Ni rahisi sana kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini zao na CCM wanalifahamu vizuri jambo hili.
Hata kama kuna jambo baya sana kwa maslahi ya nchi yetu ukitaka likubalike basi wewe lipake rangi ya dini flani utaona mara moja watazuka watu na kulitetea kwa nguvu zao zote kwasababu tu jambo hilo lina rangi ya dini yao!
Suala la mkataba wa bandari limeonesha kuwa watanzania hawana misingi ya kusimamia isipokuwa mafungamano na dini zao.
Ni ajabu kubwa kwamba watu wapo tayari kuuza nchi yao kwa kuaminishwa kwamba hili ni jambo la kidini! CCM wanajua fika jambo hilo na wanalitumia sasa kama walivyolitumia kwenye chaguzi zilizopita dhidi ya CHADEMA na CUF.
Suala la bandari lilianza kujadiliwa vizuri kwa uzalendo lakini watu flani walipogungua linagusa dini yao sasa wamebadili hoja zao na bandari imekuwa suala la kidini.
Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam!
Hata kama kuna jambo baya sana kwa maslahi ya nchi yetu ukitaka likubalike basi wewe lipake rangi ya dini flani utaona mara moja watazuka watu na kulitetea kwa nguvu zao zote kwasababu tu jambo hilo lina rangi ya dini yao!
Suala la mkataba wa bandari limeonesha kuwa watanzania hawana misingi ya kusimamia isipokuwa mafungamano na dini zao.
Ni ajabu kubwa kwamba watu wapo tayari kuuza nchi yao kwa kuaminishwa kwamba hili ni jambo la kidini! CCM wanajua fika jambo hilo na wanalitumia sasa kama walivyolitumia kwenye chaguzi zilizopita dhidi ya CHADEMA na CUF.
Suala la bandari lilianza kujadiliwa vizuri kwa uzalendo lakini watu flani walipogungua linagusa dini yao sasa wamebadili hoja zao na bandari imekuwa suala la kidini.
Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam!