Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

Kama kiongozi mkubwa Kama huyu anashindwa kutumia akili ndogo tu yakujilinda kwa uhai wake analazimishwa kufanya Mambo yakitoto hivi tunategemea Taifa litaendelea?

Mnamwogopa binadamu ambaye siku zake zakuishi hapa Duniani hazijui Kama Mimi na wewe tusivyozijua?

Mimi ningekuwa nimesoma nisingefanya huu ujinga wakudhalilisha familia yangu kwa kiwango hiki. Bora niishi kwa mihogo nikiwa huru kuliko huu utumwa.

It's sad hasa pale unapogundua huyu mwanaume ana mke kamwacha nyumbani, ana watoto kawaacha nyumbani.

Tunasoma kwa ajili ya nini Kama wasomi wenyewe ndo Hawa?

Tunaidhalilisha nchi kwa kweli
Unadanganywa na wewe unakubali. Wewe ni zaidi ya ass!
 
Wakiukaji halisi hawaonekani,wale wanaotaka kuina taratibu zi afuatwa wanaonekana ndio wanaovuja taratibu.Tume itende haki na kufanya majukumu take kwa weledi.
Sio rahisi tume kutenda haki kwa sababu msajili anateuliwa na mwenyekiti wa ccm kwa hiyo ni lazima afanye kazi kwa maslahi ya ccm
 
Naibu Msajili anavunja sheria za usafiri barabarani, anapanda pikipiki bila helmet. Jeshi la polisi limpeleke mahakamani!

Mvunja sheria hawezi kutetea sheria!
 
[emoji23][emoji23][emoji23],apelekewe nayeye barua ya kuripoti traffic makao makuu kwa kutovaa kofia ngumu,pamoja na dereva wake
 
Hizi attachment na baadhi ya video zinazotumwa humu mbona kwangu mimi naishia kuzidownload tu ila nikiplay zinakataa kuonesha naambiwa
Screenshot_20200928-191619.jpg
 
Natamani Chadema nao wafunge Ofisi kama ma DEDs walivyowafungia wagonbea wa upinzani.

Kilichobaki ni jino kwa jino tu.
 
Back
Top Bottom