Tumeacha kutetea bandari zetu sasa tunatetea mwekezaji muislam, waziri muislam na rais muislam!

Tumeacha kutetea bandari zetu sasa tunatetea mwekezaji muislam, waziri muislam na rais muislam!

Another thread ingine ya uwongo na uzushi . ..from you ..
Wewe Jana umeanzisha thread unasema askofu Mwamakula kasema Dpworld watajenga msikiti...

Dpw world wamejenga msikiti UK walipopewa bandari?
German walijenga msikiti walipopewa bandari?..
China walijenga msikiti walipopewa bandari
South Africa walijenga msikiti walipopewa bandari?
Belgium walijenga msikiti walipopewa bandari?


Yaani Dpworld waendeshe bandari nchi 92 Duniani kote huko wasijjenge msikiti ila waje wajenge msikiti Mbeya??

Na kuna wajinga wanakuona unaongea vya maana?
Reasoning yako ni ya kijinga sana, DPW kutojenga msikiti UK na kwingineko, sio lazima wasijenge pia huko Mbeya.

Huu upeo wenu ndio unasababisha wengine wajishushe kifikra ili kwenda nanyi sawa, mnajiona mnaonewa kwa kutumia mifano ya kitoto kabisa kujenga hoja zenu, na nyie kuachwa bila kuambiwa ukweli, tutaliharibu hili taifa.
 
Hao maaskofu wakati watu wanapigwa risasi uzalendo wao ulikuwa wapi??
Hukuona matamko yao, au ulikuwa bado mchanga?!
👇
 
Kwaiyo izo nchi zaidi ya 90 DP World anazo operate zina ugaidi gani mbona kama chuki tu?
Tusiwe na roho za kutu.
Wanajenga miskiti na kueneza chuki na ugaidi. Unaona jinsi Ufaransa wanavyojuta kwa kuwaachia waislamu wengi waingie na kuwa rais kwao?
 
Uzalendo ni kuchukua maaskofu na kwenda nao press conferences?
Uzalendo ni maaskofu kuacha makanisa na kwenda viwanjani kumtukana Rais?

Yaani uzalendo Tanzania wanao maaskofu tu?...
Wengineo wote hawana uzalendo??

Hao maaskofu wakati watu wanapigwa risasi uzalendo wao ulikuwa wapi??
Maaskofu wana haki ya kukemea mabaya ya kwenye jamii regardless amefanya nani, kama huko kwenu mnafichana kuambizana ukweli kisa mnafanana imani, wengine hawako hivyo.

Wakati wa Magufuli alilalamikiwa na maaskofu pia, kila siku unaambiwa kuhusu hili, lakini kwa upumbavu wako unajitoa akili makusudi, unategemea nani aendelee kukubembeleza ili uelewe? baki na huo ujinga wako mtaji wa CCM, kwa werevu tutasema ukweli milele.
 
ni akili za kijima kabisa!!

hivi majuzi tu Rais wa Kenya kampokea Rais wa nchi ya Kiislamu ya Irani na wameigia mikataba kadhaa ya uwekezaji nchini kenya.
wenzetu wemelenga uwekezaji sisi tunahangaika na chuki za kidini!!

naishauri Serikali yetu chini ya Rais Samia kusonga mbele na uwekezaji, kamwe wasisikilize wapuuzi wenye chuki za kidini.
 
Wanajenga miskiti na kueneza chuki na ugaidi. Unaona jinsi Ufaransa wanavyojuta kwa kuwaachia waislamu wengi waingie na kuwa rais kwao?
Braza tusiongee uongo kama wanaeneza chuki na kueneza ugaidi hatua gani wamechukuliwa huko US,UK na China Kwa mfano?
 
Ni rahisi sana kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini zao na CCM wanalifahamu vizuri jambo hili.

Hata kama kuna jambo mbaya sana kwa maslahi ya nchi yetu ukitaka likubalike basi wewe lipake rangi ya dini flani utaona mara moja watazuka watu na kulitetea kwa nguvu zao zote kwasababu tu jambo hilo lina rangi ya dini yao!

Suala la mkataba wa bandari limeonesha kuwa watanzania hawana misingi ya kusimamia isipokuwa mafungamano na dini zao.

Ni ajabu kubwa kwamba watu wapo tayari kuuza nchi yao kwa kuaminishwa kwamba hili ni jambo la kidini! CCM wanajua fika jambo hilo na wanalitumia sasa kama walivyolitumia kwenye chaguzi zilizopita dhidi ya CHADEMA na CUF.

Suala la bandari lilianza kujadiliwa vizuri kwa uzalendo lakini watu flani walipogungua linagusa dini yao sasa wamebadili hoja zao na bandari imekuwa suala la kidini.

Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam!
Hakuna kutoka kwenye reli, bandari zetu haziuzwi kholela, kama uwekezaji huo una faida bandari za Zanzibar nazo ziwepo.
 
Braza tusiongee uongo kama wanaeneza chuki na kueneza ugaidi hatua gani wamechukuliwa huko US,UK na China Kwa mfano?
Uislamu umekuwa changamoto kubwa mno nchi za Ulaya. Ustaarabu wa wazungu umewaponza sana wakifikiri wakiwaacha waislamu waingie nchini mwao pengine watabadilika na kuachana na imani kali na ugaidi kumbe ndio wamepata nafasi ya kuendeleza uovu wao!
 
Uislamu umekuwa changamoto kubwa mno nchi za Ulaya. Ustaarabu wa wazungu umewaponza sana wakifikiri wakiwaacha waislamu waingie nchini mwao pengine watabadilika na kuachana na imani kali na ugaidi kumbe ndio wamepata nafasi ya kuendeleza uovu wao!
Kumbe shida yako wewe sio uwekezaji bali una hofu na uislamu kwa kuamini kua DP World ni Muarabu na ataeneza uislam,sasa huu utitiri wa makampuni ya Ulaya Tz katika uwekezaji ambao majority ni Wakristo waislam nao wakatae Kwa hofu tu wataeneza ukristo watakua sahihi?
 
Kumbe shida yako wewe sio uwekezaji bali una hofu na uislamu kwa kuamini kua DP World ni Muarabu na ataeneza uislam,sasa huu utitiri wa makampuni ya Ulaya Tz katika uwekezaji ambao majority ni Wakristo waislam nao wakatae Kwa hofu tu wataeneza ukristo watakua sahihi?
Mtu aliyewafanya babu zetu kuwa watumwa kwa ukatili mkubwa leo hii tunawakumbatia eti watatusaidia, kweli?
 
Hakuna mgalatia anayewatukana waislamu ila utasikia waislamu wakisema kafiri wale! Ni tusi kubwa mno ila ustaarabu wa hao “kafiri” unazidi ushenzi wa akina yakhe.
Kafir siyo tusi

Kafir ni Mtu anayejiita Muislamu huku akiwa hafuati mafundisho ya Mtume Muhammad SAW
 
Mbona ao maaskofu sasahivi wapunguza makali! Unakumbukq kipindi cha JPM ww? Ukikaa kidogo Katoliki limetoa waraka, kidogo kule Askofu Shoo KKKT amemrushia jiwe, kidogo Mwamakumla ndiyo hachoki kabisa! Pamoja na Bagonza! Sasa leo hii DP World tu imewatoa jasho wakati hapo nyuma walikuwa kimya kabisa.
Maaskofu kuisema Serikali sio tatizo ila shida inakuja pale mleta mada anapotaka kuaminisha DP World hawatakiwi kwa sababu tu ni waislam Ina maana Maaskofu wanaipinga uwekezaji kwa kigezo cha udini?
 
Back
Top Bottom