Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo.

Taarifa hizi zinazidi kuumiza kichwa kuhusu Uhuru walionao wajumbe wa tume yetu ya uchaguzi. Uwezo wao wa akili na kama wanaelewa nafasi ya tume katika mchakato wa uchaguzi.

Pikipiki aka bodaboda?
 
πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜πŸ˜
 
Shame! Shame! Shame! Very disgracing to NEC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…