaweka wazazi wao kwenye wakati mgumu Sana.

Wanafunzi waoneeni huruma wazazi wenu, msiwafanye wafe mapema.
 
Mwenye kuhitaji KONEKSHENI. YA MISS MUST AJE INBOX ILA SEMA NINATUMIA FREEBASICS
 
Back
Top Bottom