Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

Uchaguzi 2020 Tume yapeleka barua Makao Makuu ya CHADEMA kwa pikipiki. Afisa mwandamizi ahusishwa

Lissu amesema barua isiende ofisi ya chama sababu yeye hayupo huko.

Isiende nyumbani kwake wala hayupo huko.

Ipelekwe alipo kwa sasa ili apate muda wa kuisoma na masaa 48 ya kujiandaa kuijibu kwa mujibu wa sheria na taratibu.

Amesema kesho haendi dodoma. Big up chuma
 
Kwani NEC na ofisi ya msajili wa vyama ni ofisi moja?!

Hawa wateule wa meko ni aibu kwa taifa, I wish ningekuwa hapo ofisini ningemwambia live matendo yenu ni aibu kwa taifa letu.

Lissu keshasema sheria inataka apewe masaa 48 kujibu hizo tuhuma, sasa hizo mbio zao za bodaboda hazina maana yoyote, na wasijaribu kumsimamisha kuendelea na kampeni, utakuwa ujinga wa kiwango cha juu na fedheha kwa hiyo ofisi.

Akitoka Lissu wamuite na Magufuli akajieleze kwa nini anatoa ahadi za ujenzi wa barabara wakati huu wa kampeni, wakishindwa kufanya hivyo ndio watathibitisha wao ni aibu kwa hili taifa.
 
Halafu amesahau kuvaa kofia ngumu!
akipotezewa mda na polisi kwa kosa la kutokuvaa helmet tutamfukuza kazi kwa uzembe anacheleweshaje document muhimu
 
Kwakweli Lissu anawatesa san. Ofisi ya msajili ina wahudumu, mesenjaz, madereva mpk naibu msajili Taifa uje na boda kweli. Daaaah mwaka huu hawatausahau
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huko jiwe ni bp tu
 
Kwani msajiri haruhusiwi kupanda bodaboda?
 
Mwaka huu Lisu atawapasua vinena hawa wapuuzi vibaraka wa ccm
 


Kusema kweli, katika vipindi ambavyo viongozi walioko madarakani na hasa wanaotetea nafasi ile ya juu kabisa wamepata shida na kuchanganyikiwa, basi ni kipindi hiki.
Lissu anawapiga pande zote, kwenye kampeni anawatandika, wakija kwenye sheria ndo zaidi. Naona watu wamekosa usingizi kabisa.
 
Back
Top Bottom