Tumeacha kutetea bandari zetu sasa tunatetea mwekezaji muislam, waziri muislam na rais muislam!

Tumeacha kutetea bandari zetu sasa tunatetea mwekezaji muislam, waziri muislam na rais muislam!

Kama nchi tuna tatizo mahala la kidini na akili ya haraka sana inahitajika bila kuwa na double standards.

Dini ni imani ambayo kila mtu anayo, lamsingi ni wote kubaki kwenye imani zetu na sio kuzitumia imani zetu kuleta influence na kubenefit na mifumo.
Kinachotuunganisha wote ni utanzania wetu huku kila mtu akibaki na dini yake.
Dini zetu zibaki makanisani na misikitini na sio kujipenyeza kwenye mifumo kwa nia ya kukandamiza kundi fulani na kulifanya kundi fulani kuwa superior.

TUBAKI KUWA WATANZANIA KAMA WATANZANIA HIZI DINI ZIBAKIE KUWA IMANI ZETU TU TUNAZOZITUMIA KUABUDU.
 
Maaskofu kuisema Serikali sio tatizo ila shida inakuja pale mleta mada anapotaka kuaminisha DP World hawatakiwi kwa sababu tu ni waislam Ina maana Maaskofu wanaipinga uwekezaji kwa kigezo cha udini?
Nafikiri hujamuelewa mleta mada! Anachodai ni kigezo cha baadhi ya watu kuhusisha issue za mikataba na udini! Yaani tunajua mkataba ni mbovu lakini tunajiricha kwenye kichaka cha dini ili kulinda mkataba.
 
Ni rahisi sana kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini zao na CCM wanalifahamu vizuri jambo hili.

Hata kama kuna jambo mbaya sana kwa maslahi ya nchi yetu ukitaka likubalike basi wewe lipake rangi ya dini flani utaona mara moja watazuka watu na kulitetea kwa nguvu zao zote kwasababu tu jambo hilo lina rangi ya dini yao!

Suala la mkataba wa bandari limeonesha kuwa watanzania hawana misingi ya kusimamia isipokuwa mafungamano na dini zao.

Ni ajabu kubwa kwamba watu wapo tayari kuuza nchi yao kwa kuaminishwa kwamba hili ni jambo la kidini! CCM wanajua fika jambo hilo na wanalitumia sasa kama walivyolitumia kwenye chaguzi zilizopita dhidi ya CHADEMA na CUF.

Suala la bandari lilianza kujadiliwa vizuri kwa uzalendo lakini watu flani walipogungua linagusa dini yao sasa wamebadili hoja zao na bandari imekuwa suala la kidini.

Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam!
Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam![emoji2827][emoji3064][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sentence ya mwisho inadhihirisha weed siyo Islam!

Mtume hajafundisha waumini wake kuwatusi wale wasioamini bali " wazidi" kuwafundisha Ili Waamini

Ilikuwa ukikaa na Prof Kighoma Malima unaelewa nini maana ya Uislam!
Hao wote ni akili ndogo, nachofanya hapa ni kuwatengeza watoe vile vilivyomo ndani ya bongo zao, na ndicho kinachotokea, hilo ni kundi la misukule ya CCM.
 
Thread ya kipuuzi, uchochezi kuwagawa watanzania katika misingi ya dini kwa kuwa unajua they will react effectively sababu dini zinahusu hisia za wengi

Yani unajaribu kutengeneza ishara kwa akili yako kubwa waislamu wote wanakubaliana na ujio wa Dp kwasababu ya Udini. Hii ni chuki ya kipumbavu na unapandikiza sumu mbaya kwa watu , unataka tutukanane waislam na wakristo na tuache swala liliopo mezani
 
Ni rahisi sana kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini zao na CCM wanalifahamu vizuri jambo hili.

Hata kama kuna jambo mbaya sana kwa maslahi ya nchi yetu ukitaka likubalike basi wewe lipake rangi ya dini flani utaona mara moja watazuka watu na kulitetea kwa nguvu zao zote kwasababu tu jambo hilo lina rangi ya dini yao!

Suala la mkataba wa bandari limeonesha kuwa watanzania hawana misingi ya kusimamia isipokuwa mafungamano na dini zao.

Ni ajabu kubwa kwamba watu wapo tayari kuuza nchi yao kwa kuaminishwa kwamba hili ni jambo la kidini! CCM wanajua fika jambo hilo na wanalitumia sasa kama walivyolitumia kwenye chaguzi zilizopita dhidi ya CHADEMA na CUF.

Suala la bandari lilianza kujadiliwa vizuri kwa uzalendo lakini watu flani walipogungua linagusa dini yao sasa wamebadili hoja zao na bandari imekuwa suala la kidini.

Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam!

Kwa hili la bandari, mambo yamekataa. Muda mwalimu mzuri
 
Uzalendo ni kuchukua maaskofu na kwenda nao press conferences?
Uzalendo ni maaskofu kuacha makanisa na kwenda viwanjani kumtukana Rais?

Yaani uzalendo Tanzania wanao maaskofu tu?...
Wengineo wote hawana uzalendo??

Hao maaskofu wakati watu wanapigwa risasi uzalendo wao ulikuwa wapi??
Ni askofu yupi alimtukana rais
 
Ni rahisi sana kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini zao na CCM wanalifahamu vizuri jambo hili.

Hata kama kuna jambo mbaya sana kwa maslahi ya nchi yetu ukitaka likubalike basi wewe lipake rangi ya dini flani utaona mara moja watazuka watu na kulitetea kwa nguvu zao zote kwasababu tu jambo hilo lina rangi ya dini yao!

Suala la mkataba wa bandari limeonesha kuwa watanzania hawana misingi ya kusimamia isipokuwa mafungamano na dini zao.

Ni ajabu kubwa kwamba watu wapo tayari kuuza nchi yao kwa kuaminishwa kwamba hili ni jambo la kidini! CCM wanajua fika jambo hilo na wanalitumia sasa kama walivyolitumia kwenye chaguzi zilizopita dhidi ya CHADEMA na CUF.

Suala la bandari lilianza kujadiliwa vizuri kwa uzalendo lakini watu flani walipogungua linagusa dini yao sasa wamebadili hoja zao na bandari imekuwa suala la kidini.

Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam!
Sasa kama mwananchi wachini hana maamuzi katika nnchi atafanya lipi wao ndio wapangaji na ndio wapanguaji sisi ata wakiuza nchi tutasubiri kuambiwa tuna hamia wapi
 
Uzalendo ni kuchukua maaskofu na kwenda nao press conferences?
Uzalendo ni maaskofu kuacha makanisa na kwenda viwanjani kumtukana Rais?

Yaani uzalendo Tanzania wanao maaskofu tu?...
Wengineo wote hawana uzalendo??

Hao maaskofu wakati watu wanapigwa risasi uzalendo wao ulikuwa wapi??
Sema wakati Magu anaomba msaada wa ujenzi wa msikiti mkubwa pale kinondoni wao maaskofu walikuwa wapi. Au alipotoa eneo kule chato kwa taasisi ya al hikma kujenga msikiti wao maaskofu walikuwa wapi. Au alipotoa eneo la wazi pale mwembeyanga kwa taasisi ya kiislam wao maaskofu walikuwa wapi.

Huo sio mkataba wa kwanza samia kuusaini. Na ukiona kuna mwangwi kwenye huo mkataba ujue kuna shida mahali.
 
Ni rahisi sana kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini zao na CCM wanalifahamu vizuri jambo hili.

Hata kama kuna jambo mbaya sana kwa maslahi ya nchi yetu ukitaka likubalike basi wewe lipake rangi ya dini flani utaona mara moja watazuka watu na kulitetea kwa nguvu zao zote kwasababu tu jambo hilo lina rangi ya dini yao!

Suala la mkataba wa bandari limeonesha kuwa watanzania hawana misingi ya kusimamia isipokuwa mafungamano na dini zao.

Ni ajabu kubwa kwamba watu wapo tayari kuuza nchi yao kwa kuaminishwa kwamba hili ni jambo la kidini! CCM wanajua fika jambo hilo na wanalitumia sasa kama walivyolitumia kwenye chaguzi zilizopita dhidi ya CHADEMA na CUF.

Suala la bandari lilianza kujadiliwa vizuri kwa uzalendo lakini watu flani walipogungua linagusa dini yao sasa wamebadili hoja zao na bandari imekuwa suala la kidini.

Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam!
Sasa Mabasi yamejaa barabarani kuelekea Dar kujaza viwanja vyabTanganyika Packers.

Madiwani, Wabunge na viongozi wote wa chama kuanzia ngazi za vijiji kutoka mikoa zaidi ya mitano wamepangwa kuhudhuria.

Kwa hesabu ya chini ni kwamba Halmashauri zetu zimagharamia zaidi ya Bilioni 16.

Eee Mungu tuhurumie
 
Miaka yote haya mambo ya udini hujitokeza pale anapotokea mtawala dhaifu, asiyeweza kuenenda vyema na majukumu yake ya kiofisi, hasa anapoanza kuharibu kwa ujinga wake mwenyewe.

Ndipo wanajitokeza wajinga wenzie wa imani yake na kuanza kumtetea, huwa wanafanya hivyo kwasababu wamezoea kuchanganya hisia na facts, kwangu ni vitu viwili ambavyo haviendani kabisa, kwani suala la imani na ubovu wa mkataba, ni mambo mawili tofauti.

CCM nao, kwa kutambua huo ujinga wao, huanza kuitumia karata ya udini pale wanapoona utetezi wao mwingine wote umegoma kusikilizwa, ndipo hugeukia kwenye dini kama karata yao ya mwisho, bahati mbaya kwao this time, kwenye hili la bandari zetu watanganyika, udini wao nao umegoma.

Hapa niwaase wale jamaa ambao hujidai kuogopa kujadili jambo lenye muelekeo wa kidini, wakijiona wastaarabu sana, kwa kuhofia kuwakwaza wa imani tofauti.

Watambue kwa kufanya kwao hivyo, ndio wanawapa CCM na uhuni wao ushindi, jambo la kidini lazima lijadiliwe kwa umakini, penye ukweli usemwe, pasiwepo unafiki, tusifichane, muhimu heshima iwepo mwiongoni mwetu, ili siku nyingine CCM washindwe kuitumia hii karata yao pendwa ya turufu kutupoteza.
Well Noted Mkuu....
 
Kama wewe umeona wanaosapoti tu kua ndio wanasapoti kisa dini ya muwekezaji? Kwani wanaopinga wao haiwezekani kua nao wanapinga kisa dini ya muwekezaji?

Acha double standard unapotaka kubalance jambo.
 
Nyie upeo wenu ni mdogo sana, ndio maana mambo mengi mnayaelekeza kwenye dini tu, mpo kama mnaishi ndani ya chungu cha kidini, ndio maana kuchambua mambo mengine kwenu ni shida sana.

Hili sio kosa lenu, ni muda wenu mwingi kuutumia kujifunza Quran, hilo ndio chimbuko, kuna elimu nyingine imewapita mbali sana, mko outdated ndio maana miaka yote nyie ni udini tu, very predictable.

Akija Rais mkristu mtaanza kumshambulia, akija Muislam mwenzenu, mtamlinda no matter what, hata akikosea kama tuonavyo sasa mnavyofanya kwenye mkataba wa hovyo wa bandari mnavyomlinda hamtaki aguswe!

Having said that, ni wewe na wenzio kina The Boss na FaizaFoxy ndio hamtusumbui sisi, kwasababu mnajulikana miaka mingi tabia zenu mlivyo.
Wewe hujawahi kumiliki akili,vi comment vyako humu jf ni kama anaandika mtoto wa darasa la pili,

Ulipigwa talaka na muislamu? Maana sio kwa chuki hizo,

Utazunguka kwenye kila thd inayohusu DPW na kumwaga pumba zako ila huwezi kubadili kitu.
 
Nafikiri hujamuelewa mleta mada! Anachodai ni kigezo cha baadhi ya watu kuhusisha issue za mikataba na udini! Yaani tunajua mkataba ni mbovu lakini tunajiricha kwenye kichaka cha dini ili kulinda mkataba.
Msome tena mleta mada kwenye komenti zake amesema DP World inatumika kueneza ugaidi na uislam.
 
Back
Top Bottom