kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Halafu ni mtu ana proffesion yake ameikalia darasani miaka kadhaaKuna watu kweli wanatolewaga Majalalani wanapewa kazi hizi za uteuzi
Ni barua ya kumuita Lisu mbele ya tume ya taifa ya maadiliHahaha ndio ya kuifuta CHADEMA au mualiko wa kuitwa kujieleza?!
CHADEMA kwenye uchaguzi huu inachangiwa na ccm, msajili, cuf na nec.
Hapana, kumuita Lissu mbele ya tume ya maadili,wanadai amekiuka sheria ya uchaguziKufuta?
Hawa wateule wa mheshimiwa wanakubali kutumikishwa kiboya sanaUkiendekeza njaa utapandishwa hata guta...
Wakiukaji halisi hawaonekani,wale wanaotaka kuina taratibu zi afuatwa wanaonekana ndio wanaovuja taratibu.Tume itende haki na kufanya majukumu take kwa weledi.Hapana, kumuita Lissu mbele ya tume ya maadili,wanadai amekiuka sheria ya uchaguzi
Shame! Shame! Shame! Very disgracing to NEC.Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lisu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.
Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na Kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.
Pikipiki aka bodaboda?