Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iwafutie usajili wanafunzi wanaorekodi na kusambaza video chafu mitandaoni

picha
 
Kwanini wenye mamlaka wasipige ban mitandao yote inayoonyesha hizo picha chafu?

Yaani kijana wa chuo anafanya huo ujinga je elimu aliyopata haijamsaidia?

Serikali badilisheni huu mfumo wa elimu.
 
Nikuulize Tu.. Wewe ni Mkamilifu?

Video mmeona ni Kigezo cha Kufutia mtu Usajili?

Yale ni Maisha ya Mtu Binafsi.. atajuana na Huko atakapofanyia Kazi au Jamii yake inayomzunguka. TCU wao wanaangalia Vigezo vya Msingi..

Mbona kuna WEZI.. WALEVI..? mbn wapo wanaovaa Mavazi yasiyo na Heshima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…