- Thread starter
- #61
Makafir ni wale walio nyuma kielimu sheikh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makafir ni wale walio nyuma kielimu sheikh!
Contractor unamlinganusha na mwekezaji? Sgr na hiyo miradi pale ni mkandarasi anajenga akimaliza anasepa mnaendesha wenyewe.Tatizo nchi hii akiongoza mvaa kobasi kuna watu roho zinawawasha ata awe mwema kiasi gani,Mwalimu Nyerere alilia kuhusu ubinafshaji wa mashirika ya Umma lakini tulibinafsisha. Miaka kadhaa nyuma tumesaini mikataba ya reli SGR na bwawa la Mwalimu Nyerere rufiji,Tuna mkataba wa mradi wa umeme pia maporomoko ya Rusumo(Tanzania,Burundi na Rwanda) walalamikaji wa sasa hawajawai kulalamika popote na wala awahoji.
Tupendane
Sio nchi 90 ni nchi 70, rekebisha hapoKwaiyo izo nchi zaidi ya 90 DP World anazo operate zina ugaidi gani mbona kama chuki tu?
Tusiwe na roho za kutu.
Wewe unazo?Mtu yeyote anayetetea CCM hana akili nzuri!
Hahah wewe ndiye kafiri mkubwa na makazi yako jahanam. Yaani nakuona unavyo ungua.Makafir ni wale walio nyuma kielimu sheikh!
Wewe kafiri elimu yako imekufikisha wapi? Hao unaojifariji kua hawana elimu,wao wana natural resource ya Gas na Oil tu na wameitumia kubadilisha maisha yao na kua matajiri,Makafir ni wale walio nyuma kielimu sheikh!
Jehanam wanakwenda wasiomwamini Mungu wa Kweli na wafanyao ushirika na majini.Hahah wewe ndiye kafiri mkubwa na makazi yako jahanam. Yaani nakuona unavyo ungua.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Huko mnapouziwa mafuta ya upako ili muwe matajiri ghafla si ndio kila siku mnatoleana mapepo? Wewe umewahi kuliona hilo jini? Au ndio umekaririshwa na waliokushikia akili?Jeh
Jehanam wanakwenda wasiomwamini Mungu wa Kweli na wafanyao ushirika na majini.
Mbona nyie watu mna vichwa vigumu nani amewakataa DPW kinachokataliwa ni namna mkataba ulivyo.wacha ubaguzi.
mimi ni mkristu lakini nakubaliana na uwekezaji wa DPW naamini kuna wakristu na wasio na dini wengi wanakubali jitihada za Mhe. Rais na Serikali yake katika kukuza uchumi wa nchi.
lakini wapo baadhi wachache, wanao ingiza chuki ya kidini kwenye suala hili la uwekezaji, huo ni upuuzi na kamwe usipewe nafasi, Serikali isonge mbele isiwasikilize wapuuzi.
Kenya imeingia mikataba ya uwekezaji na nchi ya kiislamu ya IRANI lakini huwezi kusikia huu upuuzi, tuache ujinga.
Mama asibabaishwe wala kuyumbiswa na wanafiki....asonge mbele kwa masilahi ya Taifa letu.
Kipindi cha "Yohana" ndio kipindi pekee Maaskofu waliulizwa uraia wao mpaka kupelekea kuulizwa vyeti vya kuzaliwa vya bibi zao.Uzalendo ni kuchukua maaskofu na kwenda nao press conferences?
Uzalendo ni maaskofu kuacha makanisa na kwenda viwanjani kumtukana Rais?
Yaani uzalendo Tanzania wanao maaskofu tu?...
Wengineo wote hawana uzalendo??
Hao maaskofu wakati watu wanapigwa risasi uzalendo wao ulikuwa wapi??
pole sanaUzalendo ni kuchukua maaskofu na kwenda nao press conferences?
Uzalendo ni maaskofu kuacha makanisa na kwenda viwanjani kumtukana Rais?
Yaani uzalendo Tanzania wanao maaskofu tu?...
Wengineo wote hawana uzalendo??
Hao maaskofu wakati watu wanapigwa risasi uzalendo wao ulikuwa wapi??
Kwa mantiki hiyo Unamuita Raisi wetu kuwa hajawahi kuwa na Akili?Watanzania hatujawahi.kuwa na akili. Acha yatukute ya kutukuta
Hauna lelote lile unalolisikitikia hapa.Inasikitisha dini zimekuwa tatizo kubwa sana barani Africa na wakati zililetwa tu kwa meli na majahazi
Msome tena mleta mada kwenye komenti zake amesema DP World inatumika kueneza ugaidi na uislam.
Wacha Upotoshaji. Watu gani hao waliopigwa risasi halafu maaskofu hawakutia neno?Uzalendo ni kuchukua maaskofu na kwenda nao press conferences?
Uzalendo ni maaskofu kuacha makanisa na kwenda viwanjani kumtukana Rais?
Yaani uzalendo Tanzania wanao maaskofu tu?...
Wengineo wote hawana uzalendo??
Hao maaskofu wakati watu wanapigwa risasi uzalendo wao ulikuwa wapi??
Kuna mpotoshaji zaidi ya kwako wewe?Another thread ingine ya uwongo na uzushi . ..from you ..
Wewe Jana umeanzisha thread unasema askofu Mwamakula kasema Dpworld watajenga msikiti...
Dpw world wamejenga msikiti UK walipopewa bandari?
German walijenga msikiti walipopewa bandari?..
China walijenga msikiti walipopewa bandari
South Africa walijenga msikiti walipopewa bandari?
Belgium walijenga msikiti walipopewa bandari?
Yaani Dpworld waendeshe bandari nchi 92 Duniani kote huko wasijjenge msikiti ila waje wajenge msikiti Mbeya??
Na kuna wajinga wanakuona unaongea vya maana?
Maaskofu na mapadri unaowasema wameonyesha vipengere, vifungu na sehemu mbovu kwenye mikataba hiyo. Je wasisikilizwe ?!. Hao ma sheikh wameonyesha nini cha tofauti zaidi ya kutetea imani, ambayo si sehemu ya mgogoro huu.Uzalendo ni kuchukua maaskofu na kwenda nao press conferences?
Uzalendo ni maaskofu kuacha makanisa na kwenda viwanjani kumtukana Rais?
Yaani uzalendo Tanzania wanao maaskofu tu?...
Wengineo wote hawana uzalendo??
Hao maaskofu wakati watu wanapigwa risasi uzalendo wao ulikuwa wapi??
Chanda na pete au Lila na Fila .Na Chanzo cha CCM ni Umaskini [emoji16]
Ukiona hivyo basi ujue kuna upungufu flani Kwa hao wanao egemea diniNi rahisi sana kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini zao na CCM wanalifahamu vizuri jambo hili.
Hata kama kuna jambo baya sana kwa maslahi ya nchi yetu ukitaka likubalike basi wewe lipake rangi ya dini flani utaona mara moja watazuka watu na kulitetea kwa nguvu zao zote kwasababu tu jambo hilo lina rangi ya dini yao!
Suala la mkataba wa bandari limeonesha kuwa watanzania hawana misingi ya kusimamia isipokuwa mafungamano na dini zao.
Ni ajabu kubwa kwamba watu wapo tayari kuuza nchi yao kwa kuaminishwa kwamba hili ni jambo la kidini! CCM wanajua fika jambo hilo na wanalitumia sasa kama walivyolitumia kwenye chaguzi zilizopita dhidi ya CHADEMA na CUF.
Suala la bandari lilianza kujadiliwa vizuri kwa uzalendo lakini watu flani walipogungua linagusa dini yao sasa wamebadili hoja zao na bandari imekuwa suala la kidini.
Sakata la bandari sasa limekuwa suala la Uislamu; mwekezaji muislam, waziri mwislam na rais mwislam!