The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
- Thread starter
-
- #41
Sasa ndy ukute mwanao ndy anaelezewa hivi mtandaoni, unaeza ukafa chapOya tako liko wapi pale wakati ni kimbau mbau tu! Nyama zenyewe hana, na ukiingiza pale utaishia kujigonga na mifupa tu!!
Ni habari njema na itarudisha maadili kwa wanafunzi maana imekua kama fashion, wasomi wanawaza ujinga wa kurecord video chafu na picha mbovu mitandaoni, sijui wanapata wapi huo muda, badala waumize vichwa kufanya jambo litakalosaidia nchi au gunduzi mbalimbali, wanaweka makalio mitandaoniWakuu Salaam:
Siku za karibuni kumekuwa na usambaaji wa video chafu kwenye mitandao ya kijamii na jambo hili linaendelea kukua miongoni mwa wanafunzi wa Elimu ya juu.
Na waliohusika katika video wapo pamoja na kwamba kumekuwa na matamko toka uongozi wa vyuo lakini bado hakuna fundisho.
Hawa wanafunzi wa vyuo vikuu watakapohitimu ndiyo wanaotegemewa kuwa viongozi na wazalishaji katika sekta mbalimbali ili kuinua maendeleo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.
TCU wanatakiwa kuwafuta usajili wote waliohusika kwenye hizo video na wasipewe nafasi ya kusoma chuo chochote kabisa.
Kila mtu ni kama kashazoea habari kama hizi kusikika, hakuna maadili tena. Unakaa siku 2,3 unapata habari mpya.
Wanafunzi wa elimu ya juu tatizo liko wapi hadi kufikia hatua hii?
TCU chukueni hatua.
Acha ubishi, wao wanaeza toa kauli hii tabia ikafaTume inadeal na usajiri wa VYUO na sio WANAFUNZI
Wewe ni mburula.Mtoyo wangu hawezi kufanya hivyo kama unazuia kwasababu ya motto wako basi una shida.Vitendo huzuiwa kwa sababu
Kwa hip hao wanaojirekodi in watoto? Kwani hao wanaojirekodi hawana wazazi ? Unakemea halafu unapakua xporn unacheki AF hapa unatoa povu. Unakemea halafu nyumbani watoto wako wanaangalia tamthilua za mapenzi,movie nk. wala huoni shida.Ukikrmea uache kutumia mifumo ya uharibifu hats hspa JF usiingie maana urakutana na habari za uharibifu.Nimekwambia hakuna anaeweza kuzuia impact ya Globalization.Matelevisheni kutwa kupiga nyimbi za mapenzi af hspa unajifanya hupendi.Chukia,zuia mifimo sio matokeo wewe.
Kabisa Ndugu Mtende, ndiyo kizazi cha sasa kinachopikwa kwa utandawazi, kila kona uchafu tuuu...Ni habari njema na itarudisha maadili kwa wanafunzi maana imekua kama fashion, wasomi wanawaza ujinga wa kurecord video chafu na picha mbovu mitandaoni, sijui wanapata wapi huo muda, badala waumize vichwa kufanya jambo litakalosaidia nchi au gunduzi mbalimbali, wanaweka makalio mitandaoni
Aah wapi!Sasa ndy ukute mwanao ndy anaelezewa hivi mtandaoni, unaeza ukafa chap
Ina maana wewe utachekelea na utamnunulia prado kabisaAah wapi!
Kila siku namuomba Mungu akinusuru kizazi changu na ujinga wa kutojitambua, na mengineyo.Ina maana wewe utachekelea na utamnunulia prado kabisa
Si kataka mwenyewe?Kwahy kama ni mtoto wako umeona video zake zinasambaa mtandaoni akiwa anakunjwa tena tigo, utachekelea?
Acha ubishi, wao wanaeza toa kauli hii tabia ikafa
Mhusika hajui kama ana wazazi na ndugu?Yani wazazi na ndugu zao wanajisikiaje!
Chief fanya kushea mzigo wa must basi [emoji23]Mzigo ninao mkuu
Mkuu fanya kushare file la MUSTOya tako liko wapi pale wakati ni kimbau mbau tu! Nyama zenyewe hana, na ukiingiza pale utaishia kujigonga na mifupa tu!!
Wakuu Salaam:
Siku za karibuni kumekuwa na usambaaji wa video chafu kwenye mitandao ya kijamii na jambo hili linaendelea kukua miongoni mwa wanafunzi wa Elimu ya juu.
Na waliohusika katika video wapo pamoja na kwamba kumekuwa na matamko toka uongozi wa vyuo lakini bado hakuna fundisho.
Hawa wanafunzi wa vyuo vikuu watakapohitimu ndiyo wanaotegemewa kuwa viongozi na wazalishaji katika sekta mbalimbali ili kuinua maendeleo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.
TCU wanatakiwa kuwafuta usajili wote waliohusika kwenye hizo video na wasipewe nafasi ya kusoma chuo chochote kabisa.
Kila mtu ni kama kashazoea habari kama hizi kusikika, hakuna maadili tena. Unakaa siku 2,3 unapata habari mpya.
Wanafunzi wa elimu ya juu tatizo liko wapi hadi kufikia hatua hii?
TCU chukueni hatua.